Usije ukalogwa kupeleka staff kwako yalinikuta mkuu..Binadamu wabaya sana na ndio maana wafanyakazi wenzangu sitaki mazoea nao ya kupajua kwangu
Sabaya is like fatherExactly! Mara nyingi ukiona mtu ana majungu, ana kauli mbovu n.k, shida huanza katika malezi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata project it zakoBinadamu wabaya sana na ndio maana wafanyakazi wenzangu sitaki mazoea nao ya kupajua kwangu
Uliumwa au nini?hii
kweli mm walivunja mlango kbs..
Acha hizo jamaaKaka acha tu, kuna jamaa aliwahi pewa dawa ambazo hazijui, amekuja kuuliza kwa specialists akaambiwa ni dawa za magonjwa ya Quouma wakati ni mwanaume.
Wakipajua kwako halafu wakakuta una vitu vya galama kuwa zidi wao, roho zita wauma watasema we mwiz.Binadamu wabaya sana na ndio maana wafanyakazi wenzangu sitaki mazoea nao ya kupajua kwangu
Wakipajua kwako halafu wakakuta una vitu vya galama kuwa zidi wao, roho zita wauma watasema we mwiz.Binadamu wabaya sana na ndio maana wafanyakazi wenzangu sitaki mazoea nao ya kupajua kwangu
Pole jamaa,duuuu!!!nimefurahi jinsi ulivyomhudumia mama yako,nakuombea baraka teleKiongozi hii thread yako imenikumbusha machungu Makubwa sana.
Nilivomaliza chuo nikapata sehemu ya kujishikiza bn, nikapiga kazi miezi mitatu tu nikapandishwa hadhi kidogo bana. Kazi ikaendelea, baada ya Mwaka mmoja kuisha, Kiongozi mmojawapo katika ofisi yetu akapa nafasi ya kuajiriwa serikalini, kampuni
HaaaaaaaaDawa ya mabosi wanoko , unamvizia ofisini akiwa peke yake, unamchaba vibao na magumi, unatembea zako, hyo haina ushahidi.
Kabisa mkuu. Huyo chalii alikuwa potential sana kwenye kampuni kwenye eneo la mauzo. Alichukuliwa na mshindani wetu, mbona ilikuwa kisanga. Alimega market share kubwa sana ofisi ikabaki kulalamika tu na kumuona mbaya na hana shukurani.Sema Mungu bwana ni wetu sote. Riziki anatoa pasipo upendeleo
Kweli kabisa MkuuAlafu kibaya zaidi pesa unayo lipwa unakuta ya dharau vibaya mno.
Sina mke pesa ninayolipwa peke yangu tu hainitoshi sasa nikiongeza na mwanamke itakuaje. !?
Nakumbuka niliwahi kufanya kazi sehemu nalipwa laki 2 kwa mwezi,
Alafu kuna jamaa angu, alikua jobless nakaa nae mala akapata kazi, kasoma inshu za kusfisha madini.
Jamaa miezi sita ya mwanzo tu mshahara ni m 1.4 aisee hapo ndo niliposanuka sipo sehemu sahihi hata kidogo.
Haya maisha sio ya kubweteka na kaajira ka private unafanyishwa kazi zaidi ya masaa 8 kwa siku na hakuna cha mafao wala nini.
Bonge la Bahati mbaya japo linafurahisha pia...Pole Mkuu...Mambo mengine unaweza katalia ofsini aiseeSitaki kukumbuka kampuni ile, natakiwa kusimamia stocktaking and at the same time natakiwa kwenda manunuzi , cable zikaibiwa ...... Huku na kule nina fundi amepata kazi ya nje ya kusupply cable ukubwa tofauti hawezi kuwasiliana na kampuni ile
Bonge la Bahati mbaya japo linafurahisha pia...Pole Mkuu...Mambo mengine unaweza katalia ofsini aisee
Ile ilikua nguma sababu mimi nimebanwa cable iko wapi sijui na huo ndo ukwel nilikua sijui sasa ile email ndo sijaelewa nani kamforwadie chairman mwenyewe, mimi ananigeuzia laptop yake ananiuliza unaijua hii email ndo ile ya rejected cable sasa daaa nikachoka nikamjibu ndio naijua , anauliza kwa nn unajihusisha na shughuli zingin zinazofana na za ofisi na huyo fundi una uhusiano gana na yeye yan acha kabisaBonge la Bahati mbaya japo linafurahisha pia...Pole Mkuu...Mambo mengine unaweza katalia ofsini aisee
Wawezwa kurogwa kabisa ndugu yangu alijenga nyumba eeeh watu kujua Sasa alipigwa vita hata kushushwa kwenye nafasi zote, ila licha ya kumpiga majungu na kumshusha ameendelea tu ku shine
Hahahahaha maana hakuna namnaUKIJIJUA WEWE NI HR MWEUPE UPO KANDA YA ZIWA, UMENIFUKUZA KAZI, JIANDAE...NAENDA KWA MTAALAMU