Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Anaspeed sana [emoji28][emoji28][emoji28]Duu we jamaa umeingia kwa fujo JF unatiririka tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaspeed sana [emoji28][emoji28][emoji28]Duu we jamaa umeingia kwa fujo JF unatiririka tuu
Ulipigwa na kitu kizitoSikumdai! Kwanza nilipokuwa nikikutana nae njiani, hakunisemesha kabisa na alikuwa hana hata time na mimi!
Alitengeneza kisirani kiasi kwamba kama ningekanyaga pale kwake, angenipigia kelele za mwizi!!
Nikawa nawaona yeye na yule mjinga wanapita njiani pamoja huku wameshikana mikono, wanaegemeana!
Dah! [emoji24][emoji24]
Tuleanage utamu tuu....kugeggeduana kwa kwenda mbele.Siku zote mtu anakopenda hapendwi. Yaani ni ngumu kukuta mwanaume anampenda mwanamke kwa dhati hadi anampa pc yake afu huyo mwanamke akampenda mwanaume huyo.
Vile vile sisi wanawake, mwanaume tunaempenda kutoka moyoni tunamnunuliaga nguo za gharama, viatu etc mbaya zaidi unakuta huyo mwanaume hata umpe kitu garama kiasi gani hakupendi kutoka moyoni.
In short yupo ku buy time anytime anasepa.
Tuache utani zawadi ya mpenzi unaempenda huwa ni tamu kuliko utamu wenyewe.
Mapenz n ujingaTuleanage utamu tuu....kugeggeduana kwa kwenda mbele.
Inauma sana u afikiria demu vizuri u ampenda unajipinga and she dont even care about ur feelings...tena anavipolea alafu anaenda kukunanga na mashoti wake
Kadri unavyompa mwanamke vitu vya thamani ndo anazidi kujiweka mbali na ww na kumpa nafasi ya kukupiga na kitu kizito.
Pole sana mkuu sema ndio maisha ucjal utapata nyngneMasikini PC yangu HP MODEL ya laki saba na nusu, nikaitumia ndani ya wiki mbili tu! Upendo ukataradadi nikamhonga ili kudumisha penzi, wiki moja baadae tena ilikuwa x mass nikamfuma na kauzu mmoja jirani yangu wanaingia kwake kuchakatana!
Looo! Nilikuwa nimepanga kumchakata kwa mara ya kwanza Boxing day! Kwa bahati mbaya tulionana uso kwa uso!
Sawa Judith,
Malipo yote ni hapa hapa duniani!
[emoji26][emoji26][emoji26]
Kwaiyo mjina ni wewe au jamaa yake aliye kuzid maujanja?Sikumdai! Kwanza nilipokuwa nikikutana nae njiani, hakunisemesha kabisa na alikuwa hana hata time na mimi!
Alitengeneza kisirani kiasi kwamba kama ningekanyaga pale kwake, angenipigia kelele za mwizi!!
Nikawa nawaona yeye na yule mjinga wanapita njiani pamoja huku wameshikana mikono, wanaegemeana!
Dah! [emoji24][emoji24]
Braza ni fara Sana, anahonga alafu watu wanatomba bure tuPisi ilikuwa kali hatari bro akaonga macho matatu na ka ist demu fala sijui kiburi alitolea wapi akawa anamcheat bro kwenye nyumba bro anayolipia na bank teller mwenzake bro alipiga ambush one day na maaskari wawili akachukua gari akamwachia macho matatu gari ikapelekwa garage ikakaa wiki ikapelekwa moja kwa moja machame siku tupo kili marathon namuuliza broo mbona ile pisi inakwaangalia kwa dharau hivyo ikanipa mkasa mzima
Sikumdai! Kwanza nilipokuwa nikikutana nae njiani, hakunisemesha kabisa na alikuwa hana hata time na mimi!
Alitengeneza kisirani kiasi kwamba kama ningekanyaga pale kwake, angenipigia kelele za mwizi!!
Nikawa nawaona yeye na yule mjinga wanapita njiani pamoja huku wameshikana mikono, wanaegemeana!
Dah! [emoji24][emoji24]
Atakuwa ni member wa huku kwa sk nyingi ila kaja na ID mpyaa.....Duu we jamaa umeingia kwa fujo JF unatiririka tuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa ni member wa huku kwa sk nyingi ila kaja na ID mpyaa.....
Nishaanza kumuhisi ni nani.