Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaitaga sifa za kijingaHivi kutembea na shemeji zenu nako ni sifa. Khaa
Wacha shemeji naguna jinsi watu wasivyoweza kuziachia fursa zenye aibu. [emoji2] [emoji2]Shemeji mbona unaguna
Umeonaee. Cha ajabu wanaziona za kawaida.Wanaitaga sifa za kijinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimemshangaa jamaa coz ambae ndio dem wake hajatafuna lkn Mdogo mtu kala ss hapo hapo nimeshindwa kuelewa mpaka sasa hivi anasubiria nin,au ndio wanachunguzana tabia[emoji23] [emoji23]
Haya basi tubu na usirudie tena aisee mana siku zote mazowea huwa tabia.Nikisema shetani hapana nitakuwa nakosea ni mm mwenyewe ila mdogo mtu nilmtaka mwenyewe dada mtu alitaka mwenyewe
vipi mwanamama...naona umejaajaa humu kwa mara nyingine baada ya kutuagaKabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.
HahahahahaaaMume wa sister alinitokea nikamwambia aache kabisa tena nitamwambia mke wake. Tangu siku ile akiniona nimekaa ninaongea na sister anakosa amani kabisa.
Dah, Poor Shemeji. Hii life time investment bwana shemeji alijitakia hiyo kwa tamaa zake. Ukitaka chochote atakupatia ili umfichie hiyo aibu. Utamtesa sana kisaikolojia lakini pia na atakuwa anakupatia chochote atakacho sio kwa ridhaa yake ni basi tuu inalizimu.Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.
Ishakua kawaida tuYani dada yako tumbo moja??
Wanaume jamani hatuna aibu. Daah!
DUH POMBE MBAYA SANATujikumbushe ilivyokua ama mbinu tulizotumia kufanikisha azma ya kutembea na mashemeji zetu(rafiki ama ndugu wa mke/mume).
Mie nilikua na rafiki yangu ambae tulipangiwa kazi wilaya flani huko porini.. Rafiki yangu alitangulia na kuwa mwenyeji wangu, nilipofika nilimkuta kazama katika mahusiano na mtoto mmoja matata.
Kosa lake alipenda kuandamana nae kila sehem hata katika vikao vyetu vya jioni(kinywaji).. Katika mvinyo kuna ukweli.. Nilipiga sound kama waziri wetu wa biashara, mtoto kanielewa. Kesho yake nikatumbukiza.
Karibuni mtoe uzoefu wenu.
Ndo matatzo ya kuruhusu kichwa cha chini kufanya maamuzi shemejiWacha shemeji naguna jinsi watu wasivyoweza kuziachia fursa zenye aibu. [emoji2] [emoji2]
Hahaaa! Kweli kabisa shemejiNdo matatzo ya kuruhusu kichwa cha chini kufanya maamuzi shemeji
Huyo nae ni boya tu,,kwani ukimwambia dada ako ndio nini?Mume wa sister alinitokea nikamwambia aache kabisa tena nitamwambia mke wake. Tangu siku ile akiniona nimekaa ninaongea na sister anakosa amani kabisa.
We ni dhaifu kama mbwa mbele ya chatu wala sio gentleman na pimbi kabisaTujikumbushe ilivyokua ama mbinu tulizotumia kufanikisha azma ya kutembea na mashemeji zetu(rafiki ama ndugu wa mke/mume).
Mie nilikua na rafiki yangu ambae tulipangiwa kazi wilaya flani huko porini.. Rafiki yangu alitangulia na kuwa mwenyeji wangu, nilipofika nilimkuta kazama katika mahusiano na mtoto mmoja matata.
Kosa lake alipenda kuandamana nae kila sehem hata katika vikao vyetu vya jioni(kinywaji).. Katika mvinyo kuna ukweli.. Nilipiga sound kama waziri wetu wa biashara, mtoto kanielewa. Kesho yake nikatumbukiza.
Karibuni mtoe uzoefu wenu.
Sawa.Mkuu naomba ondoa hilo neno jamani hapo si mahala pake..