Tuliowahi kuhonga vya thamani na bado tukapigwa tukio tukutane hapa

Ulipigwa na kitu kizito
 
Tuleanage utamu tuu....kugeggeduana kwa kwenda mbele.
Inauma sana u afikiria demu vizuri u ampenda unajipinga and she dont even care about ur feelings...tena anavipolea alafu anaenda kukunanga na mashoti wake
 
Simu pekee niliyohonga ni kiswaswadu enzi zile.[emoji2]

Tangu hapo huwa niko makini sana

Siwezi kubali nihonge halafu nitoke mtupu

Unajua sometimes mapenzi ni kama biashara tu.

Zingatia faida zako kwanza.
 
Pole sana mkuu sema ndio maisha ucjal utapata nyngne

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwaiyo mjina ni wewe au jamaa yake aliye kuzid maujanja?
 
Pisi ilikuwa kali hatari bro akaonga macho matatu na ka ist demu fala sijui kiburi alitolea wapi akawa anamcheat bro kwenye nyumba bro anayolipia na bank teller mwenzake bro alipiga ambush one day na maaskari wawili akachukua gari akamwachia macho matatu gari ikapelekwa garage ikakaa wiki ikapelekwa moja kwa moja machame siku tupo kili marathon namuuliza broo mbona ile pisi inakwaangalia kwa dharau hivyo ikanipa mkasa mzima
 
Braza ni fara Sana, anahonga alafu watu wanatomba bure tu
 
Wataachana tu
 
Kama Pc ulimwachia basi itoshe Kusema Ulikitia aibu chama chetu na inafaa ulipe faini asee
 
mkuuuu ipo hv mimi nahonga dem heka ya ziada thats my prinsiple ata nikimuacha sihangaiki naicho nilichompa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…