Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Dah hii hatari
 
Dah! Wenzetu mnawezaje
 
Ulifanikiwa?
 
Biashara siku hizi imeimarika?
 
Mimi nimechukua mwaka huu, lakini ni wa mwaka mmoja. Mwezi wa tatu namaliza deni. Nilichukua ninunue boda boda lakini huyu jamaa niliyempa boda boda badala ya kuleta hela analeta stories. ...
Yaan pikipiki yako halafu uteseke namna hiyo kisa unaogopa uchawi smh!!! Sijui issue yako iliishaje ila ulijikosea sana kama huchukua hatua ya kumnyang'anya huyo chalii pikipiki
 
Acha kabisa. Me kuna wakati mambo yalinikaba koo. Nadaiwa Kodi ya nyumba, rejesho bank na mke wa bro yuko hospital kajifungua kwa operation wanataka mkwanja, hapo bro Hana kazi kampuni yao ilifilisika na ndo alietusomesha so ilibidi Tu niwajibike. Unaweza tamani ukimbie asee.

Nilitumia akili sana(japo sikuwa sahihi, Mungu anisamehe). Nilikuwa nachukua pikipiki ya boda anaeniamini, namwambia nna Safari nayo narudi baada ya wiki. Naenda weka Ile pikipiki bond, nachukua mkwanja naenda lipa rejesho na kiasi kingine hospital. Baada ya wiki nachukua pikipiki ingine, naweka bond sehemu nyingine afu naenda komboa pikipiki Ile ya Kwanza. Nilifanya hivyo kwa pikipiki kama nne ya tano nusura iniletee shida Ila nashukuru nilipata kampenyo na kuikomboa. Maisha haya, acheni tu jaman.
 
Wanasema changamoto ndo huleta akili
 
nilishakopa zaidi ya mara kumi bank ila mikopo miwil ilinitesa sana ila sasa niko sawa, kwa sisi wafanyabiashara usichukue mkopo kwa sababu tu unakopesheka cha msingi angalia mahitaji yako ili usije ukatumia mkopo tofauti na kusudi la mkopo
 
Huu uzi nasoma nacheka mwenyewe hahaha maisha haya
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Nimecheka kama mwehu......
 
Yani unakatwa 800k kwa mwezi kwa mwaka mzima halafu unasema hauna riba are you serious?[emoji848] yani umekopa M5 unarudisha M9.6[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee tamaa ya pesa za haraka haraka hzi
 
Duu nimepata SoMo kubwa kwako hapo. Wanaume huwa nasema kila siku kuwa twauangushwa na mbunye tu basi.vingekuwepo vidonge vya kuzima hisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…