Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

BORA ulivyofukuzwa mkuu,ungeendelea kutegemea Ndugu ungekuwa masikini hata hela ya kununua bando ungekosa.


Shida yangu sio kufukuzwa mkuu, ila kufukuzwa kwangu kuliambatana na chuki pamoja na kuwaziwa mabaya, yani MTU anaongea na ww, unahisi kabisa kuwa huyu ananichukia, ila mm kwa upande wangu nikiri nilikuwa nina makosa ya kukaa kwa ndugu bila machale, simlaumu sana huyo alienifukuza maana binadamu hatufanani, sitorudia hayo makosa King Kong III
 
Mwaka Fulani nilikuwa Mwanza tuition na mshikaji wangu tulienda kukaa familia ya mwalimu wetu Wa primary, sasa kuna mshikaji alipoteza elfu kumi duh tulihisiwa tumeiba maneno yakawa mengi sana, uzuri hatukufukuzwa.
 
Pambana ili wanao wasije kukaaa kwa ndugu.
 
Ushapata CV yake? Mwambie tumewekeza kwa binti yetu .. akalkuleti ada ya kuanzia nasare mpk yunivasite... hicho ndicho kishika uchumba kabla hatujazungumzia mahari
Ndo mana nimeleta kwako baba!!
Mambo ya kuingilia maamuzi ya ukoo nayataka Mimi?
 
Ni kuomba MUNGU AKUPE UHAI ULEE WANAO WAFIKE MAHALI PA KUJITEGEMEA mkuu!!
Sisi tulienda kukaa kwa NDUGU ilhali wazaI waliacha nyumba kubwa tu!!
Ila dah!!
Huu Uzi umejua kunivurugia siku!!
Pole sana snowhite kwa mapito.
 


Kwa upande wangu kuishi kwa ndugu kunakwepeka, nkikosa sehemu ya kulala sehemu ya ugenini kisa uhaba wa pesa, ni heri nilale barabarani kwenye maboksi, kuliko nkaombe hifadhi kwa ndugu el bandido
 
Daah wewe 'mseng.e'unaonekana unapenda sana kula km bedui[emoji38][emoji38][emoji38]
 
nipo nawaza ulivyotoka nduki nacheka tu...
bila shaka hapo kwenye avatar ni wewe?
 
Kwahilo namshukuru sana late Baba, maana alikuwa hataki uende kokote baki kwenu tu,yaani hata ndugu akija home akikupa zawad unamwangalia kwanza mshua mood yake au aseme chukua lasivyo akiondoka tu unalo,ila nilipo anza kujitambua miaka hiyo ndo nikamwelewa mshua (R.I.P)
 
tafuta pesa nyingi alafu ukawatembelee tena hakika utayapenda mapokezi...
 
ahaa hiyo wazee wa kubet tunasema ni BOTH TEAMS WILL SCORE
 


Kuna ndugu wengine naturally wanakuwa hawakupendi/ au hawapendi kukaa na wageni nyumbani kwao, kwahiyo hata upige sarakasi za aina gani utachonga viazi tu korino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…