Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Mimi nimewahi kufundisha shule fulani private. Mkuu wa shule alikuwa na mambo ya kiwaki kisenge.

Sometimes, anaweza kukufokea hata mbele ya wanafunzi.

Ikifikia tarehe za mishahara basi ndio kufoka nje nje. Nyumba niliyokuwa nimepewa ilikuwa karibu na ya kwake, so, sometimes washkaji wakija gheto mkawa mnaongea kwa nguvu mnabishana mnacheka, anawaibukia anafoka Walimuu mnapiga kelele kama watoto wa primary[emoji1787]

Nikawa najisemea tu huyu dawa yake iko jikoni.

Kuna wakati tunakaribia kuchukua mshahara, mwisho wa mwezi akawa anafoka, ooh kama hujaandika scheme of work na lesson plans sikulipi mshahara [emoji1787] ( walimu wanaijua hii midude )

Basi nikajipinda nikaandika hayo ma-scheme of works ( plan ya miezi 6 ) na lesson plans, nilivyomaliza nikampelekea.

Akasema poa, nenda kwa Accountant akupe mshahara wako. Nilivyolipwa tu, nitatafuta muda huyo mkuu wa shule hayupo, nikaiingia ofisini kwake nikayaiba hayo scheme of works nikaenda nikayachoma moto halafu nikaacha kazi, nikasepa[emoji1787]. Ilikuwa 2013 hiyo.

Kiukweli mimi kuvumilia dharau nilishashindwa kabisa. Siwezi.

Mimi chuoni nimewahi kumfuata Lecturer ( HoD ) ofisini kwake nikamtukana. Alikuwa ananisumbua sana.

Mimi probably nitakuja kumnyenyekea mtu nikiwa na watoto 6, mmoja ana ugonjwa wa kudumu, nadaiwa kodi ya nyumba, mama ana matatizo.

Hapo nitajitahidi kunyenyekea. Kwasasa nitakuwa muongo. Sitaweza.
Jifunze kunyenyekea unapowakosea wengine, kujifanya mjuaji na umekosa ni ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii comment imeonyesha we ni mtu wa namna gani? We ni wale watu mtu akipinga hoja yako una panick na kugeuza kuwa ugomvi. Unaandika vitu ambayo havijasemwa na havipo. Mdau hapo kapingana nawewe kimtazamo na ingetakiwa ukae chini na kutafakari kuwa labda kamaa yupo right na wewe upo wrong .that is maturity , hakuna maali jamaa kasema anakupangia cha kuandika huku kama unavyodai?

Unasema utazidi kuruka ruka utakavyo , huku ndani tu hatufaamiani uko nje ukiruka ruka na maisha yako who cares?

Critical thinking is free you should try it sometimes
Wewe ndo hueleweki nimeandika experience yangu yeye akaanza kunishambulia Mara uongo, sijui hata kuandika Mara aongelee nguo Mara super star while ni experience yangu why Ani attack, na kulazimisha jambo asilolijua. Hafu Mimi mtu akiwa mstaarabu namjibu hivo hivo so hata huyo nimemjibu kwa alichoandika, hafu Uzi huu mbona Una comment nyingi yangu aone ni uongo.
Mie najibu kulingana na mtu alivokuwa loh
 
Wewe ndo hueleweki nimeandika experience yangu yeye akaanza kunishambulia Mara uongo, sijui hata kuandika Mara aongelee nguo Mara super star while ni experience yangu why Ani attack, na kulazimisha jambo asilolijua. Hafu Mimi mtu akiwa mstaarabu namjibu hivo hivo so hata huyo nimemjibu kwa alichoandika, hafu Uzi huu mbona Una comment nyingi yangu aone ni uongo.
Mie najibu kulingana na mtu alivokuwa loh
You are too judgmental dear . Punguza iyo hulka ya kuwa ivyo . Kwamfano unauliza uzi huu una comment nyingi mbona nione tu yako? Tayari umeshaanza ku judge kwanini nime reply comment yako? Ukiwa una judge kila kitu kwenye haya maisha utashindwa kuchangamana na watu vizuri kwa kuhisi kuwa uko sahihi wakati wote ila watu ndo hawakuelewi.
 
Pana mtu alifukuzwa Kazi akasota miaka akapambana akafanikiwa kufungua kampuni akapiga pesa hadi kujuta alikuwa wapi kupoteza mda kuajiriwa.
Kuna mtu alifukuzwa Kazi kwa chuki akarudi kijijini amekata tamaa kabisa,ukaja mradi wa parachichi akatumia mashamba yao akajikita kwenye parachichi leo ana miliki mabilioni, milioni 300 anaingiza kwa mchumo mmoja tu.Ana pesa majumba na magari ambayo hata waliomfukuza Kazi hawatoweza kuja miliki duniani.
Unaweza ukafukuzwa Kazi kumbe umepigwa chura teke.
Muhimu ni kutulia fanya meditation yaani mtafakari Mungu ongea na Mungu lzm utaliona kusudi.
Utasimama utasonga.
Meditation ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True wengi ufukuzwa kwa uonevu sababu awajui haki zao.Pili wengi upotezea na kuamua kutafuta njia zingine za maisha.
Hawa CMA wapo wapi.Kuna mtu kafukuzwa Kazi kwa kupewa tipu kama asante baada ya kutoa huduma nzuri kwa mteja yaani asante ya soda tena elf 5.Halafu ipo mijizi inafilisi taasi kama nssf, wengine wanakutwa na mabilioni na wala awachukuliwi hatua wanapangia kwingine wakazitumbue.
Waafrika tuna roho mbaya sana yaani unamfukuza Kazi mtu kisha kapewa elf 5 akanywe soda,hali we ni mpigaji mkubwa,
Na ndiyo maana wengine huamua kuwa wao kama wao tu, hawataki socialization kwa upuuzi kama huu. Hakuna anayeaminika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True ukifukuzwa Kazi ikapata panono pengine huwa wanaumia Sana kama jiwe alivyomtumbua Dr Mwele akapata UN Kazi ilimuumiza Sana jiwe kutwa haeshi kumsimanga na kumnanga.
Hizi roho nyeusi zinaendana na rangi zetu hasa kama ulikulia kwenye extremely poverty tena bush
You are likely to come!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuhh 2019

2016 nimemaliza chuo nikapata sehemu ya kujishikiza, 2017 nikapewa mkataba wa mwaka mmoja moja.

Wakati naingia mambo yalienda vema sn, ila mkuu wa kitengo alikua anapenda sifa KUPITA KIASI (Kila mtu kwake ni Hopeless) hili lilinifanya nipishane nae

2019 January yeye ndio akawa mkuu wa ofisi, aisee hapo niliipata,

1. Alisema nisipewe kazi yoyote
2. Alisema mimi sijui kazi kabisa( hii ilitokana kuna mradi tulipata, nikapewa mimi niufanyie kazi, sasa wakati umefika kwenye utekelezaji yeye ndio boss ko akaninyangaya akasema nimefanya kimakosa akauchukua yeye)
3.Akawa anasema mimi ni Hopeless
4. Anakuita mbele ya watu anakutukana sanaa daahh aisee nimedhalilika sana

Nikaanza kutafuta kazi kimya kimya, Nikapata tena kwenye taasisi ya watu tuliokua tunawahudumia "ilikuaje"

Walimuuliza mkuu wangu wa kitengo wa kipindi hiki ss "mbona xxx siku hizi hatumuoni" akajibu "dah sijui wana bifu gani na mkuu, maana hataki hata kumuona"

Jamaa wakanitafuta wakanipa mkataba wa kazi nikatulia, sasa nikaandika barua ya kusitisha mkataba huku namsubiri mkuu ajichanganye..

Akaingia kwenye 18, siku hiyo akaja reception kabisa kwa watu wanaokuja kumuona akaanza sifa zake

Akamuita HR na wenzie akasema kuna watu mkataba ukiisha wasionhezewe akaniita akaanza kunisema akasema sikuongezei mkataba, nikamwambia sihitaji

Nikaingia ofisini nikachukua barua, Nikamwambia wewe ni mbwa kama wengine unastahili kutupiwa chakula, NIKAMTUPIA BARUA YA KUSITISHA MKATABA NIKAMWAMBIA OKOTO UPELEKE MASIJALA. HAKUAMINI.

Hii ni Taasisi ya Serikali, mtu anaifanya yake
Imekaa kibingwa sana hii.
 
Duuhh 2019

2016 nimemaliza chuo nikapata sehemu ya kujishikiza, 2017 nikapewa mkataba wa mwaka mmoja moja.

Wakati naingia mambo yalienda vema sn, ila mkuu wa kitengo alikua anapenda sifa KUPITA KIASI (Kila mtu kwake ni Hopeless) hili lilinifanya nipishane nae

2019 January yeye ndio akawa mkuu wa ofisi, aisee hapo niliipata,

1. Alisema nisipewe kazi yoyote
2. Alisema mimi sijui kazi kabisa( hii ilitokana kuna mradi tulipata, nikapewa mimi niufanyie kazi, sasa wakati umefika kwenye utekelezaji yeye ndio boss ko akaninyangaya akasema nimefanya kimakosa akauchukua yeye)
3.Akawa anasema mimi ni Hopeless
4. Anakuita mbele ya watu anakutukana sanaa daahh aisee nimedhalilika sana

Nikaanza kutafuta kazi kimya kimya, Nikapata tena kwenye taasisi ya watu tuliokua tunawahudumia "ilikuaje"

Walimuuliza mkuu wangu wa kitengo wa kipindi hiki ss "mbona xxx siku hizi hatumuoni" akajibu "dah sijui wana bifu gani na mkuu, maana hataki hata kumuona"

Jamaa wakanitafuta wakanipa mkataba wa kazi nikatulia, sasa nikaandika barua ya kusitisha mkataba huku namsubiri mkuu ajichanganye..

Akaingia kwenye 18, siku hiyo akaja reception kabisa kwa watu wanaokuja kumuona akaanza sifa zake

Akamuita HR na wenzie akasema kuna watu mkataba ukiisha wasionhezewe akaniita akaanza kunisema akasema sikuongezei mkataba, nikamwambia sihitaji

Nikaingia ofisini nikachukua barua, Nikamwambia wewe ni mbwa kama wengine unastahili kutupiwa chakula, NIKAMTUPIA BARUA YA KUSITISHA MKATABA NIKAMWAMBIA OKOTO UPELEKE MASIJALA. HAKUAMINI.

Hii ni Taasisi ya Serikali, mtu anaifanya yake
Safi sana mama.e zake. Kuna watu humu duniani ni mbwa koko kabisa.
 
mm sijawahi kufukuzwa,Ila niliwahi kubembelezwa ni resign nikasita kwa muda mrefu baadae nikaamua kukubali ku resign.Ilikuwa hiv ,baada ya kumalizia tu chuo,niliingia kitaa kusaka kazi,nikatumia wk 2 kuzurula mtaani na kibahasha changu Cha vyeti, world vision nilifika lkn wakanpa maneno ya kunifarj lkn nikaona hapa bila mtu sipat kaz nikaachana nao,Kama zali wk ya pili nikapewa mchongo Kuna project mpya shirika fulani hv Iina launch project mpya, iliitwa LEAD project donors wakiwa UK,jamaa Kama masihara wakanichukua kwa mkataba wa miaka 4,ilikuwa 2013yr hiyo,waka nipost mbeya nikagoma,wakanibembeleza weeee nikagoma nakumbuka tuligoma vituo watu 2,mm na jamaa mmoja kutoka tanga aliitwa Jonas,siku hiyo walipangiwa wote pamoja na jamaa angu,kasoro mm,wakaniambia Rudi baadae tutakupigia sm nikawaambia poa,kweli nikarudi zangu home,usiku saa tano manager wa mladi akanipigia sm,kuwa wamenipa iringa nikamwambia poa nitaenda,Nika join iringa,nikiwa kule nilikuwa situlii kila mala naingia internet kuchek mashirika mengine,maana nilijua private sector Kuna michezo michafu na rafu nyingi,muda wowote kinaweza kunuka.

nikiwa iringa 2014,nafasi za ajira zikatoka govt,fasta nikatuma maombi , interview tuliitwa arusha,mwaka huo nikaajiriwa govt mkoa wa mbeya,wilaya ya kyela,nikawakumbuka wazungu waliokuwa wananibembeleza niende mbeya na LEAD PROJECT,nikaona nimebugi Sana kuwagomea kipnd kile.ss nikawa napga govt na LEAD PROJECT,Ila kwa Siri ,boss wangu kule gvt sikumficha maana nilijua nisipompa mchongo kupga huku na kule itakuwa inshu,uzur boss alikuwa sosho Sana,akasema dogo piga kaz usjal,Ila ukiwa unachomoka hapa nipage taarifa,nikamwambia poa .

Sasa baada ya miez 3, LEAD PROJECT HQ,wakasanuliwa na jamaa mmoja tulikuwa nae pale iringa lead project,wakawa Wana nipigia masim kibao ni resign ,nikawakazia ,nilijua hawawez kunifukuza na tayari mkataba nilisha saini.

Niliendelea kupga Kaz huku na huku,Ila kero za masm zilikuwa Mara kwa Mara,wakiniuliza ume saini Kaz govt nawabishia nawaambia hapana ,hakuna kitu Kama hicho,wakiwatuma wakuda waje iringa Kuna jamaa yangu mwngine alikuwa best wa ukweli kwangu,akawa ana nitonya fasta yy alikuwa na ndg yake HQ dar so alikuwa anapata taarifa mapema za project kutoka HQ. Jamaa walichanganyikiwa kweli,kunifukuza hawawezi ,so wakabaki kunipiga saund ni resign.

Siku moja,nikatoka iringa ,kwenda mbeya kazn govt,asbh nikiwa kyela,nikapigiwa sm,kupokea jamaa akajitambulisha yy ni manager kampuni moja inaitwa utravet ,HQ zao ziko Kenya,kwa hapa tz ni Arusha ,akaniambia natakiwa kuripoti Arusha ndani ya siku 3, nisaini mkataba na utravet ,baada ya kusaini natakiwa kwenda Kenya pale Nairobi seminar ya 2wks,akaniambia ulituma email yako tangu mwaka Jana 2013 ,nikamwambia kweli,Basi jamaa akasisitiza hapa huta piga interview yoyote ,wameiona CV yangu hawana haja kunifanyia interview,ni kusaini mkataba na kukwea piga Nairobi kwa seminar,nikirudi Nita manage mkoa wa morogoro na Dodoma,usafr kila ktu poa.

Nikampigia jamaa angu mmoja ,Kama anawajua vizuri hawa utravet ,akaniambia jamaa Kama wamekuita nenda ,wako vzr Sana Tena Sana,Kuna vijipesa vya kipuuzi puuzi kibao .akanipa na contact ya best ake ambae alikuwa bado anapiga nao Kaz mkoa wa mwanza,aise nikabaki sijui Cha kuamua.Niko bado na mkataba na LEAD PROJECT,nimeajiliwa govt ndo kwanza Nina miez Kama 3,huku napewa offer na utravet .
Sorry umesomea kozi gani?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimewahi kufundisha shule fulani private. Mkuu wa shule alikuwa na mambo ya kiwaki kisenge.

Sometimes, anaweza kukufokea hata mbele ya wanafunzi.

Ikifikia tarehe za mishahara basi ndio kufoka nje nje. Nyumba niliyokuwa nimepewa ilikuwa karibu na ya kwake, so, sometimes washkaji wakija gheto mkawa mnaongea kwa nguvu mnabishana mnacheka, anawaibukia anafoka Walimuu mnapiga kelele kama watoto wa primary[emoji1787]

Nikawa najisemea tu huyu dawa yake iko jikoni.

Kuna wakati tunakaribia kuchukua mshahara, mwisho wa mwezi akawa anafoka, ooh kama hujaandika scheme of work na lesson plans sikulipi mshahara [emoji1787] ( walimu wanaijua hii midude )

Basi nikajipinda nikaandika hayo ma-scheme of works ( plan ya miezi 6 ) na lesson plans, nilivyomaliza nikampelekea.

Akasema poa, nenda kwa Accountant akupe mshahara wako. Nilivyolipwa tu, nitatafuta muda huyo mkuu wa shule hayupo, nikaiingia ofisini kwake nikayaiba hayo scheme of works nikaenda nikayachoma moto halafu nikaacha kazi, nikasepa[emoji1787]. Ilikuwa 2013 hiyo.

Kiukweli mimi kuvumilia dharau nilishashindwa kabisa. Siwezi.

Mimi chuoni nimewahi kumfuata Lecturer ( HoD ) ofisini kwake nikamtukana. Alikuwa ananisumbua sana.

Mimi probably nitakuja kumnyenyekea mtu nikiwa na watoto 6, mmoja ana ugonjwa wa kudumu, nadaiwa kodi ya nyumba, mama ana matatizo.

Hapo nitajitahidi kunyenyekea. Kwasasa nitakuwa muongo. Sitaweza.
We jamaaa kabila gani??
 
Dawa ya mabosi wanoko , unamvizia ofisini akiwa peke yake, unamchaba vibao na magumi, unatembea zako, hyo haina ushahidi.
Kuna msela mmoja alikua anafanya kazi taasisi moja hivi ambayo ilikua inatoa huduma za afya, lakini ilikua ni taasisi ya dini.
Sasa, bosi wake alikua anamsumbua sana, yaani alikua anamnyima raha, hakuna zuri ambalo jamaa anafanya, ni kumfokea na kumsema tu. Pia, alikua anambania sana jamaa hata zile fursa za jamaa za mafunzo ya muda mfupi. Yule bosi alikua ni mtu wa kulalama tu kuwa jamaa hajui kazi jamaa kilaza bila kusema hasa ni kipi jamaa anakosea na nini afanye ku-improve na alikua anamfanyia hivyo yeye tuu.
Sasa jamaa siku moja akawa amefika peak kabisa ya yale mateso, akasema sasa hapa nimefika mwisho. Akavizia yule bosi akiwa ofisini kwake peke yake, akamfuata akiwa na chupa ya soda mkononi, akaingia ofisini akafunga mlango. Kisha akamfuata hadi pale mezani, akaipiga ile chupa ya soda kwenye kingo ya meza na kuipasua huku akimwambia kitu kama "wewe mseng.e unanifuatilia sana, sasa leo hapa niambie shida yako hasa na mimi ni nini, la sivyo nakuulia hapa hapa waje kukuta mzoga wako humu ofisini", yule bosi akawa mpole anatetemeka hatari, haamini anachokiona. Akaanza kusema hana tatizo lolote nae, asitumie hasira na blah blah zingine.
Jamaa akamwambia sasa acha kunipa stress zisizo na msingi la sivyo nitakuja kukupasua". Baada ya hapo jamaa akasepa zake, hata ofisini hakurudi, akaenda nyumbani kwake, akazima simu akalala huku akijua kazi ameshaipoteza.
Kesho yake kama kawa akaenda zake kazini, lakini alishajiandaa kisaikolojia kuwa siku hiyo anaweza kuitwa na uongozi apewe barua yake ya kufukuzwa kazi aendelee na maisha mengine. Ila wala hilo halikutokea, na yule bosi alibadilisha sana attitude yake kwa jamaa, akaacha kumfokea fokea na kumfanyia mambo ya ajabu, na wala hakushtaki popote lile tukio la jamaa kumvamia ofisini. Ila yule bosi kila siku alikua anatuuliza, "hivi yule mwenzenu fulani anavuta bangi eeehhh, kuweni nae makini sana". Tukimuuliza kwa nini unasema hivyo bosi, hasemi kitu, anazuga tuu. Kila siku pia tukawa tunamuuliza yule jamaa yetu hivi ulimfanya nini bosi mbona anasema unavuta bangi? Akawa tukimwambia hivyo, jamaa anacheka vibaya sana. Sasa kuna siku moja jamaa ndo akatuhadithia hii stori.
Mjamaa1
 
Kuna msela mmoja alikua anafanya kazi taasisi moja hivi ambayo ilikua inatoa huduma za afya, lakini ilikua ni taasisi ya dini.
Sasa, bosi wake alikua anamsumbua sana, yaani alikua anamnyima raha, hakuna zuri ambalo jamaa anafanya, ni kumfokea na kumsema tu. Pia, alikua anambania sana jamaa hata zile fursa za jamaa za mafunzo ya muda mfupi. Yule bosi alikua ni mtu wa kulalama tu kuwa jamaa hajui kazi jamaa kilaza bila kusema hasa ni kipi jamaa anakosea na nini afanye ku-improve na alikua anamfanyia hivyo yeye tuu.
Sasa jamaa siku moja akawa amefika peak kabisa ya yale mateso, akasema sasa hapa nimefika mwisho. Akavizia yule bosi akiwa ofisini kwake peke yake, akamfuata akiwa na chupa ya soda mkononi, akaingia ofisini akafunga mlango. Kisha akamfuata hadi pale mezani, akaipiga ile chupa ya soda kwenye kingo ya meza na kuipasua huku akimwambia kitu kama "wewe mseng.e unanifuatilia sana, sasa leo hapa niambie shida yako hasa na mimi ni nini, la sivyo nakuulia hapa hapa waje kukuta mzoga wako humu ofisini", yule bosi akawa mpole anatetemeka hatari, haamini anachokiona. Akaanza kusema hana tatizo lolote nae, asitumie hasira na blah blah zingine.
Jamaa akamwambia sasa acha kunipa stress zisizo na msingi la sivyo nitakuja kukupasua". Baada ya hapo jamaa akasepa zake, hata ofisini hakurudi, akaenda nyumbani kwake, akazima simu akalala huku akijua kazi ameshaipoteza.
Kesho yake kama kawa akaenda zake kazini, lakini alishajiandaa kisaikolojia kuwa siku hiyo anaweza kuitwa na uongozi apewe barua yake ya kufukuzwa kazi aendelee na maisha mengine. Ila wala hilo halikutokea, na yule bosi alibadilisha sana attitude yake kwa jamaa, akaacha kumfokea fokea na kumfanyia mambo ya ajabu, na wala hakushtaki popote lile tukio la jamaa kumvamia ofisini. Ila yule bosi kila siku alikua anatuuliza, "hivi yule mwenzenu fulani anavuta bangi eeehhh, kuweni nae makini sana". Tukimuuliza kwa nini unasema hivyo bosi, hasemi kitu, anazuga tuu. Kila siku pia tukawa tunamuuliza yule jamaa yetu hivi ulimfanya nini bosi mbona anasema unavuta bangi? Akawa tukimwambia hivyo, jamaa anacheka vibaya sana. Sasa kuna siku moja jamaa ndo akatuhadithia hii stori.
Mjamaa1
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] boss aliingia wenge alijua huyu jamaa hahofii chochote yawezekana akimfukiza kazi jamaa ndo atamtafuta amuue kabisa.

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Binadamu wana mambo.

Kuna bwana mdogo mmoja alifukuzwa kazi baada ya bosi kuona furniture alizonazo wakati anahamia nyumba ya kampuni. Nakumbuka yule mzee aliongea sana na kuanza kuuliza maswali kwetu bwana mdogo vitu ametoa wapi. Visa vikawa vingi, haukuisha mwezi akapigwa chini ila Mungu mwema dogo akapata kazi in two weeks maisha yakasonga.
Binadamu wabaya sana na ndio maana wafanyakazi wenzangu sitaki mazoea nao ya kupajua kwangu
 
Back
Top Bottom