Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Yani mkuu hili swala letu Hadi waziri mkuu majaliwa analijua na pia bwana Katambi anayeshughulika na Vijana na ajira analijua maana Kuna mwezi wa tatu mwaka huu alilivalia njuga baadaye Magufuli alivyofariki hatukusikia Tena anafatilia hata akipigiwa simu na text hajibu.
Katambi ni jamaa yangu. Lakini tangu apate uongozi amekuwa mtu wa hovyo sana. Hata simu hapokei wala texts hajibu. Sijui huwa anadhani nitampiga mizinga 😂😂😂😂
Akili za kishamba sana
 
Mazoea ya wafanyakazi wenzako yaishie bar au kwenye nyumba za kupanga au kwenye kota na sio kuwapeleka kwenye bangaloo lako.Chuki na ubinafsi ni asili ya binadamu.Yeye yupo bize na kufungua zipu na vizibo vya bia wewe upo bize na mfuko wa cement Katu hawezi kufurahi.Wewe unakopa kwa maendeleo yeye anakopa kwa ajili ya zipu, kesho atakuchoma utahamishwa,fukuzwa,nk.

Kuna mtumishi alipata msiba wenzake wakaja kumpa pole baada ya mda kupita kijiti cha uhamisho kikamkuta.Boss yupo bize anashinda kukagua sketi wewe upo bize kuangalia vitu vya ujenzi kwenye hardware ni lzm akuumize.
 
Nikisoma komenti za humu jinsI wadau walivyoteswa na mabosi zao ninazidi kumshukuru sana boss wangu Chudasama wa kampuni niliyodumu nayo zaidi ya miaka mitano na boss wangu Tumaini nilikodumu zaidi ya mwaka mmoja, wamekuwa mabosi wema sana kwangu, Mungu Awape miaka mingi na mafanikio tele!!!

Kikubwa tu wakuu kufanya kazi kwa weledi na kuacha mazoea yaliyozidi kwa mabosi ama wafanyakazi wenza.
 
Kuna ndugu mmoja anapiga kazi kwa wahindi, Sasa anacheza na akili zao balaah!

Huyu jamaa kaporomosha mjengo mmoja hatar, na ana maduka mawili , Yan la bidhaa za kawaida na hardware, Sasa wahindi huwa wanatabia ya kutembelea wafanyakazi wao, ikifika zamu ya jamaa kutembelewa na maboss wake anaenda kwenye family moja jirani yake Kuna kijinyumba Cha slope chumba na sebule, anaweka viti vya kukunja na vijistuli viwili na meza ya Kiana, basi mda ukifika wale jamaa wanakuja anawakaribisha pale, Basi jamaa wanafrahia saanaah, wanamsifia eti ni mwaminifu Kwan Kila wakienda wanakuta hali ile ile, Hawa jamaa jinga sanah!
 
Nikisoma komenti za humu jinis wadau walivyoteswa na mabosi zao ninazidi kumshukuru sana boss wangu Chudasama wa kampuni niliyodumu nayo zaidi ya miaka mitano na boss wangu Tumaini nilikodumu zaidi ya mwaka mmoja, wamekuwa mabosi wema sana kwangu, Mungu Awape miaka mingi na mafanikio tele!!!

Kikubwa tu wakuu kufanya kazi kwa weledi na kuacha mazoea yaliyozidi kwa mabosi ama wafanyakazi wenza.
Ukiona unapedwa Sana bosi lazma uwe na vinasaba vya unafiki na umbea
 
Mazoea ya wafanyakazi wenzako yaishie bar au kwenye nyumba za kupanga au kwenye kota na sio kuwapeleka kwenye bangaloo lako.Chuki na ubinafsi ni asili ya binadamu.Yeye yupo bize na kufungua zipu na vizibo vya bia wewe upo bize na mfuko wa cement Katu hawezi kufurahi.Wewe unakopa kwa maendeleo yeye anakopa kwa ajili ya zipu, kesho atakuchoma utahamishwa,fukuzwa,nk.
Kuna mtumishi alipata msiba wenzake wakaja kumpa pole baada ya mda kupita kijiti cha uhamisho kikamkuta.Boss yupo bize anashinda kukagua sketi wewe upo bize kuangalia vitu vya ujenzi kwenye hardware ni lzm akuumize
Ndo maana nikasisitiza hili...kamwe co-worker asikanyage kwenye mjengo wako naongea haya thru experience [emoji848]

Hapa kuna bosi mmoja alifiwa na mamaake mzazi, ila akasingizia ni Bibi ake kafa hukoo kijijini kigoma kumbe msiba uko kwake kurasini (ni rafiki angu ndo maana mi nilijua)hataki kusikia habari za wafanyakazi na mabosi wenzake kukanyaga kwake
 
Kuna ndugu mmoja anapiga kazi kwa wahindi, Sasa anacheza na akili zao balaah!
Huyu jamaa kaporomosha mjengo mmoja hatar, na ana maduka mawili , Yan la bidhaa za kawaida na hardware, Sasa wahindi huwa wanatabia ya kutembelea wafanyakazi wao, ikifika zamu ya jamaa kutembelewa na maboss wake anaenda kwenye family moja jirani yake Kuna kijinyumba Cha slope chumba na sebule, anaweka viti vya kukunja na vijistuli viwili na meza ya Kiana, basi mda ukifika wale jamaa wanakuja anawakaribisha pale, Basi jamaa wanafrahia saanaah, wanamsifia eti ni mwaminifu Kwan Kila wakienda wanakuta hali ile ile, Hawa jamaa jinga sanah!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...nimeipenda hii sijui niige kudadeki[emoji848][emoji848]

Jamaa alifukuzwa kazi kisa eti kavaa suti kwenye kiwanda cha mhindi asee ( alitusimulia)

Hivi wahindi sidhani kama ni binadamu [emoji848]
 
😀 😀 😀 Niliacha bila kumweleza mtu yoyote.Walipiga sana simu na vitisho juu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...nimeipenda hii sijui niige kudadeki[emoji848][emoji848]

Jamaa alifukuzwa kazi kisa eti kavaa suti kwenye kiwanda cha mhindi asee ( alitusimulia)

Hivi wahindi sidhani kama ni binadamu asee[emoji848]
Hawa jamaah inatakiwa uwe na akili kuwazidi, utatoboa TU,

Na SI wahindi tu, Kuna Mwamba tulikua tunapiga nae job Mahal , ikatokea from no where akatimuliwa Kama mbwa, imagine mbele ya staff na wateja kwa ujumla, cha ajabu Kuna baadh ya staff members walikua wanamnanga kinyama, ukapita mwaka mmoja, jamaah akarudi kutupa hai pale akidrive kwenye ndinga lake, jamaa hawaamini macho yao!

Kila kitu kinatokea kwa sababu, na hasa kumpandisha mtu!
 
Kuna mfanyakazi mmoja ameachishwa kazi baada ya kupata msiba watu wameenda kumpa pole kufika wakakuta mjengo wa maana
Alivyorudi kazini anaulizwa hela ya kujenga nyumba kama hii kaipata wapi
Ni kweli kabisa hili lipo wazi taasisi nyingi za kidini sio zote wana hizi tabia sana.
 
Alikuwa akiumia hata ukivaa nguo mpya ofisini wanamjua waliowahi fanya nae Kazi kabla.Kuna libosi limoja lilikuwa likiumia mkila kuku ofisini.Image mtu anaumia ukila kuku au kuvaaa nguo mpya ofisini atashindwa vipi kufurahi ukifukuzwa Kazi
Mkuu kuna sehemu unavaa nguo aina moja mpaka ikapauka wakaanza kusema ooh ona hii mbona sasa inakuwa hivyo.Jibu dogo tu sina hela..nasubiri nichangiwe ninunue mpya.Kiatu mpaka imefeuka mwendo mdundo...
 
Kuna msela mmoja alikua anafanya kazi taasisi moja hivi ambayo ilikua inatoa huduma za afya, lakini ilikua ni taasisi ya dini.
Sasa, bosi wake alikua anamsumbua sana, yaani alikua anamnyima raha, hakuna zuri ambalo jamaa anafanya, ni kumfokea na kumsema tu. Pia, alikua anambania sana jamaa hata zile fursa za jamaa za mafunzo ya muda mfupi. Yule bosi alikua ni mtu wa kulalama tu kuwa jamaa hajui kazi jamaa kilaza bila kusema hasa ni kipi jamaa anakosea na nini afanye ku-improve na alikua anamfanyia hivyo yeye tuu.
Sasa jamaa siku moja akawa amefika peak kabisa ya yale mateso, akasema sasa hapa nimefika mwisho. Akavizia yule bosi akiwa ofisini kwake peke yake, akamfuata akiwa na chupa ya soda mkononi, akaingia ofisini akafunga mlango. Kisha akamfuata hadi pale mezani, akaipiga ile chupa ya soda kwenye kingo ya meza na kuipasua huku akimwambia kitu kama "wewe mseng.e unanifuatilia sana, sasa leo hapa niambie shida yako hasa na mimi ni nini, la sivyo nakuulia hapa hapa waje kukuta mzoga wako humu ofisini", yule bosi akawa mpole anatetemeka hatari, haamini anachokiona. Akaanza kusema hana tatizo lolote nae, asitumie hasira na blah blah zingine.
Jamaa akamwambia sasa acha kunipa stress zisizo na msingi la sivyo nitakuja kukupasua". Baada ya hapo jamaa akasepa zake, hata ofisini hakurudi, akaenda nyumbani kwake, akazima simu akalala huku akijua kazi ameshaipoteza.
Kesho yake kama kawa akaenda zake kazini, lakini alishajiandaa kisaikolojia kuwa siku hiyo anaweza kuitwa na uongozi apewe barua yake ya kufukuzwa kazi aendelee na maisha mengine. Ila wala hilo halikutokea, na yule bosi alibadilisha sana attitude yake kwa jamaa, akaacha kumfokea fokea na kumfanyia mambo ya ajabu, na wala hakushtaki popote lile tukio la jamaa kumvamia ofisini. Ila yule bosi kila siku alikua anatuuliza, "hivi yule mwenzenu fulani anavuta bangi eeehhh, kuweni nae makini sana". Tukimuuliza kwa nini unasema hivyo bosi, hasemi kitu, anazuga tuu. Kila siku pia tukawa tunamuuliza yule jamaa yetu hivi ulimfanya nini bosi mbona anasema unavuta bangi? Akawa tukimwambia hivyo, jamaa anacheka vibaya sana. Sasa kuna siku moja jamaa ndo akatuhadithia hii stori.
Mjamaa1
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa alimtolea uvivu bosi mkuda
 
mm sijawahi kufukuzwa,Ila niliwahi kubembelezwa ni resign nikasita kwa muda mrefu baadae nikaamua kukubali ku resign.Ilikuwa hiv ,baada ya kumalizia tu chuo,niliingia kitaa kusaka kazi,nikatumia wk 2 kuzurula mtaani na kibahasha changu Cha vyeti, world vision nilifika lkn wakanpa maneno ya kunifarj lkn nikaona hapa bila mtu sipat kaz nikaachana nao,Kama zali wk ya pili nikapewa mchongo Kuna project mpya shirika fulani hv Iina launch project mpya, iliitwa LEAD project donors wakiwa UK,jamaa Kama masihara wakanichukua kwa mkataba wa miaka 4,ilikuwa 2013yr hiyo,waka nipost mbeya nikagoma,wakanibembeleza weeee nikagoma nakumbuka tuligoma vituo watu 2,mm na jamaa mmoja kutoka tanga aliitwa Jonas,siku hiyo walipangiwa wote pamoja na jamaa angu,kasoro mm,wakaniambia Rudi baadae tutakupigia sm nikawaambia poa,kweli nikarudi zangu home,usiku saa tano manager wa mladi akanipigia sm,kuwa wamenipa iringa nikamwambia poa nitaenda,Nika join iringa,nikiwa kule nilikuwa situlii kila mala naingia internet kuchek mashirika mengine,maana nilijua private sector Kuna michezo michafu na rafu nyingi,muda wowote kinaweza kunuka.

nikiwa iringa 2014,nafasi za ajira zikatoka govt,fasta nikatuma maombi , interview tuliitwa arusha,mwaka huo nikaajiriwa govt mkoa wa mbeya,wilaya ya kyela,nikawakumbuka wazungu waliokuwa wananibembeleza niende mbeya na LEAD PROJECT,nikaona nimebugi Sana kuwagomea kipnd kile.ss nikawa napga govt na LEAD PROJECT,Ila kwa Siri ,boss wangu kule gvt sikumficha maana nilijua nisipompa mchongo kupga huku na kule itakuwa inshu,uzur boss alikuwa sosho Sana,akasema dogo piga kaz usjal,Ila ukiwa unachomoka hapa nipage taarifa,nikamwambia poa .

Sasa baada ya miez 3, LEAD PROJECT HQ,wakasanuliwa na jamaa mmoja tulikuwa nae pale iringa lead project,wakawa Wana nipigia masim kibao ni resign ,nikawakazia ,nilijua hawawez kunifukuza na tayari mkataba nilisha saini.

Niliendelea kupga Kaz huku na huku,Ila kero za masm zilikuwa Mara kwa Mara,wakiniuliza ume saini Kaz govt nawabishia nawaambia hapana ,hakuna kitu Kama hicho,wakiwatuma wakuda waje iringa Kuna jamaa yangu mwngine alikuwa best wa ukweli kwangu,akawa ana nitonya fasta yy alikuwa na ndg yake HQ dar so alikuwa anapata taarifa mapema za project kutoka HQ. Jamaa walichanganyikiwa kweli,kunifukuza hawawezi ,so wakabaki kunipiga saund ni resign.

Siku moja,nikatoka iringa ,kwenda mbeya kazn govt,asbh nikiwa kyela,nikapigiwa sm,kupokea jamaa akajitambulisha yy ni manager kampuni moja inaitwa utravet ,HQ zao ziko Kenya,kwa hapa tz ni Arusha ,akaniambia natakiwa kuripoti Arusha ndani ya siku 3, nisaini mkataba na utravet ,baada ya kusaini natakiwa kwenda Kenya pale Nairobi seminar ya 2wks,akaniambia ulituma email yako tangu mwaka Jana 2013 ,nikamwambia kweli,Basi jamaa akasisitiza hapa huta piga interview yoyote ,wameiona CV yangu hawana haja kunifanyia interview,ni kusaini mkataba na kukwea piga Nairobi kwa seminar,nikirudi Nita manage mkoa wa morogoro na Dodoma,usafr kila ktu poa.

Nikampigia jamaa angu mmoja ,Kama anawajua vizuri hawa utravet ,akaniambia jamaa Kama wamekuita nenda ,wako vzr Sana Tena Sana,Kuna vijipesa vya kipuuzi puuzi kibao .akanipa na contact ya best ake ambae alikuwa bado anapiga nao Kaz mkoa wa mwanza,aise nikabaki sijui Cha kuamua.Niko bado na mkataba na LEAD PROJECT,nimeajiliwa govt ndo kwanza Nina miez Kama 3,huku napewa offer na utravet .
Dunia imejaa magap.
Jamaa alikua na kazi tatu puani kwake wakati mimi sijawahi kupata kazi hata moja na leo kijiweni (car wash) sijaosha hata gari moja, na bachelor ninayo tena ya Mathematics.

Kazi tatu puani akati jamaa yangu mmoja niliesomanae Math's anafanya internship TRA mwaka wa pili huu analipwa laki tatu kwa mwezi. Maisha haya.

Sio wivu ila naoanisha tuu kwamba ndugu yangu wakuzaliwa nae ana miaka sita tangu agraduate hajawahi kupata ajira. Amekata tamaa, amenunua nusu eka kijijini anataka akakae huko kwenye makuti.

Wanasemaga tuendelee kunywa mtori..
 
Back
Top Bottom