[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna manzi alinambiaga niuze PC yangu nimnunulie simu[emoji3525][emoji3525]Nliishia kucheka tu nkamwambia nipe PC yangu me niondoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] Sijui wanawazaga nini, mmoja aliniambia no mpe simu yangu Samsung alaf anipe tecno yake
ππ
Mshikuru Mungu! Just move On....iachie Karma itafanya kazi yake na atarudi anatambaa!Sikumdai! Kwanza nilipokuwa nikikutana nae njiani, hakunisemesha kabisa na alikuwa hana hata time na mimi!
Alitengeneza kisirani kiasi kwamba kama ningekanyaga pale kwake, angenipigia kelele za mwizi!!
Nikawa nawaona yeye na yule mjinga wanapita njiani pamoja huku wameshikana mikono, wanaegemeana!
Dah! [emoji24][emoji24]
Hat mm nilipatwa na hayo hayo eti nimpe infinx yangu hot 9 yey anipe tecno yake sijamuelewa wambura aise[emoji3][emoji3] Sijui wanawazaga nini, mmoja aliniambia no mpe simu yangu Samsung alaf anipe tecno yake
ungempa ujue hujuii... wanawake wape unachoweza kupotezaHat mm nilipatwa na hayo hayo eti nimpe infinx yangu hot 9 yey anipe tecno yake sijamuelewa wambura aise
Yaani pointi kubwa ni upendo kupendana mkuuSiku zote mtu anakopenda hapendwi. Yaani ni ngumu kukuta mwanaume anampenda mwanamke kwa dhati hadi anampa pc yake afu huyo mwanamke akampenda mwanaume huyo.
Vile vile sisi wanawake, mwanaume tunaempenda kutoka moyoni tunamnunuliaga nguo za gharama, viatu etc mbaya zaidi unakuta huyo mwanaume hata umpe kitu garama kiasi gani hakupendi kutoka moyoni.
In short yupo ku buy time anytime anasepa.
Tuache utani zawadi ya mpenzi unaempenda huwa ni tamu kuliko utamu wenyewe.
Hahahaha, Imebidi nirudi kwa profile yako, ni kama mwanamke ila unaakili za kiume. Nimependa namna yako ya kufikiri.Mwanaume haliagi akihonga...
Anakuwa anajua anacheza kamari...
Na sisi tukitaka kudai vya chiongozi wetu itakuwaje?Mkuu twende kwa Judith tukaidai PC yetu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kadada nilikanunulia tcno F 1 mikawa nachakata Sana,siku moja kakanambia kanaenda saloon Mbezi,nikakaambia kaje mitaa ya home kakagoma niakafuata Mbezi.Milikasubiri hadi Saa tano nikakapora hiyo simu.Nilipoiwasha nikakuta kananiponda hadi voice note zipo kwenye simu.Nilichukia Sana,nilikarudishia simu ila nikakapiga chini.
Mchumba hasomeshwiNili msomesha mwanamke bachelor degree alipo maliza chuo, aisee kilicho nikuta ni nusu ya umauti... Wanawake sio watu wa kuwaamini kabisa...achilia hapo nilimjengea mama yake na kumtibia kansa lakini bado hakua na huruma na mimi hata kidogo...
Mkuu wee nenda tu kaanzishe Uzi wako siyo comments haitoshiNili msomesha mwanamke bachelor degree alipo maliza chuo, aisee kilicho nikuta ni nusu ya umauti... Wanawake sio watu wa kuwaamini kabisa...achilia hapo nilimjengea mama yake na kumtibia kansa lakini bado hakua na huruma na mimi hata kidogo...
Na akileta kisa, bado mtamwambia ni chai! Maake mambo atayozungumza ambayo amekuwa akimfanyia mwanadada ni makubwa! Au Zero Conscious nadanganya?Mkuu wee nenda tu kaanzishe Uzi wako siyo comments haitoshi
Kaa chini lete kisa kamili mnk umepigwa Sana [emoji38]
Tunaomba Uzi please..Khaaa we JjNili msomesha mwanamke bachelor degree alipo maliza chuo, aisee kilicho nikuta ni nusu ya umauti... Wanawake sio watu wa kuwaamini kabisa...achilia hapo nilimjengea mama yake na kumtibia kansa lakini bado hakua na huruma na mimi hata kidogo...
πππ Mkuu kwavile anafanya kazi kiwanda Cha SUKARI yeye alete tu hizo chai tutakunywaNa akileta kisa, bado mtamwambia ni chai! Maake mambo atayozungumza ambayo amekuwa akimfanyia mwanadada ni makubwa! Au Zero Conscious nadanganya?