Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Me nilisha deti na mjamaika yani alikua romantic sijawah ona yani kama siku nikishikwa na mafua yeye alikua anayanyonya puani kwangu kwa mdomo wake hadi yanaisha dadek
Ananyonya kamasi
 
Yeess ukiwa na Hela unawala pia mkuu. Na wao ni binadamu wanapenda raha na mtelezo sana. Hata usain bolt nadhani anaye mzungu.
Ila ukiwa kapuku hakuna kitu.
Familia ya kihindi unaijua mpaka umuoe binti wao ama wale waarabu pia achana na hawa waarabu koko. Lazima uwe na kashi chafu sana mkuu.
Nimekuambia kuwa wanatuchukia kisa ya umasikini wetu so unapokuwa una Hela wanakupenda pia. Ila hao wanaotafunwa na wao ni màsikini mana atakuwa anamlipia apartment hapo so chini ya dola 8000 kwa mwezi.
Ila akitafuna mbinti tokea familia ya trump,Clinton, malkia Elizabeth.
Wale mabinti Wa mawaziri,loyal societies, elite groups sijui kama unazijua mkuu. Hao unaosema Hela yako tu unawala ulizia kama atakula MTT Wa tokea familia ya Angela merkel , waziri Wa ujerumani,Austria ama Swaziland, USA ama Italy. Kama wapo wanaoliwa na blacks MIE nageuza jinsia.
Watu muwe mnaelewa jamani sipo kuleta ujuaji na MTU haleti kisa hapa kama ligi, kuonyesha kuwa anajua sana afu tena Ishu za k hazina hata tuzo. Ukipiga stories na mzungu anakuchora tu unavyopenda ngono mnazaliana mpaka mnashindwa kuwahudumia basics needs.

Elewa hata ulaya wapo ombaomba wanakuomba hata wewe blacks Hela.
Pia wanashangaa kuwa ulifikaje kwao nauli ulitoa wapo mana ni gharama sana. Ulizia NTU yeyote aliyesafiri angani so chini ya masaa kumi mkuu Uko tu angani nauli yake.
Masikini anayelipwa Hela ambayo haikutani na nyingine ya mwisho Wa mwezi.
Ni kwa nini asishobokee blacks kisa ya Hela ama jina pia.
Niambie ni MTT gani binti safi ambaye atagongwa na nyani gorilla ama muwaza ngono kuliko kazi na tafiti mbalimbali.agongwe na race duni Ikitokea ni kwa siri sana tena binti atachafua sana damu yao na race duni ambayo inaandamwa na kila aina ya laana.
Eti mbona mbape na Pogba wanakula totozi hatujakataa yaani wanakula mpaka wanazikimbia hata wewe pia waweza ila umle MTT Wa mfamle Wa saudia, Wallah dunia inageuka uelekeo Wa rotion mkuu.
Duu mpaka nimechoka kama hautanielewa kazi kwako.
Ila kama unakumbuka kuna mkenya ameshawahi rudishwa Kenya mana walikuwa close na binti Wa Clinton walipendana. Mtapendana na mtakulana ila wazazi hawatabariki ama kuwa proud kuolewa na wapenda k na waabudu bikra kama ndo urithi wao.
Kuna jamaa anaenda humu bikra kuliko lile jiwe LA Laizer Saniu sijui ni joka jeupe.
Jamaa ukimuwekea Tanzanite na bikra yeye atachukua bikra ila MIE nitachukua jiwe.


Kwa hisani ya mzee Wa bikra
We jamaa ni saddist fulani hivi, hata hapa bongo kutembea na mtoto wa raisi, waziri mkuu au anaetoka familia ya kitajiri sio rahisi kama unatokea familia ya kimasikini acha ku-ovarrate wazungu
 
Huyu kapungua Sana saiv.yaani Sana..

Anaitwa Rebel

Rebel Wilson kawa Mrito Sana.

Rebel Wilson.jpg
 
Okay Mimi miaka kidogo iloyopita nilikua nasoma moja ya chuo Cha Kati Cha uhandisi Arusha. Katika harakati nikiwa Arusha nilikua ni mtu napenda Bata maana clubs na pub sana Sasa wakati mmoja nikiwa na marafiki zangu tulienda moja ya night club ziko Arusha inaitwa Babylon .

Mimi na jamaazangu tulikua niwatu hatupendi kukaa ndani sana maana tulikua tunapenda kupigia vyombo maeneo ya smoking area tuko hapo tunapiga moja mbili mwanangu mmoja alikua vitu sana na yye akilewa anakua anapiga slang sana na hana aibu pembeni yetu walikuepo crew ya wadada na msela mmoja wote wajerumani walikua wanakula vyombo..Bwanaeeh huyu jamaangu anaepiga slang akawavagaa mara stry mbili tatu zikaiva akatuita kututa bulisha ...oohh sie tunasoma engineering huyu anasoma fani x nahu y halikadhalika na yy.

Basi bhana tukawa tumefahamiana bwana wee tuko pale nje ikapigwa nyimbo ya bailando kama sikosei wale watasha wakaingi ndani wakaanza cheza nasie tukaingia mdada mmmoja Kati ya wale wazungu akawa amejiaisolate anacheza mwenyewe nikamfata sikuogopa nikamuomba tucheze pamoja akakubali nikamsogeza and nikamhold very tight tukaanza cheza aisee sijawahi ona watu wana bad moves za kucheza and out of key kama wazungu kaa nilipata tatu but nikajiona mnyamwezi watu wanavyo nishangaa hahahaha..

Baada ya muda kidogo nikamkiss hakukataa mara deep kiss hakunizuia after few minutes wenzake wakamuita pamoja na wale guider wao kua inabidi waondoke dhaa nikaanza kuhaha anaondokaje nitampata vipi kumuomba number akakataa but akanambia anapatikana sehemu inaitwa Sanya juu wapo kwa muda wa mwezi ivi muda huo kagoma kutoa number na wanaondoka kumbana sana akamwambia mate wake walikua wote wa kiume achukue number yangu atanitafuta Basi bhana jamaa akachukua number yangu nikarudi chuo hostel na washkaji sijalala nawaza tu kama nitatafutwa kesho yake nimeamka aisee nawaza tu mzungu..

Nimekaa sikunzima nasubiri kutafutwa hola nikawa nimepanga ikifika jioni hajanitafuta nimfata sanaya kudadeki..mara kidogo ivi ikaingia bonge la sms gazeti ndo ukawa mwanzo Kati yangu na yule mjerumani. Akawa akija Arusha mjini ananitafuta wakienda popote shoppings nipo kilasehemu wakienda tour Niko nae story ni ndefu sana let me go straight siku nimekula tunda hahaha..

Alinipigia simu kua niende Moshi akanambia ikiwezekana nawale marafiki zangu bahatimbaya mmoja tu ndo alikua available bwana we masomo na kilakitu tukaweka pembeni wazee tukaingia Moshi akawa amesha book hotel room yake namimi na room ya jamaangu na marafiki zake wazungu walikua mamebook the same room..game likaanza tukaanzia Bata PUB ALBERTO watu wa Moshi wanapafahamu muda mwingi Niko nae nauza sura Sasa watu wananishangaa mpaka wale wenyeji wake ma guider I think wakaniita pembeni wananiuliza nimefanyaje nimechukua chombo nikawambia nibahatati tu..

Baada ya muda tukapanda gari wote Mimi mshikaji wangu nilieenda nae na wale wazungu tumefika hotel sinikawa muoga Sasa nikataka lala room ya mshikaji wangu hahahaha jamaangu akanambia nenda lala na dem wako kucheki kaingia afu kaacha room wazi nimeingia tu akanambia funga aisee what I got it will remain in me maisha all in all kama mdau alivyo sema wazungu no levels zingine kwenye mapenzi wanajali hygiene very romantic, caring (maanaeke asubuhi unaamushwa na kiss plus pizza hahaha)and she can do whatever kikubwa uenjoy na mostly wanapenda kiss sana wanapenda ukimtomba na kisses juu always so baada ya ya hiyo shoo mtoto alinielewa sana Hadi kunifanya mahudhurio chuo yakawa mabovu muda mwingi Niko nae nikajikuta naambulia sup kibao but nilimaliza chuo salama our relationship ended sadly ngoja niishie happy wakuu.
Eng.Matata
Kimasihala international
 
Yeess ukiwa na Hela unawala pia mkuu. Na wao ni binadamu wanapenda raha na mtelezo sana. Hata usain bolt nadhani anaye mzungu.
Ila ukiwa kapuku hakuna kitu.
Familia ya kihindi unaijua mpaka umuoe binti wao ama wale waarabu pia achana na hawa waarabu koko. Lazima uwe na kashi chafu sana mkuu.
Nimekuambia kuwa wanatuchukia kisa ya umasikini wetu so unapokuwa una Hela wanakupenda pia. Ila hao wanaotafunwa na wao ni màsikini mana atakuwa anamlipia apartment hapo so chini ya dola 8000 kwa mwezi.
Ila akitafuna mbinti tokea familia ya trump,Clinton, malkia Elizabeth.
Wale mabinti Wa mawaziri,loyal societies, elite groups sijui kama unazijua mkuu. Hao unaosema Hela yako tu unawala ulizia kama atakula MTT Wa tokea familia ya Angela merkel , waziri Wa ujerumani,Austria ama Swaziland, USA ama Italy. Kama wapo wanaoliwa na blacks MIE nageuza jinsia.
Watu muwe mnaelewa jamani sipo kuleta ujuaji na MTU haleti kisa hapa kama ligi, kuonyesha kuwa anajua sana afu tena Ishu za k hazina hata tuzo. Ukipiga stories na mzungu anakuchora tu unavyopenda ngono mnazaliana mpaka mnashindwa kuwahudumia basics needs.

Elewa hata ulaya wapo ombaomba wanakuomba hata wewe blacks Hela.
Pia wanashangaa kuwa ulifikaje kwao nauli ulitoa wapo mana ni gharama sana. Ulizia NTU yeyote aliyesafiri angani so chini ya masaa kumi mkuu Uko tu angani nauli yake.
Masikini anayelipwa Hela ambayo haikutani na nyingine ya mwisho Wa mwezi.
Ni kwa nini asishobokee blacks kisa ya Hela ama jina pia.
Niambie ni MTT gani binti safi ambaye atagongwa na nyani gorilla ama muwaza ngono kuliko kazi na tafiti mbalimbali.agongwe na race duni Ikitokea ni kwa siri sana tena binti atachafua sana damu yao na race duni ambayo inaandamwa na kila aina ya laana.
Eti mbona mbape na Pogba wanakula totozi hatujakataa yaani wanakula mpaka wanazikimbia hata wewe pia waweza ila umle MTT Wa mfamle Wa saudia, Wallah dunia inageuka uelekeo Wa rotion mkuu.
Duu mpaka nimechoka kama hautanielewa kazi kwako.
Ila kama unakumbuka kuna mkenya ameshawahi rudishwa Kenya mana walikuwa close na binti Wa Clinton walipendana. Mtapendana na mtakulana ila wazazi hawatabariki ama kuwa proud kuolewa na wapenda k na waabudu bikra kama ndo urithi wao.
Kuna jamaa anaenda humu bikra kuliko lile jiwe LA Laizer Saniu sijui ni joka jeupe.
Jamaa ukimuwekea Tanzanite na bikra yeye atachukua bikra ila MIE nitachukua jiwe.


Kwa hisani ya mzee Wa bikra
Umeongea ukweli mtupu.. Mzungu akiwa Afrika na akiwa nchini kwako ni watu wawili tofauti kabisa.. Cha kwanza mwafrika sio chaguo la mzungu, mzungu ukiona ameolewa na mwafrika jua wazungu wenzake hawamtaki so anakimbilia Afrika au kwa wahindi maana ndio washamba WA wazungu
 
Suala la usafi kwao ni A+ hygienic ya mwili wanajali saana. Hanuki huyu mtoto ananukia uturi wa kifaransa muda wote Kama malaika vile.

Mzungu ni binadamu wa level ya juu saana. Hana unafiki, mkweli, ana upendo wa dhati.
Mhhh, wazungu hawaogi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe bwana utakuwa umevurugwa tuu n'a ushamba WA mzungu.. Kazi Yao kupaka mapfyumu
 
Back
Top Bottom