Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Habari wana JF,
Nilikuwa Afisa mauzo (Salesman) kwenye kampuni flani jina sitalitaja, nikiuza bidhaa aina ya Tumbaku. Kupata hela pungufu au bidhaa pungufu lilikuwa jambo la kawaida yaani short kwa ujumla, na hela pungufu umepata ndogo ni elfu hamsini na kuendelea ni short kweli kweli usipokuwa makini.
Mteja mwingine anakuaminisha hela yake iko safi na sawa huna haja ya kurudia kuhesabu. Ukifika bank hapo ndo unagundua una shoti ya kufa mtu na ukirudi kwa mnunuzi anakukataa vibaya mno!
Hebu nipe na wewe uzoefu wako. Nitaendelea kutoka ushuhuda.
Nilikuwa Afisa mauzo (Salesman) kwenye kampuni flani jina sitalitaja, nikiuza bidhaa aina ya Tumbaku. Kupata hela pungufu au bidhaa pungufu lilikuwa jambo la kawaida yaani short kwa ujumla, na hela pungufu umepata ndogo ni elfu hamsini na kuendelea ni short kweli kweli usipokuwa makini.
Mteja mwingine anakuaminisha hela yake iko safi na sawa huna haja ya kurudia kuhesabu. Ukifika bank hapo ndo unagundua una shoti ya kufa mtu na ukirudi kwa mnunuzi anakukataa vibaya mno!
Hebu nipe na wewe uzoefu wako. Nitaendelea kutoka ushuhuda.