Tuliowahi kudate na waume za watu tukutane hapa tusimuliane visa tulivyowahi kukutana navyo

U proove that mwanamke anapenda uongo hata kama anajua ukweli wa jambo
wa hvo anakuwa na sababu zake tu...

Kuna msemo unasema uwezi kosa ndoa uko na nyumba [emoji1][emoji1] ukiona ameamua kuwa na wewe ata kama umemwambia huwezi kumuoa jasi jua wewe ni wa faida sana kwake[emoji135]
 
Hii haibadilishi ukweli kuwa ni MBAYA hakuna mtu mwenye akili timamu ataunga mkono kutembea na Mume wa mtu ni mwehu tu atatetea upumbavu
Wewe sema kutembea na mke wa mtu ila usiwasemee wanawake maana hakuna siku ulishakuwa mwanamke. By the way, sie tunawatafuna sana na ni watamu mno mabinti ambao hawajaolewa. Hivi mtu una akili timamu unahangaika na mke wa mtu hadi akutatue marinda ya nini? Si mke wa mtu unamwacha nyumbani unafuata ambaye hana mume. Nashangaa mwanaume aliyeoa kutembea na mke wa mwenzake ila siwezi kushangaa mwanaume aliyeoa kutafuna vibinti ambavyo havijaolewa, after all kama ameolewa ni kuwa kila usiku anampa mme wake na wewe unaogelea ,,,, zake. Huyu ambaye hajaolewa (assumption ni kuwa unamega peke yako).
 
Ndomana huwa nasema tusihukumu wanawake kwaujumla ahukumiwe mhusika hebu ona hii kichwa hongera sana
 
Ndio yule aliekujengea nyumba? tiGO live it, love it
 
Upo single nitangaze nia
 
Umenigusa sana...umeandika kwa hekima kubwa,na kama hivi ndivyo unavyoishi lazima ndoa idumu.
 
Nikiwa mkubwa nitaoa ili hii kitu yangu iwe tamu![emoji39]
 
Mume wa mtu ni mtamu balaa tatizo ni ratiba zake na huwezi kukesha naye. Yani kutafunana ni mchana tu. Ila ni watamu asikwambie mtmuu, uuuuuwwwwi.

[emoji39][emoji39][emoji97][emoji97]
 
qeen jojo
Umeongea meeengi mazuri sana, ila nikukumbushe tu kitu kimoja... hakuna mke wa kumtimizia mwanamme kila kitu.

Mwanamme hajaumbwa hivyo, mambo ya mke mmoja ni ubinafsi wenu tu... ni mifumo ya kimaisha.

Nikiwa mkubwa nitakupa ndoa.[emoji847]
 
Nikajikuta penzi linakolea hadi nikajitambulisha kwa mke wake kuwa mimi ni mke mwenzako, si akaanza ugomvi na matusi kuwa alikuwa anajua ila alitaka kupata uhakika


Kweli wanawake ni zero kwenye utunzaji siri
 
Hivi kumbe dick ya mume wa mtu ni tamu namna hiyo mpka ukafikia hatua kujiintrojuzi kwa mke[emoji1][emoji1].safi[emoji2935][emoji2935][emoji2935]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…