Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Mwenye kisu kikali😆
 
Alijidanganya kiwa anapendwa 🤣🤣🤣🤣
 
Huu uzi unafundisha na kusikitisha pia uko njema, kukatwa 800k kwa mwezi itakuwa salary yako ni heavy
 
Huu uzi unafundisha na kusikitisha pia Umenichekesha sana mkuu
 
Hahahahahah ngoja kapite humu utakatambua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…