Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Shem wangu mimi na wewe tutavuka salama kweli?[emoji53][emoji53]Sifa za kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shem wangu mimi na wewe tutavuka salama kweli?[emoji53][emoji53]Sifa za kijinga
Yaani hata simtaki wa hivyo aisee.Hivi mme kama huyu akakuoa Emmyta itakuwaje!
Mna kazi nyie viumbe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati mwingine nawaza kwa maandishi, hivi hizi chips mayai wanazokula hawa wadogo zetu athari yake ni kubwa hivi, nilifikiri zinaathiri uwezo wao wa ku-jamiiana tu kumbe mpaka wa kufikiri.
Sasaaa baada ya kuonekana mjinga ulipungukiwa nini?
Wacha hizo bana.
Ata sijuuShem wangu tutavuka salama kweli?[emoji53][emoji53]
Haya bhana emmy ikinitokea inshu kama hio itanibid nifanyie ushauri wako kaziSasaaa baada ya kuonekana mjinga ulipungukiwa nini?
Wacha hizo bana.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mungu nisamee tu nmepita na mke wa kaka angu na dogo lake tena huu ujinga sifanyi tena
hata nikitolea mifano unawajua hao watu,Toa hiyo mifano hapa.. Otherwise itakua ni uzushi kama zushi zingine
Kweli kabisa mana sio kila chakula lazima ule. [emoji2] [emoji2]Haya bhana emmy ikinitokea inshu kama hio itanibid nifanyie ushauri wako kazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji115]Ata sijuu
Tujikumbushe ilivyokua ama mbinu tulizotumia kufanikisha azma ya kutembea na mashemeji zetu(rafiki ama ndugu wa mke/mume).
Mie nilikua na rafiki yangu ambae tulipangiwa kazi wilaya flani huko porini.. Rafiki yangu alitangulia na kuwa mwenyeji wangu, nilipofika nilimkuta kazama katika mahusiano na mtoto mmoja matata.
Kosa lake alipenda kuandamana nae kila sehem hata katika vikao vyetu vya jioni(kinywaji).. Katika mvinyo kuna ukweli.. Nilipiga sound kama waziri wetu wa biashara, mtoto kanielewa. Kesho yake nikatumbukiza.
Karibuni mtoe uzoefu wenu.
Sio rahisi umgundue mwanzoni bali utamjua undani wake tayari na mtoto mmejaaliwa, utafanyaje eti!Yaani hata simtaki wa hivyo aisee.
Kweli tuna kazi na sio ndogo.
Tena ukiingiza unaonba pesa ya maana kwa mfano kuna kiwanja nimepungukiwa milioni kumi
Ujue vitu kama hivyo ni ngumu kujua utafanya nini wakati haijatokea.Sio rahisi umgundue mwanzoni bali utamjua undani wake tayari na mtoto mmejaaliwa, utafanyaje eti!
Uchome moto baba wa mwanao!Ujue vitu kama hivyo ni ngumu kujua utafanya nini wakati haijatokea.
Huenda nikamsamehe au hata nikawachoma moto [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Natamani ingekuwa ndoto niamke nikemee ila ndo ishatokea[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Dah. Weweee. Mungu anakuona ujue
Kama ndio maamuzi yaliyokuja mda huo hakuna jinsi majuto baadae.Uchome moto baba wa mwanao!
Ndio ukikaa uuone ni ujinga ambao haukuwa na faida kwa sababu unaweza ukarudia siku nyingine.Natamani ingekuwa ndoto niamke nikemee ila ndo ishatokea
Tamaa tu, unatakiwa kuhakikisha hakuna ukaribu wa namna hiyo, na kama mwamamke au mwanume anajipendekeza utamjua tu, wewe unaweka ukauzu, yeye mwenyewe atakimbia. Mbona inatokea kila siku.