Tuliowahi kupata madem katika mazingira magumu bila kutarajia

Unazungumzia enzi za babu na bibi kipindi cha mavazi ya msuli na kanini wakati wewe leo hii unavaa jinsi imekubana kama ashura
Poa tu. Kwani Ashura si alizaliwa kama wewe. Kwa hiyo kisa hujaungwa mkono kwenye uzinzi wako,ndo uanze mabo ya ajabu ajabu? Haya,unajua kuchagua. Ama kweli watoto wa kiume balaa. Yaani wewe,umemuona mwanamke,matunda ukaacha kisa matako?! Mwingine umepitiliza kituo ili upate tu namba! Wazazi wako wanajua hii tabia ya kihuni unayo lakini? Lione!!! Mawazo ngono tu
 
Ukiona mwanaume anakwambia hapendi ngono basi anashida (anakanyagwa) lakini mimi sijakuita kwenye huu uzi umekuja mwenyewe na kichwa cha uzi kinajieleza
 
Ukiona mwanaume anakwambia hapendi ngono basi anashida (anakanyagwa) lakini mimi sijakuita kwenye huu uzi umekuja mwenyewe na kichwa cha uzi kinajieleza
Nimekuuliza,wazazi wako wanajua wamefuga baradhuli kiasi hiki? Yaani unaona fahali kujisifia kupenda ngono! Wengine huko kwingine wanaongelea maendeleo,wewe unajiona kidume kukimbiza wanawake kisa ngono.
 
Nimekuuliza,wazazi wako wanajua wamefuga baradhuli kiasi hiki? Yaani unaona fahali kujisifia kupenda ngono! Wengine huko kwingine wanaongelea maendeleo,wewe unajiona kidume kukimbiza wanawake kisa ngono.
Jamaa naomba unielewe wewe hupendi ngono umefuata nini kwenye huu uzi na heading inajieleza si uende kwenye majukwaa ya dini na imani Dah watu wengine bhana wanapenda mizozo isiyo na maana
 
Jamaa naomba unielewe wewe hupendi ngono umefuata nini kwenye huu uzi na heading inajieleza si uende kwenye majukwaa ya dini na imani Dah watu wengine bhana sijui jobless huyu
We mwenye job ungeleta pumba hapa?
Si ungekuwa unatafuta hata hizo nauli za kukimbizia wanawake! Si bule umelaaniwa wewe nanhujui. Au, huu uzi unawahusu tu wapenda ngono? Kama ndo hivo mi ntakaa kimya.
 
We mwenye job ungeleta pumba hapa?
Si ungekuwa unatafuta hata hizo nauli za kukimbizia wanawake! Si bule umelaaniwa wewe nanhujui. Au, huu uzi unawahusu tu wapenda ngono? Kama ndo hivo mi ntakaa kimya.
Mibwabwa utaijua tu we bwabwa mi natongoza wanawake sitongozi mibwabwa sasa kama we inakuuma mi kutongoza pisi kali pita kuleeee kambali na mimi
 
Mibwabwa utaijua tu we bwabwa mi natongoza wanawake sitongozi mibwabwa sasa kama we inakuuma mi kutongoza pisi kali pita kuleeee kambali na mimi
Sikatai,ila mambo ya kike kike,uache. unajua nimekunywa juisi ya miwa,ohh mara nimeonja soseji, na wewe uje ulingishie ngono! We komaa,ila ukweli ndo huo. monotheist ungefuta ukaweka hata Asha Ngedele
 
Aisee ningekuwa mchangamfu kama wewe nahic ningewapata wengi, sema mm ni mvivu kweny hio sekta, yaan nikifikiriaga mambo ya kuanza kumtongoza mwanamke mwili unaanza kuwa mzito sana, naanza kusikia uvivu, mara uanze kujitambulisha, mara uanze kumsifia, mara umtoe out, mara uanze kumwomba uchi...aaah nikianza kufikiria process zote hizo huwa nakausha tuu naendelea na mambo yangu.

Au ndio domo zegee?
 
Ways back 2015 nilikuwa napenda Sana kwenda beach kuogelea, Mimi maji nayapenda sana ila sipendi kuoga🤣🤣🤣🤣

Kutokana na kuweza kwangu kuogelea kwenye kina kirefu, nikajikuta nipo karibu na ua waridi mtoto wa Kigogo black beauty anaelea TU juu ya maji na boya {tube ya tairi la gari}.

Huku mjuba nikiwa naogelea kwenye kina kirefu bila msaada wa boya. Mimi ni aina ya watu ambao hata nikutane na mwanamke mzuri kiasi Gani simpapatikii Wala sipotezi focus. Na asipo nichangamkia vivyo hivyo Sito mchangamkia na Sito msalimia.

Sasa huyu Waridi kumbe alikuwa anapenda sana kuogelea. Akanichangamkia tukasalimiana. Akaanza kunidodosa juu ya jinsi ninavyo weza kuogelea bila boya...

Tulizungumza mengi tukawa tumeenda kwenye kina kirefu Zaidi tukiwa mbali sana na walipo watu wengine pale coco beach.

Katikati ya mazungumzo yetu nikaomba namba za simu kumbuka hapo tupo ndani ya maji baharini. Sina simu Wala peni.

Waridi alikubari kishingo upande kunitajia namba yake kwani alijua sitoweza kuikalili.

Niliikariri hiyo namba na siku hiyo hiyo nikampigia. Na huo ndio ukawa mwanzo wa mahusiano kati yangu na Waridi.

Mahusiano ambayo yalinifundisha utamu wa mapenzi na mwisho yakanipa funzo la maumivu ya mapenzi. WARIDI popote ulipo kaka ukijua kuwa Bado IPO nafasi Yako ndani ya moyo wangu💕💞​
 
Babu na bibi zako waliochaguliwa,ndoa zao ulikuta zimeyumba?
Haziwezi kuyumba kwanza wake zao walikuwa hawana Maex na simu zilikuwa hakuna , nyumba za kupanga na Guest zilikuwa mbali mno, na walikuwa wanaoa bikra, kwakifupi walikuwa wanaoa wanawake wapya siyo used, sisi vijana wa sasa tunaoa wanawake wameshatumika sana, Yani kwa sasa mwanaume ukioa mwanamke aliyotembea na wanaume wachache 5.
 
Tafuta hela jombaa, pisi zitakua zinajichatisha na ukiwa kwenye social media zitakua zinajicommentisha
 
Teh teh teh teh. Vitu second hand. A.K.A used
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…