MPHINGU
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 518
- 613
Wakuu leo nimeona nivute UZI huu hapa kwa miniajili ya kutubu baadhi yetu tuliowahi kufanya makosa ya kuharibu mali za shule ikiwa ni kuharibu vitanda, milango, viti madawati, nk kwenye shule tulizo soma.
binafsi Mimi natubu hapa kwa loss la kuvunja bombs la maji
Sent using Jamii Forums mobile app
binafsi Mimi natubu hapa kwa loss la kuvunja bombs la maji
Sent using Jamii Forums mobile app