Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Una uhakika na unachokinena hapa?

Kote huko we umezungukaa?[emoji848][emoji15]

Research niliyofanya mimi mwenyewe pamoja na kushirikisha maoni ya mabaharia wenzangu wa karibu. Ndipo nilipokuja na conclusion hiyo
 
We nae angalia jukwaa husika hapa ni mahusiano mapenzi mambo ya madarasa nenda jukwaa la ujenzi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Jamaa anatukatisha tamaa bhana. Anamawazo mazuri ila sio kwenye huu uzi.
 
zipo za baridi...zipo mkuu[emoji16][emoji16]...kma uliambiwa, mm nimeshuhudia na kuona[emoji16][emoji16]
Mbunye za wapi izo zenye ubaridi ivi bro unaujua ubaridi inamaana hana mzunguko wa damu yaani mfu kabisa
 
Back
Top Bottom