Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Halali yake..
Kumbe hadi ela zake unakula
Tena ukiingiza unaonba pesa ya maana kwa mfano kuna kiwanja nimepungukiwa milioni kumiHalali yake..
Kumbe hadi ela zake unakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halali yake..
Kumbe hadi ela zake unakula
Tena ukiingiza unaonba pesa ya maana kwa mfano kuna kiwanja nimepungukiwa milioni kumiHalali yake..
Kumbe hadi ela zake unakula
Zinaathiri mpaka uwezo wa kufikiriaChips zinaathiri hadi moyo sukuma Damu na si vingine .
Chips ni janga kwa vijana.
hahahah that's an advantage.Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.
Hakika ndio saizi yake [emoji2] [emoji2]Mleta uzi ni wakuchoma moto..
Badala ya kutafuta njia ya kumfanya asijipendekeze we ndio utataka umtafune. Lol.Lkn mm Kwa upande akijipendekeza natafuna tu ili mazoea yasiwepo,ila siwezi kuwa serious namtongoza
Wanaume tumebaki wachache, serikali ifanye juhudi kizazi hiki kisipotee baada yetu, mtu atahisifia je ujinga huu???Hakika ndio saizi yake [emoji2] [emoji2]
Jitafakari..unapigiwa.Wanaume tumebaki wachache, serikali ifanye juhudi kizazi hiki kisipotee baada yetu, mtu atahisifia je ujinga huu???
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Na inabidi serikali ifanye juhudi kweli kweli ili isifikie huko wanakoelekea la sivyo watapotea wengi.Wanaume tumebaki wachache, serikali ifanye juhudi kizazi hiki kisipotee baada yetu, mtu atahisifia je ujinga huu???
Na kulingana mlivyo as ulivosema... Ikitokea ukamtonya tu lazma atahc vngne n utakua mwanzo wa chuki kati yako n dada ako... Ucje kumgusia kbsaMkuu I will never do that to her, she is my best friend and I can't even tell her this story, I don't want to hurt her feelings
Lakini unajua jinsi ambavyo laani au KARMA inavyotesa kwy haya mambo....hii ni kama kula nyama ya mtu...inabaki kwa kizazi chakoTujikumbushe ilivyokua ama mbinu tulizotumia kufanikisha azma ya kutembea na mashemeji zetu(rafiki ama ndugu wa mke/mume).
Mie nilikua na rafiki yangu ambae tulipangiwa kazi wilaya flani huko porini.. Rafiki yangu alitangulia na kuwa mwenyeji wangu, nilipofika nilimkuta kazama katika mahusiano na mtoto mmoja matata.
Kosa lake alipenda kuandamana nae kila sehem hata katika vikao vyetu vya jioni(kinywaji).. Katika mvinyo kuna ukweli.. Nilipiga sound kama waziri wetu wa biashara, mtoto kanielewa. Kesho yake nikatumbukiza.
Karibuni mtoe uzoefu wenu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unajua tatizo la wanawake wengi akijipendekeza ukamwacha basi kuna kuwa na kadharau fulan anakuonyesha,na inshu kama hiyo imeshawahi kunitokea nikaweka heshima lkn matokeo yake nilionekana mjinga,ss dawa yao ni kutafuna tu hamna namna mpaka mkikutana huwa nahakikisha anapoteza confidence kabisaBadala ya kutafuta njia ya kumfanya asijipendekeze we ndio utataka umtafune. Lol.
Mkuu naomba ondoa hilo neno jamani hapo si mahala pake..Yani dada yako tumbo moja??
Wanaume jamani hatuna aibu. Daah!
Hivi mme kama huyu akakuoa Emmyta itakuwaje![emoji2] [emoji2] [emoji2] Na inabidi serikali ifanye juhudi kweli kweli ili isifikie huko wanakoelekea la sivyo watapotea wengi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unajua tatizo la wanawake wengi akijipendekeza ukamwacha basi kuna kuwa na kadharau fulan anakuonyesha,na inshu kama hiyo imeshawahi kunitokea nikaweka heshima lkn matokeo yake nilionekana mjinga,ss dawa yao ni kutafuna tu hamna namna mpaka mkikutana huwa nahakikisha anapoteza confidence kabisa
Toa hiyo mifano hapa.. Otherwise itakua ni uzushi kama zushi zinginelakini mie naona hii kwa jiji kama dar nimeona inatokea sana, tena basi utakuta bint anajua kabisa huyu ni shemeji kwa dada au kwa kaka, unakuta mtu anajipeleka, marafiki ndio usipime, mie mwenyewe nasema hivyo yashanikuta na nina mifano hai, mradi wakishaona vijisent unavyo, haaao utaona wanajileta ka mbwa kamuona chatu