Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

Hahahaaa serious? 2013 had 2019 mbona wana utani hawa watu.

Bas wacha niwasubrie siku wakinikumbuka watanirudshia hela yangu
kabisa kabisa tena ilikuwa mliman city,kwa kweli hata nilishasahau nashangaa tu siku hiyo napigiwa simu.

nikaona daaahh haya mambo ya tigo ni magumu na sio siri inakera sana hiyo tabia ya kutatuliwa jambo dogo linachukua mda mreeefu kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya kwanza niliambiwa nisubiri saa 24 zilivyoisha nikaambiwa nisubiri masaa 72 leo ninapoongea yamepita masaa 336
Hawa ni zaidi ya we we siiiii
 
Mara ya kwanza niliambiwa nisubiri saa 24 zilivyoisha nikaambiwa nisubiri masaa 72 leo ninapoongea yamepita masaa 336
Hawa ni zaidi ya we we siiiii
Masaa 336 😂😂, mkuu umenichekesha. Yaan ukacalculate kabisa masaa
 
Tarehe hiyo hiyo mimi nimenunua luku 10 000 sijapata token wala hela haijarudi nimekua nikipiga simu kila siku mpaka customer care wakanitukana na uzuri nimewarikodi so kama kuna njia yeyote ya kupata haki yangu nijulishe nasubiri wanirudishie tu hela yangu ili nikafute usajili
Dawa ni kufika makao makuu tu hakuna nyingine
 
Tigo tunakumbushia hela zetu

Hembu muone soo kidogo dah mumekausha na kukauka kama vile hakuna lililotokea!
Rudisheni bhwana sio haki yenu hizo
 
Mimi wiki iliyopita niliomba kutumiwa miamala ya miezi mitatu kwa njia ya email! Gharama za huduma hii ni shs 1000 ambazo zilikatwa kutoka kwenye account ya tigo pesa lakini miamala hadi leo hii sijatumiwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi wiki iliyopita niliomba kutumiwa miamala ya miezi mitatu kwa njia ya email! Gharama za huduma hii ni shs 1000 ambazo zilikatwa kutoka kwenye account ya tigo pesa lakini miamala hadi leo hii sijatumiwa


Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wote baba yao ni 1. Sasa ukijichuuza uwakache tigo uende voda ndio utakua umeruka mkojo
 
Back
Top Bottom