okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
- Thread starter
- #141
BORA ulivyofukuzwa mkuu,ungeendelea kutegemea Ndugu ungekuwa masikini hata hela ya kununua bando ungekosa.
Shida yangu sio kufukuzwa mkuu, ila kufukuzwa kwangu kuliambatana na chuki pamoja na kuwaziwa mabaya, yani MTU anaongea na ww, unahisi kabisa kuwa huyu ananichukia, ila mm kwa upande wangu nikiri nilikuwa nina makosa ya kukaa kwa ndugu bila machale, simlaumu sana huyo alienifukuza maana binadamu hatufanani, sitorudia hayo makosa King Kong III