peter_intelligent
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 604
- 519
kabisa kabisa tena ilikuwa mliman city,kwa kweli hata nilishasahau nashangaa tu siku hiyo napigiwa simu.Hahahaaa serious? 2013 had 2019 mbona wana utani hawa watu.
Bas wacha niwasubrie siku wakinikumbuka watanirudshia hela yangu
nikaona daaahh haya mambo ya tigo ni magumu na sio siri inakera sana hiyo tabia ya kutatuliwa jambo dogo linachukua mda mreeefu kweli
Sent using Jamii Forums mobile app