Ni kweli...hata awe na roho mbaya VP! Unampendea wanawe unamfanyia kazi zake! Atakuwa na aibu kidogo...hata asipokupa kitu cha kula utaona mtoto anakuletea kwa furaha!Kuna ndugu wengine naturally wanakuwa hawakupendi/ au hawapendi kukaa na wageni nyumbani kwao, kwahiyo hata upige sarakasi za aina gani utachonga viazi tu korino
Ukienda kukaa kwa MTU lazima ujiandae kisaikolojia, kama umeenda kusalimia soma alama za nyakati ukiona umechokwa ondoka.Kama unasoma au unatafutiwa kazi jali malengo yako yakitimia shukuru Mungu na washukuru wenyeji wako.Tambua wao ni familia na hawawezi kukupenda wewe zaidi ya wanavyopendana wao ,wakiwa faragha watakujadili ,usisononeke wala usihofu jitahidi kuishi kama wenyeji wako wanavyotaka,jitahidi muagane mkiwa marafiki, binaadamu wanahitajiana ,wakati mwingine kuishi kwa ndugu hakukwepeki
Hahah nilikua namsalimia mkuu.Mkuu naona unafukua makaburi
Dah...sikuogopi...nimekupenda tu... bure 😀😀Hahahahahahahhahahhaja watu mnapenda watu wa ajabu?
Huogopi?
Nj mtu mzima sasa, siwezi kuwa single aisee! Hata HUYO niliyekuwa namtetea ana maisha yake now.
Baba zima ananiletea mashangazi tu
Hivi kwanini ukakae kwa mtu?
Nilikaa kwa mama yangu mkubwa, nilikuwa mchapakazi sana, alinipenda mno. Mwanae akaona wivu akaanza kumpelekea maneno ya uongo.. Sikujali. Baadae niliondoka km vile hawanijui hata kunisindikiza tu stand na nilikuwa mgeni ilikuwa shida, nikaondoka kinyonge nikilia gari zima. Nakumbuka ilikuwa Air Jordan Mwanza - Arusha
Nimekaa kwa shz na uncle, natimiza tu wajibu wangu kma
Kufua nguo za nyumba nzima,
Kupika,
Kudeki
Vyombo,
Bustani nk.. Bila kusahau kufundisha watoto.
Nilipendwa saaaaana!! Na km walikuwa na vi element vya kuninyanyasa, wanashindwa sababu nachapa kazi haswa, hata hivyo, sikusahau kuwapenda sana, binamu zangu maana ndio mioyo ya ndugu zangu, ukitaka kumshika MTU pabaya PENDA MWANAE.... Haya shemeji yenu na mid tukajifanya Twapendana km Adam na Hawa, nikapata mimba..ohooooo!!!! Naishipa hapa. MUNGU NI WA WOTE, WENYE DHAMBI NA WAKOSEFU, MASIKINI NA MATAJIRI.
Hahahaha!!! Mkuu nisamehe tu. Namshukuru Mungu Shemeji yako alinichukua maramoja.Na we nae sa kwanini upate mimba ugenini lione
Daah Nimecheka Sana mkuu Bi mkubwa alitisha salute kwa Mama zetu popote walipo Allah awajalie maisha marefu.Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!
Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.
Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.
Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
Haa ha ha....wewe ungegomaa katakataa mzeee majirani kwani walikuwa na ushahidi???Nakumbuka nilikuwa naishi kwa mjomba wangu kwa sababu fulanfulan, sasa mm nilikuwa nasoma boarding nakumbuka kipind nimemaliza form six nilirudi hapo kwa mjomba kusikilizia matokeo ya chuo sasa nilikuta kuna demu flani hv pale n beki 3, sema kweli huyu demu alikuwa ni wa kawaida tu ila sasa alikuwa na mk*nd* mkubwa mpaka amebinuka flani hv, sasa mazingira ya pale masikan n kuwa asubuhi watu wote wanaenda kazini na madogo wa pale wanaenda shule nilikuwa nabaki mm na yule beki 3 tu pale, sasa mim nilikuwa napenda sana kulala chumban basi ikawa siku moja tu mawazo yakanijia inakuwaje nalal tu wakati kuna mzigo upoupo tu, basi bwana nikaenda kuchungulia chumbani alipokuwa analala yule beki 3 bwana eeeh sikuamin macho yangu ule mk*nd* ulikuwa umejilaza kitandan alafu khanga kama imekaaa tenge hv,nikaamua kulifingukia kiufup lilizingua ila likaniambia ngoja lifikirie litanipa jibu baaday, mkali sikuwa na haraka nikatulia kesho yake mhuni nikakumbushia jibu langu dah kumbe mtoto naye alikuwa anasubir tu mhun nijiongeze, akananiambia yan ni kama nimechelewa kwan yy alikuwa asha nielewa toka zaman bas tu eti alikuwa anashindwa kuniambia, basi tukaanza kale kamchezo sema kweli huyu demu nilimt**ba mpaka akawa aniota kwan mara nying nilikuwa nikimgegeda mchana ndo mda mwing ulikuwepo yaan niligeuza mke wangu pale masikan, baaday matokeo yakatoka nimechaguliwa UDSM nakumbuka siku yenyew naenda chuo nilipiga shughuli nzito san mpaka yule m*l*ya akawa anataman hata niondoke naye, nilfka chuo nikapiga buku sikuwah kurud pale home zile likizo fupifup yule manta alikuwa anapenda kunichek sana kwa phone mara aniambie anataka nimuoe sasa bwana kumbe pale kwa mjomba waliongeza mfanyakaz maana ile nyumb ilikuwa kubwa na kazi zilikuwa nyingi, kama mnavyojua TABIA ZA MADEMU WAKIGEGEDWA VIZUR HUSIMULIANA!!!!! sas yule manta si akaanza kumsimulia mwenzake habar zangu, niashangaa tu siku moja yule manta kanicheki alafu baada ya kuongea nae eti akaniambia kuna mtu anataka kunisalimia, basi bila hiyana nikaongea naye mara aniulize unarudi lini? na maswali meng tu yasio na maana si unajua demu akiwa anakuelewa anaweza kukuuliza kitu hata kama jibu analijua!! sasa balaaa lilianza pale nilipomaliza field nikarudi masikan kusubir mwaka wa pil wa masomo bwana kama kawaida mazingira ya pale nyumban bonge la nyumba tunabak tu mtu tatu mle ndan mm na mademu wawili, mi nikaendelea kale kamchezo ka kugegeda ile nyama sasa kumbe yule manzi mwingine mpya alikuwa anataman sana nimgegede kwan ashasikia story zang kwa mwenzake akanza kuniletea mashauzi...! moyon nikajisemea tu hapa kazi ninayo! Nakumbuka siku moja yule manzi niliyekuw nagegeda alikuwa amelala mchana baada ya kazi nzito sasa kale kenzake si kakaanza mitego mara kanakuja karibu yangu na kanga moja tu nakumbuka kipind hicho nilikuwa na roho mbaya sana yaan demu akijilengesha simchelewesh!!!! nilit**ba yule m*l*ya mpka akaomba poo, ndipo nilipojikuta katika matatizo kwan nilkaw nakula mademu wawil kweny nyumba moja...!mmoja akijua nawakula wote na mwingine akijua yuko peke ake, kwa kuwa ile nyumba ilikuwa kubwa sikupata tabu kuwagegeda hawa m*l*ya hivyo mhun nikawa kazi yangu ni kupiga shoo tu. Sometime nawawekekea move kweny laptop yang wanaangalia alafu yule ambaye penzi ni la wizi namkonyeza naenda kumgegeda hata jikon au bafun sasa siku moj nipo bfuni nakula penzi la wizi yule manta ambay yy nilikuw namgegeda bila hata kuibia alikuwa amelala na kwa ile situation yy ndo alikuwa demu wngu halal kwa pale ndan, sasa akasikia saut kama mtu analiwa kwan apo tulikuwa tumekolea kwanza ndo nilikuwa nampump yule manta mwingine kama sina akil vizur, alaf sijui kwann penzi la wiz huwa ni tamu sana mpka leo sijawah elewa hii concept!!! si tukafumaniwa bwana, nakumbuka kalitokea kamzozo ila nikakatuliza tu kibabe, sasa hapa pia huwa sielewi kitu fulan kuhusu mademu, kwan baada ya mzozo yule manta akasema ametusamehee! nikaingia chumban kukaa kidogo tu nashangaa yule demu aliye tufumania kaja chumban na yy anataka nimgegede sa sijui alikuwa anataka kunikomoa? maana alikuwa anajua kabisa katoka kutufumania mda si mrefu off course sikupiga mzigo siku hiyo, basi siku zikajongea na ndipo siku moja ambayo ndio siku ilyopelekea mm kufukuzwa kama mbwa pale kw mjomba n baada ya mmja wa hawa mademu kumchoma mwenzake kwa makusud na pasi na hii ilitokana na wivu ulikuwepo baina yao sasa mwenzake akaamua kesepa bila hata kuaaga mida ya mchana hv, nakumbuka jion yake mke wa mjomba amerudi akakuta binti mmja ayupo hapo ndipo balaaa lilianza kwan yule mama akaanza kufuatilia kwann binti yake kaondoka bila hata kuaga, kwel dunia hain siri akaenda kuzipata habar huko kwa majiran bwana eeeh... sitoisahau hiii siku yaan mpaka leo huwa sigeged demu ambay ni beki 3 au demu ambaye hana uhuru!! nilirudi chuo nikawa nagegeda tu wanachuo wenzngu, tangu hapo sijawahi kukaa tena kwa ndugu japokuwa niliyakoroga mwenyewe, nilikuwa nakaa tu hostel, likizo nachukua chumba kwa warden maisha yanaendelea, sijawah enda mahala mpaka nikamaliza chuo na nikaanza tu harakat zangu mwenyew...!
Daaaah mwanagu achaa tu omba isikukute uishie kusoma tu humu jf lakini inaboa kinomaHello guys,
Hapo zamani kabla sijaijua dunia vizuri, nlikuwa napenda sana kukaa kwa ndugu kipindi cha likizo (shule zikifungwa) au kwenye familia ya marafiki zangu..nlikuwa nkijihis comfortable na happy kabisa kukaa kwa watu
Mtazamo wangu kuhusu kukaa kwa watu ulibadilika baada ya mm kufukuzwa kutoka kwa ndugu kisa kuna kitu kilipotea then mm nlihisiwa kua ndo nimeiba, nlipewa maneno makali sana, roho iliniuma sana na niliapa kua sitakaa nije kukaa kwa MTU hata iweje, bora nilale kwenye gunia barabarani, kuliko kuomba hifadhi ya kukaa kwa MTU, uzuri sahivi najitegemea kipesa na nina sehemu yangu ya kukaa kwa hiyo sijali watu, wakiniambia niwatembelee nawaambia haya ntakuja, ila rohoni nawa-enjoy tu. Nlichogundua ni kuwa kumtegemea mtu ni mateso sana
Wadau mliokutana na hii kadhia njooni m-share experience zenu..
Nakumbuka nilikuwa naishi kwa mjomba wangu kwa sababu fulanfulan, sasa mm nilikuwa nasoma boarding nakumbuka kipind nimemaliza form six nilirudi hapo kwa mjomba kusikilizia matokeo ya chuo sasa nilikuta kuna demu flani hv pale n beki 3, sema kweli huyu demu alikuwa ni wa kawaida tu ila sasa alikuwa na mk*nd* mkubwa mpaka amebinuka flani hv, sasa mazingira ya pale masikan n kuwa asubuhi watu wote wanaenda kazini na madogo wa pale wanaenda shule nilikuwa nabaki mm na yule beki 3 tu pale, sasa mim nilikuwa napenda sana kulala chumban basi ikawa siku moja tu mawazo yakanijia inakuwaje nalal tu wakati kuna mzigo upoupo tu, basi bwana nikaenda kuchungulia chumbani alipokuwa analala yule beki 3 bwana eeeh sikuamin macho yangu ule mk*nd* ulikuwa umejilaza kitandan alafu khanga kama imekaaa tenge hv,nikaamua kulifingukia kiufup lilizingua ila likaniambia ngoja lifikirie litanipa jibu baaday, mkali sikuwa na haraka nikatulia kesho yake mhuni nikakumbushia jibu langu dah kumbe mtoto naye alikuwa anasubir tu mhun nijiongeze, akananiambia yan ni kama nimechelewa kwan yy alikuwa asha nielewa toka zaman bas tu eti alikuwa anashindwa kuniambia, basi tukaanza kale kamchezo sema kweli huyu demu nilimt**ba mpaka akawa aniota kwan mara nying nilikuwa nikimgegeda mchana ndo mda mwing ulikuwepo yaan niligeuza mke wangu pale masikan, baaday matokeo yakatoka nimechaguliwa UDSM nakumbuka siku yenyew naenda chuo nilipiga shughuli nzito san mpaka yule m*l*ya akawa anataman hata niondoke naye, nilfka chuo nikapiga buku sikuwah kurud pale home zile likizo fupifup yule manta alikuwa anapenda kunichek sana kwa phone mara aniambie anataka nimuoe sasa bwana kumbe pale kwa mjomba waliongeza mfanyakaz maana ile nyumb ilikuwa kubwa na kazi zilikuwa nyingi, kama mnavyojua TABIA ZA MADEMU WAKIGEGEDWA VIZUR HUSIMULIANA!!!!! sas yule manta si akaanza kumsimulia mwenzake habar zangu, niashangaa tu siku moja yule manta kanicheki alafu baada ya kuongea nae eti akaniambia kuna mtu anataka kunisalimia, basi bila hiyana nikaongea naye mara aniulize unarudi lini? na maswali meng tu yasio na maana si unajua demu akiwa anakuelewa anaweza kukuuliza kitu hata kama jibu analijua!! sasa balaaa lilianza pale nilipomaliza field nikarudi masikan kusubir mwaka wa pil wa masomo bwana kama kawaida mazingira ya pale nyumban bonge la nyumba tunabak tu mtu tatu mle ndan mm na mademu wawili, mi nikaendelea kale kamchezo ka kugegeda ile nyama sasa kumbe yule manzi mwingine mpya alikuwa anataman sana nimgegede kwan ashasikia story zang kwa mwenzake akanza kuniletea mashauzi...! moyon nikajisemea tu hapa kazi ninayo! Nakumbuka siku moja yule manzi niliyekuw nagegeda alikuwa amelala mchana baada ya kazi nzito sasa kale kenzake si kakaanza mitego mara kanakuja karibu yangu na kanga moja tu nakumbuka kipind hicho nilikuwa na roho mbaya sana yaan demu akijilengesha simchelewesh!!!! nilit**ba yule m*l*ya mpka akaomba poo, ndipo nilipojikuta katika matatizo kwan nilkaw nakula mademu wawil kweny nyumba moja...!mmoja akijua nawakula wote na mwingine akijua yuko peke ake, kwa kuwa ile nyumba ilikuwa kubwa sikupata tabu kuwagegeda hawa m*l*ya hivyo mhun nikawa kazi yangu ni kupiga shoo tu. Sometime nawawekekea move kweny laptop yang wanaangalia alafu yule ambaye penzi ni la wizi namkonyeza naenda kumgegeda hata jikon au bafun sasa siku moj nipo bfuni nakula penzi la wizi yule manta ambay yy nilikuw namgegeda bila hata kuibia alikuwa amelala na kwa ile situation yy ndo alikuwa demu wngu halal kwa pale ndan, sasa akasikia saut kama mtu analiwa kwan apo tulikuwa tumekolea kwanza ndo nilikuwa nampump yule manta mwingine kama sina akil vizur, alaf sijui kwann penzi la wiz huwa ni tamu sana mpka leo sijawah elewa hii concept!!! si tukafumaniwa bwana, nakumbuka kalitokea kamzozo ila nikakatuliza tu kibabe, sasa hapa pia huwa sielewi kitu fulan kuhusu mademu, kwan baada ya mzozo yule manta akasema ametusamehee! nikaingia chumban kukaa kidogo tu nashangaa yule demu aliye tufumania kaja chumban na yy anataka nimgegede sa sijui alikuwa anataka kunikomoa? maana alikuwa anajua kabisa katoka kutufumania mda si mrefu off course sikupiga mzigo siku hiyo, basi siku zikajongea na ndipo siku moja ambayo ndio siku ilyopelekea mm kufukuzwa kama mbwa pale kw mjomba n baada ya mmja wa hawa mademu kumchoma mwenzake kwa makusud na pasi na hii ilitokana na wivu ulikuwepo baina yao sasa mwenzake akaamua kesepa bila hata kuaaga mida ya mchana hv, nakumbuka jion yake mke wa mjomba amerudi akakuta binti mmja ayupo hapo ndipo balaaa lilianza kwan yule mama akaanza kufuatilia kwann binti yake kaondoka bila hata kuaga, kwel dunia hain siri akaenda kuzipata habar huko kwa majiran bwana eeeh... sitoisahau hiii siku yaan mpaka leo huwa sigeged demu ambay ni beki 3 au demu ambaye hana uhuru!! nilirudi chuo nikawa nagegeda tu wanachuo wenzngu, tangu hapo sijawahi kukaa tena kwa ndugu japokuwa niliyakoroga mwenyewe, nilikuwa nakaa tu hostel, likizo nachukua chumba kwa warden maisha yanaendelea, sijawah enda mahala mpaka nikamaliza chuo na nikaanza tu harakat zangu mwenyew...!
Kweli mkuu ndo maana ya jf humu kuna great thinkersHiii thread imeniliza aiseeeh!!
Aliyeleta sijui aliwaza nini!
PoleDah umenikumbusha mbal sana nilikua kwa uncle wangu kw mda nikaenda kulala chumba ambacho analala mtoto wak asubuh mama mtu alifungua mlango dah ctosahau alinitoa umo chumbani kama mbwa eti nitamfunza mwanae tabia za kihuni kama kuvuta ngada dah nltok nduki ctorud tena
Maza ndogo alisepa ama ulimwonea huruma.KUNA TWO SCENARIOS!
Baada ya wazazi kufariki, mimi na mdogo wangu tulichukuliwa na baba yetu mkubwa!
Life wasn't tht okey but Yatima hadeki ujue! maisha yakasonga!
Siku moja ilikuwa mkesha wa pasaka, mdogo wangu na watoto wa baba yangu mkubwa (walikuwa wakubwa zaidi yangu)
Wakaenda kanisani mkesha! mi nilikuwa naumwa sikutaka kusali usiku.
Walikuwa wadada watatu,Mmoja akaona ndio wakati wa kwenda kuchachua ,wanarudi nyumbani bila yeye!
Baba yangu mkubwa anamfokea mdogo wangu(ninayemzidi miaka 5, anaaambiwa arudi alikotoka na asirudi mpk atakapompata yule asiyerudi home). Yule baba alifunga mlango ,nje bariki kali nyumba ipo milimani flan hvi!He was asthmatic, hata kama asingekuwa asthmatic ,how on earth unamwambia mwingine asilale mpk aliyeenda kwenye starehe zake arudi!
Nilikaa ndani kama nusu saa hivi nikiwa nalia!
Nilipotoka nilienda subeleni unapokaa funguo haukuwepo!means ameingia nao kulala!
Nilliingia jikoni nikachukua shoka lile nafikir ,Nililinyanyua juuu kushuka chini kishindo kiliamsha mpk sisimizi!
wakaamka, ananitishia kunipiga!NIKAMWAMBIA NEXT STEP AFTER WHERE YU ARE NAKUPASUA!
nilifunguliwa mlango nikamfuata mdogo wangu alipo nikamwingiza ndani!
kesho yake asbh kabla hajasema ondoka au baki nilikuwa nje na mabegi na mdogo wangu namwambia tunarudi kwenye nyumba ya wazazi!
2. Huko kwenye nyumba ya wazazi alikuwepo mama yetu mdogo na wanae!
NAKO MAISHA YALIKUWA YA KIWEHU TU KWA DOGO!!
huko nilifukuza mimi!
Nikamwambia unajua nini, HII NYUMBA NI YA MAMANGU, isingekuwepo wewe ungekuwa unalipa kodi!
SASA FANYA HIVI!
NAENDA KUMALIZA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA! nikirudi uwe umetafuta pa kukaa!
ilikuwa ni likizo ya mwezi wa nne ,pepa ya necta mwezi wa tano!
Niliporudi nilimkumbusha!
MPAKA KESHO I AM THE LAST PERSON KWENYE FAMILIA KUAMBIWA TAARIFA YOYOTE INAYOHITAJI MAAMUZI YA PAMOJA
Nahisi naweza kuja kutoa posa kwenu nikuchukue uko vzrNooo ,alikuwa anamtesa dogo!!
Imagine upon shule mtoto wa darasa LA sita anakuandikia barua hapewi chakula!
Upuuzi!!
Ilibid nirudi likizo despite nilikuwa na Necta ahead!!
Nikachimba biti,nikaenda shule!!
Nilivorudi nikakumbushia biti langu.
Mdogo wangu sa hiz
Mchukulie mwanamke atakuelewa,ukimmisstreat dadake ,ANAWEZA AKUFANYE MISHKAKI!!