Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Pole Sana mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah Big Chawa
 

Pole kwa yakioyokukuta

Binafsi haijawahi nitokea nikikopa nafanyia swala husika ambalo nilikusudia kabla sijakopa na si vinginevyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu pesa ya Mkopo taam sanaa dah acha asikwambie mtuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Story kama ya kuchekesha lakin usiombe uwe kwenye kipindi kama hicho.

Ushauri wangu usichukue loan kwa kutegemea unaenda anza biashara mpya.

Usichukue pesa alaf utengeneze office

Usichukue mkopo ukafunga harusi.
 
Story kama ya kuchekesha lakin usiombe uwe kwenye kipindi kama hicho.

Ushauri wangu usichukue loan kwa kutegemea unaenda anza biashara mpya.

Usichukue pesa alaf utengeneze office

Usichukue mkopo ukafunga harusi.
Kama huna source nyengine ya kupata huo mtaji wa biashara, au kutengeneza ofisi, au kuolea (mahari na sherehe) kwanini usichukue mkopo kama fursa hiyo unayo? Au ndo mtu ajichange laki mbili zake mpaka zitimie milioni 5 - 10 ndo aanzishe biashara?
 
UZI HUU UMENIKUMBUSHA MIAKA MIWILI ILIYOPITA DAAAAAAAH:

Mikopo Mikopo Mikopoooooo.
Mikopo ni moja ya janga kubwa kwa watumishi wa serikali walio wengi, hasa Wanajeshi/Askali police/Walimu n.k

Mfanyakazi mwenzangu alikua na demu wake mtamu kiac chake walikua wanaishi pamoja Kama mtu na demu wake, kwa bahati mbaya wote wajedaaaa. (Ni nadra Sana kukuta wajeda/askali police kuoana labda walimu ndio wengi wanaweza vumiliana)

Katika kuishi huko wakakubaliana baada ya muda flani wafanye mchakato wa kuoana, ktk mipango yao mingi waliokua wameiweka pia kujenga nyumba lilikua lengo lao pia. Wakashauriana wakazama bank, jamaa akakopa 25Mill na demu nae kachukua Kama 17Mill.

Pesa ya demu akaunua Gari then Pesa ya mshikaj wakajenga nyumba kwenye Kiwanja Cha demu, bac wakawa wanatembelea gari kutoka home kwenda kazin na wakat mwingine wakipishana shift bac mmoja ataenda na gari mwingine anarudi nalo then anapoenda kulipoti kesho yake anampa mwenzie gar hvyo hvyo maisha yakawa yanaenda.

Bana weeeee baada ya makato kunoga na mshahar ushakua mchache pande zote na walisha zoea maisha flan ya Bata sanaaa. Demu akaanza kuzingua mala asilale ndani akiulizwa na mshikaj anamwambia alikua Lindo la usiku Sasa uzur wake jamaa anajua ratib zao zikoje so kufuatilia kiundan kumbe demu anatoka na Mkuu wa kikosi, wakat mwingine mkuu wa kitengo Cha siraha, aaaaaah mshikaj aliumia Sanaaa, akaja mchana demu wake, bwana weeee jibu alilopewaa ni kwamba hana pesa ya kumtunza hvyo awe mpolee.

Mshikaj akapanic, akamdunda Dem weeee zilichapwa humo ndani vunja vunja kila saman iliyokua mbele yao, mwenyekit wa mtaa ndo kuitwa kua watu wanauana huku nae akafurumshwaa Cha kushangaza mshikaj akatimuliwa pale nyumban Mana alichanwa kua Ile c nyumba yake cox Kiwanja hakina jina lake.

Mshikaj ikabid awe analala zake kambini mtaan kushakua sooo na ndio mwanzo wa kuzidisha kunywa pombe akawa mlevi mzuri tu. Kandri cku zilivyokua zinakwenda washkaj wakawa wanampump kua amlambe risasi manzi coz haiwezekan yeye atumie mkopo wote kujenga nyumba mwisho wa cku apolwe kila kitu, wengine wanasema amalizane na wakuu zake, jamaa akawa mgumu kureact. Cku 1 akatonywa na washkaj zake kua manz wako analiwa ndani ya nyumba aliyojenga yeye kua mara nyingi Gari ya boss wake (boss mdgo) inapak pale home.

aaaaah aaaah jamaa kwann asiende kichwa kichwa yaliyomkuta humo ndani alichezea kichapo Cha kwenda mbele mpk kulazwa, Basi koz issue ilikua inamhusu boss wake wakaifumbia kikosini lkn jamaa alipampiwa na masela baada ya kutoka hosp jamaa cku hyo kawa Lindo kwann asitumia Bunduki yake kumteka Boss wake
Weeee kambi nzima wakadata na wengine kufurahia (lkn yule boss pale kambini watu wengi hawampendi cox anapenda sana Chini za wenzie, so macopro wengi walifurahia lile tukio la mshikaj kumteka jamaa) boss hakupigwa risasi Ila alichezea kichapo heavy kutoka kwa mshikaji na kutelekezwa, bac cox Ile issue ilikua inafahamika kambini kua boss mkubwa na mdgo wanakula manzi ya copro na hata makopro wanawake waliopo kambini wengi walikua wanarubuniwa kimapenzi hasa na huyu boss mdgo, kilichofanyika ni boss mkubwa (mzee wa kambi) ni kuwahamisha kambi wote (copro na boss mdgo) ili wasije uana ingawa copro alipata kifungo Cha muda kambini kabla hajaondolewa Mana ulikua utovu wa nidhamu wa Hali ya juu na Boss mkubwa akawa amejihalalishia kumla manzi mzo kiulaiiini mana mwanzo alikua anajifichaficha.

Washkaj wanasema mshikaj kawa Cha pombe Mara mbili ya alivyokua kambi ya mwanzo.

Hapana chezea mkopo wa miaka 7 aisee.
 
Inasikitisha sana mkuu.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bro hii issue naijua mwanzo mwisho naweza kukutajia mpaka vikosi walivyotoka [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ila nishawahi Ingia kwenye mahusiano na mwanajeshi hawa watu ni vichomi[emoji45]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…