Walifanyaje mkuu? Ama ndo wale walichoma moto shule?Nawasubiri waliomaliza njoss 2014 waje waniombe radhi hapa[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hii Kali sana mkuu bado hukutimuliwa shuleSafi kwa uzi huu na mimi leo natubu hapa, Niliharibu Fire Extinguisher, niliuza majembe na ndoo za shule, nilimwibia mwalimu kalamu, nilivunja madawati ya shule, Nilipiga wanafunzi wenzangu, niliwapa mimba wanafunzi watatu na kuwaharibia masomo yao.
Nilichota sukari stoo na kupeleka nyumbani, Niliiba tai za wenzangu, Nilikula chakula chao.
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Usinisahau kwenye Baraza Jipya.