Tuliotoka na shemeji zetu

Tuliotoka na shemeji zetu

JF ya sikuhz inafundisha yote, mema na maovu, n akili yako tuu inavyokutuma. Kujisifia zinaa ni moja ya viwango vya chini kbsa vya uwezo wa kufikiria wa binadamu
 
Mtatoa tu humu siri zenu hadi za kutembea na mama zenu wazazi k kibuyu
 
Kuna familia naifahamu,
Mdogo mtu alizaa kabisa na Mume Wa Dada yake, tena huyo mdogo mtu alikuwa anasomeshwa na anaishi na Dada yake tumbo moja.
Dada mtu alipogundua alirudi nyumbani kwako(kijijini). Akawaambia wazazi wake , Mume na mdogo MTU wakaitwa ,wakakiri kabisa.
Dada alikasirika sana akasema, basi yeye anamwachia ndoa mdogo wake ili aweke kumlelea watoto wake (walikuwa 3). Mdogo na shemeji wakakubali, shemeji akapigwa faini ya kimila wakarudi zao mjini kuendelea na maisha.
Dada akaanzisha maisha mkoa mwingine, ila pasipo na mawasiliano yoyote na mdogo mtu, na wale wazinzi wakaiendelea na maisha yao,wakaongeza na watoto wa2, jumla wakawa na watoto 6. Ikawa ni story kubwa huko nyumbani. Ila aibu alikuwa anaona dada mtu,, mdogo mtu wala hakuonesha kujutia kile kitendo.
Baada ya miaka kadhaa wale wakajakuathirika VVU Waliumwa kupita maelezo, baadaye wakafa kwa kupishana 1 year.
Hivi ninavyoandika hapa yule Dada mtu anaendelea na maisha yake, huku akiendelea kuwalea ,kuwatunza wale watoto japo wengine ni wakubwa wana maisha yao. Ila amegoma tena kuolewa, anasema hana imani tena na wanaume. Pia ni mtu mzima anasema bora tu alee ujukuu alioachiwa.
Baadhi ya wanaume wanavuruga sana familia, na hao wadogo zetu wakati mwingine tamaa, uzinzi, na ujinga vinawaponza.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unajua tatizo la wanawake wengi akijipendekeza ukamwacha basi kuna kuwa na kadharau fulan anakuonyesha,na inshu kama hiyo imeshawahi kunitokea nikaweka heshima lkn matokeo yake nilionekana mjinga,ss dawa yao ni kutafuna tu hamna namna mpaka mkikutana huwa nahakikisha anapoteza confidence kabisa
Sifa za kijinga
Heshima haitafutwi hivyo
Ndo maana mnaambiwa mna akili ndogo
 
wanawake nao ni watu wa ajabu mimi shemeji yangu alikorofishana na jamaa yangu,nikamdanganya mwanamke kuwa jamaa ana UKIMWI,akakubali akaamua awe na mimi,nilikuwa najigongea kama mimi ndio mwenye mwanamke,sasa sijui alijua ananiambukiza na mimi?
 
Mkuu I will never do that to her, she is my best friend and I can't even tell her this story, I don't want to hurt her feelings


Unajiashebedua tu hapa. Hamna lolote!!
Basi watu wanavokusifia nawe bichwa hilooo....
 
Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye huwa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.


Acha porojo wewe...
Hakuna mwanamke mwenye cli***ris akatae mpini wa shemeji yake akiombwa.
Usitufanye sisi mabozo....
 
Nakuona Sky Eclat nawe uliwahi kuzima taa na shemeji? au ulicheza naye mbali?
 
Back
Top Bottom