Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

Kuna wadada wenye kazi nzuri, ila mizinga wanayopiga bora unge-date. na ambao hawana kazi ujue Moja 🫒 komasavaa
Soma vizuri comment yangu utatoka na kitu.Stop messy around with those loose balls!!!

Kijana,mwanamke anayekupiga mizinga hakupendi acha kuforce tafuta wa type yako!!!

πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒAcheni kudate masikini,mset standards na mzisimamie no excuse allowed!!!
 
Safi.. na mimi nipo mbioni kumliza mtu Dar to Sumbawanga next week inshallah nitapata pesa ya kula kwa shishifoodπŸ˜‚
 
Safi.. na mimi nipo mbioni kumliza mtu Dar to Sumbawanga next week inshallah nitapata pesa ya kula kwa shishifoodπŸ˜‚
My sister kama unachoongea ni kweli, kuwa makini next time, kuna wanaume wachawi, hela zao hazitapeliwi hovyo kadogo2
 
My sister kama unachoongea ni kweli, kuwa makini next time, kuna wanaume wachawi, hela zao hazitapeliwi hovyo kadogo2
Uchawi hauvuki bahari mkuu.. hela tunakula huku tunakemea pepo… yaani hatujuani halafu unataka nije kwako tena kilometer nyingi hivyo… kwanini asije yeye kwanza tukafahamiana physical but yeye anataka niende kwake… Watu Kama hao ni wa kuwalia nauli tu
 
Nilimtumia elfu 20 , Boda elfu 5, 15 anywe chai.

Hakuja , napiga simu namsikia anaongea na rafiki ake 'Kanaume kenyewe Katoto kwangu ".


Anyway, nikajifanyaga mjinga, nilikujaga mtombaa baadae mpaka akawa anamtukana Bwanake matusi
Dawa ya wenye vidharau ndio hiyo unaichapa mpaka anapandisha heshima.

Kuna mmoja alikula hela yangu akawa msumbufu kunibless anadai ananichukulia kama kaka yake, siku akajaa niliiweka alafu nikampotezea, majuzi kachumbiwa ila usumbufu mwingi, kataa ndoa kuna muda wana hoja namuonea huruma huyo mumewe mtarajiwa.
 
Sijawai pigwa nauli ila nimewahi kujiandaa vyema kabisa, kuku mzima+ mapochopocho kibao alafu anasema kapata ugeni nilivyomuandalia nimpe boda apeleke kwake.
Siku hiyo nilikula kwa awamu tatu kuanzia saa 5 usiku mpaka kunakucha[emoji23]
Alikukomeshaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo demu mshambaa, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu ni platinum member ktk kona ya Utapeli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ˜­πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Tunacheka kama mazuri ila jf watu mnamatukio
 
Pigeni puchu kabla hajaweza tuma nauli itawasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…