Tuliotoka na shemeji zetu

Tuliotoka na shemeji zetu

Wewe unajitakia matatizo na hiz post..unajua watu wanakutambua kwa mwandiko wako mzee...pole sana kwa yatakayo kukuta
 
Umeongea kwa mbwembwe mwenyew.....eti nikatumbukiza[emoji57]
 
lol! hahahahahah first lady wa Kwamtogole, unajua umenifanya nicheke.
Mkuu hata kama sipati privileges za Melanie Trump lakini nyumbani kwangu na mimi ni First Lady.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakati mwingine nawaza kwa maandishi, hivi hizi chips mayai wanazokula hawa wadogo zetu athari yake ni kubwa hivi, nilifikiri zinaathiri uwezo wao wa ku-jamiiana tu kumbe mpaka wa kufikiri.
Chips zenyewe zimekaangwa kwa mafuta ya transformer!!!
 
Wakati mwingine nawaza kwa maandishi, hivi hizi chips mayai wanazokula hawa wadogo zetu athari yake ni kubwa hivi, nilifikiri zinaathiri uwezo wao wa ku-jamiiana tu kumbe mpaka wa kufikiri.
Idiot
 
Hapo kulikuwa na mawili kama sio mdogo mtu kumdharau dada basi mume angemdharau mkewe.

Kabisa pole yake huyo dada mana hapo kama ana wasaidizi wa ndani sidhani kama anawaacha.
 
2289386_2289265_14eaa34c-6bd0-49bd-bf25-7086a7fdbf59.gif
 
Back
Top Bottom