Mm nilipanga chumba nilikuwa naish mwenyewe,sasa kulijuwa kuna shoga angu anadanda danda tu hana makazi maalum ya kulala mara leo kalala kwa shoga huyu mara yule ,mara kwa bwana huyu mara yule,akanihadithia anavyopata tabu pakulala nikaona isiwe shida nikamwambia njoo ukae kwangu huku unajichanga ili baadae na ww upange chumba chako sitokuchaji gharama yyote , poa akaja maisha yakaendelea baada ya kuzoeana mambo yakaaza kuharibika,mara kavaa viatu vyangu bila ruksa yang,mara nguo zangu nikamwambia mm sipend tabia hiyo wala huwa sivalian na mtu nguo yaan hasikii bado anavaa nikiwa sipo lakin baadae akirud naona kavaa vitu vyangu akiniona anajichekesha,mara chupi zangu hasa zile mpya mpya labda nilivaa mara moja au mbil sizion,mara hereni hazionekan ukimuuliza mm sijui wakat tunaish wawili! Yaan alinichosha kwa tabia yake ya wiz na tamaa hata ukisema na ww uvalie vitu vyake ana viatu vya maana wala nguo za maana,nilimfanyia visanga mpaka alihama nikiamua namnunia bila sabab