Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Sasa ni takribani miaka 20 inakarabia tangu kombe LA dunia LA mwaka 1998.
Moja kati ya best players niliokuwa nawakubali enzi hizooo.
Katika timu ya croation kuna mchezaji alikuwa anaitwa davor suker.
Timu ya Nigeria kulikuwa na mwako KANU,jay yay okocha, Sunday oliseah,
Timu ya uholanzi kulikuwa na Dennis beckamp,patric kluvert,
Haya na wewe tukumbushie
Moja kati ya best players niliokuwa nawakubali enzi hizooo.
Katika timu ya croation kuna mchezaji alikuwa anaitwa davor suker.
Timu ya Nigeria kulikuwa na mwako KANU,jay yay okocha, Sunday oliseah,
Timu ya uholanzi kulikuwa na Dennis beckamp,patric kluvert,
Haya na wewe tukumbushie