Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Ni watu wote wanafanyiwa ivyo au baadhi? Ina maana kampuni haina watu wenye zaidi ya miaka miwili kazini? Je kila mwezi kuna staff wanaondoka na wanao ajiriwa? Maana naamini mikataba ya watu huisha miez tofauti tofauti. Hebu nijibu apo kwanza
Kwa sasa ni watu wote wana mikataba ya namna hiyo. Mwanzo ilikua miaka mitano ila wakaona wakitaka kufukuza mtu inabidi wacompasate wamlipe mshahara wa miezi miwili mbele ndo wamfukuze.

Kuna watu wana miaka 7 kazini ila mtindo wa mkataba ni huohuo mpya kwa wote

Imagine kuna watu wamepewa mkataba mpaka wa miez 6 wengine mwaka 1 ili wote tukutanishwe kupewa mkataba kipindi kimoja

Hawa jama ikipita mwaka hawajafukuza mtu wanaona kama hawajafanya kazo coz kuna watu wameajiriwa maalum kwa ajili ya kuchunguza wafanyakazi na kupeleka kasoro tu huko juu
 
Kwa sasa ni watu wote wana mikataba ya namna hiyo. Mwanzo ilikua miaka mitano ila wakaona wakitaka kufukuza mtu inabidi wacompasate wamlipe mshahara wa miezi miwili mbele ndo wamfukuze.

Kuna watu wana miaka 7 kazini ila mtindo wa mkataba ni huohuo mpya kwa wote

Imagine kuna watu wamepewa mkataba mpaka wa miez 6 wengine mwaka 1 ili wote tukutanishwe kupewa mkataba kipindi kimoja

Hawa jama ikipita mwaka hawajafukuza mtu wanaona kama hawajafanya kazo coz kuna watu wameajiriwa maalum kwa ajili ya kuchunguza wafanyakazi na kupeleka kasoro tu huko juu
Hao wanaochunguza wengine ni kujipendekeza tu huko
 
Kwa sasa ni watu wote wana mikataba ya namna hiyo. Mwanzo ilikua miaka mitano ila wakaona wakitaka kufukuza mtu inabidi wacompasate wamlipe mshahara wa miezi miwili mbele ndo wamfukuze.

Kuna watu wana miaka 7 kazini ila mtindo wa mkataba ni huohuo mpya kwa wote

Imagine kuna watu wamepewa mkataba mpaka wa miez 6 wengine mwaka 1 ili wote tukutanishwe kupewa mkataba kipindi kimoja

Hawa jama ikipita mwaka hawajafukuza mtu wanaona kama hawajafanya kazo coz kuna watu wameajiriwa maalum kwa ajili ya kuchunguza wafanyakazi na kupeleka kasoro tu huko juu
Kampuni nyingi sasaivi ziko ivyo mkuu. Kampuni ninayofanya mimi hakuna mkataba unazidi miaka miwili na ni wachache hupata miaka miwili wengi ni mmoja ila ukiisha kama umeonyesha perfomance nzuri na huna issue yoyote na kampuni unapewa mkataba tu. Kwa mikataba iyo watu bado wamedumu makazini.

Mikataba ya muda mfupi ni faida kwa pande zote mbili mwajiri anaweza kukupa mkataba mrefu na ukaanza kumsumbua kiutendaji kisa unajua contract bado ipo ila akikupa mfupi lazma uta perform kuweza ku secure mkataba .

Kwa mwajiriwa inakupa urahisi wa kuumiza kichwa kujiongeza kujiajiri maana huna uhakika wa mkataba mwingine ila pia ukipata kazi kubwa zaid kampuni nyingine inakua rahisi kuchomoka pia
 
Fitna makazini zipo dunia nzima, sio Tanzania tu.

Juzi juzi aliyekuwa kocha mkuu wa Dallas Mavericks, Rick Carlisle, "kamchawia" aliyekuwa msaidizi wake (Jamahl Mosley), tena hadharani kwa kumu-endorse Jason Kidd kuchukua nafasi yake aliyoiacha. Sababu tu (inasemekana) kuwa Mosley alikuwa karibu sana na wachezaji wengi wa Mavs akiwemo star wa timu (Luka), na hii ikamfanya Rick kuona wivu.

Will Smith alimfanyia fitna Janeth Hubert (original Aunt Viv) na kumharibia career na maisha yake Hollywood, kwa sababu za kipuuzi kabisa. Will alikiri na kuomba msamaha karibuni.

Kuna maza mmoja alipata kazi ya station manager kwenye kampuni moja kubwa ya ndege Africa. Akapeleka taarifa kwa mamlaka inayosimamia huo uwanja kuwa wamchunguze mmoja wa staff (aliyemkuta) kisa mchizi ana Benz kadhaa na vitega uchumi vingine nje ya kazi, so atakuwa na dili za magendo.
 
Fitna makazini zipo dunia nzima, sio Tanzania tu.

Juzi juzi aliyekuwa kocha mkuu wa Dallas Mavericks, Rick Carlisle, "kamchawia" aliyekuwa msaidizi wake (Jamahl Mosley), tena hadharani kwa kumu-endorse Jason Kidd kuchukua nafasi yake aliyoiacha. Sababu tu (inasemekana) kuwa Mosley alikuwa karibu sana na wachezaji wengi wa Mavs akiwemo star wa timu (Luka), na
Lakini ukimtegemea Mungu huku ukifanya kazi yako kwa uaminifu na nguvu na zaidi ya yote usijisahau jiwekee akiba ili baada ya miaka kadhaa unajiajiri mwenyewe!!!
Kazi za kuajiliwa Hazina maana ni sehemu ya kuchuma mtaji wa kuanzisha kazi yako ya kujitegemea.
 
Kati ya vitu vinavyouma katika maisha ni kufukuzwa kazi, nakumbuka miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza degree yangu nikabahatika kupata kazi kwenye kitaasisi kimoja hivi.
Karibu ulingoni mkuu haupo peke yako tupo wengi, muhimu ni mapambano yaendelee...
 
sio mtego kweli
Ni true story.kuna jamaa angu alikuwa anaitwa msofe, professional ni Dr.(Dr.msofe) yy alikuwa ni regiona coordinator wa LEAD project,daah huyu jamaa angu ,walimuundiaga zengwe wakamfukuzisha kisa jamaa alikuwa akipelekewa bills anasaini tu pesa itoke,anakwambia hiz pesa sio zangu za wazungu,jamaa kwa wk anasaini kwa mtu mmoja bills ya laki 5,hiyo ni movement bill plus stationary[emoji1787] tu.daah,wazungu wakaona huyu jamaa anatufilisi .
 
Kuna ndugu mmoja anapiga kazi kwa wahindi, Sasa anacheza na akili zao balaah!

Huyu jamaa kaporomosha mjengo mmoja hatar, na ana maduka mawili , Yan la bidhaa za kawaida na hardware, Sasa wahindi huwa wanatabia ya kutembelea wafanyakazi wao, ikifika zamu ya jamaa kutembelewa na maboss wake anaenda kwenye family moja jirani yake Kuna kijinyumba Cha slope chumba na sebule, anaweka viti vya kukunja na vijistuli viwili na meza ya Kiana, basi mda ukifika wale jamaa wanakuja anawakaribisha pale, Basi jamaa wanafrahia saanaah, wanamsifia eti ni mwaminifu Kwan Kila wakienda wanakuta hali ile ile, Hawa jamaa jinga sanah!
Hawa wahindi mbona wana tabia za ajab mazafantaz kabisa
Yaan kuna ratiba za kutembelea mfanyakazi nyumban😳😳😳
Wakikuta mazingira duni wanachukua hatua gani sasa
 
Kipindi cha uchaguzi vijana wengi walijaribu kugombea ubunge. Kuna jamaa akaenda kwao huko kugombea na aliomba likizo.

Sasa kuna HOD mmoja alikuwa kimbelembele anashadadia jamaa afukuzwe.

Nikamwambia akifukuzwa mshahara wake utakuwa wako?

Kuna mijitu ina roho mbaya sana.
Kwahiyo madam G ndo alisababisha A afukuzwe..ilitakiwa amlale ili awe amejijengea defence mechanism
 
Fitna makazini zipo dunia nzima, sio Tanzania tu.

Juzi juzi aliyekuwa kocha mkuu wa Dallas Mavericks, Rick Carlisle, "kamchawia" aliyekuwa msaidizi wake (Jamahl Mosley), tena hadharani kwa kumu-endorse Jason Kidd kuchukua nafasi yake aliyoiacha. Sababu tu (inasemekana) kuwa Mosley alikuwa karibu sana na wachezaji wengi wa Mavs akiwemo star wa timu (Luka), na hii ikamfanya Rick kuona wivu.

Will Smith alimfanyia fitna Janeth Hubert (original Aunt Viv) na kumharibia career na maisha yake Hollywood, kwa sababu za kipuuzi kabisa. Will alikiri na kuomba msamaha karibuni.

Kuna maza mmoja alipata kazi ya station manager kwenye kampuni moja kubwa ya ndege Africa. Akapeleka taarifa kwa mamlaka inayosimamia huo uwanja kuwa wamchunguze mmoja wa staff (aliyemkuta) kisa mchizi ana Benz kadhaa na vitega uchumi vingine nje ya kazi, so atakuwa na dili za magendo.
Naona umetupa kiinternational zaidi mkuu[emoji122][emoji122]
 
Ni true story.kuna jamaa angu alikuwa anaitwa msofe, professional ni Dr.(Dr.msofe) yy alikuwa ni regiona coordinator wa LEAD project,daah huyu jamaa angu ,walimuundiaga zengwe wakamfukuzisha kisa jamaa alikuwa akipelekewa bills anasaini tu pesa itoke,anakwambia hiz pesa sio zangu za wazungu,jamaa kwa wk anasaini kwa mtu mmoja bills ya laki 5,hiyo ni movement bill plus stationary[emoji1787] tu.daah,wazungu wakaona huyu jamaa anatufilisi .
Amemaanisha hiyo ultavet haikuwa mtego? Iliishaje hii ishu yako pale Lead?
 
True wengi ufukuzwa kwa uonevu sababu awajui haki zao.Pili wengi upotezea na kuamua kutafuta njia zingine za maisha.
Hawa CMA wapo wapi.Kuna mtu kafukuzwa Kazi kwa kupewa tipu kama asante baada ya kutoa huduma nzuri kwa mteja yaani asante ya soda tena elf 5.Halafu ipo mijizi inafilisi taasi kama nssf, wengine wanakutwa na mabilioni na wala awachukuliwi hatua wanapangia kwingine wakazitumbue.
Waafrika tuna roho mbaya sana yaani unamfukuza Kazi mtu kisha kapewa elf 5 akanywe soda,hali we ni mpigaji mkubwa,
Aisee, inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom