Poa tu. Kwani Ashura si alizaliwa kama wewe. Kwa hiyo kisa hujaungwa mkono kwenye uzinzi wako,ndo uanze mabo ya ajabu ajabu? Haya,unajua kuchagua. Ama kweli watoto wa kiume balaa. Yaani wewe,umemuona mwanamke,matunda ukaacha kisa matako?! Mwingine umepitiliza kituo ili upate tu namba! Wazazi wako wanajua hii tabia ya kihuni unayo lakini? Lione!!! Mawazo ngono tuUnazungumzia enzi za babu na bibi kipindi cha mavazi ya msuli na kanini wakati wewe leo hii unavaa jinsi imekubana kama ashura
Kisa makalioMzee wa kupitiliza vituo...
NOMA SANA MKUU.Sisi tusio na mademu, na tunalala pekee yetu kama PANGA tunaonekana kima tu
Ukiona mwanaume anakwambia hapendi ngono basi anashida (anakanyagwa) lakini mimi sijakuita kwenye huu uzi umekuja mwenyewe na kichwa cha uzi kinajielezaPoa tu. Kwani Ashura si alizaliwa kama wewe. Kwa hiyo kisa hujaungwa mkono kwenye uzinzi wako,ndo uanze mabo ya ajabu ajabu? Haya,unajua kuchagua. Ama kweli watoto wa kiume balaa. Yaani wewe,umemuona mwanamke,matunda ukaacha kisa matako?! Mwingine umepitiliza kituo ili upate tu namba! Wazazi wako wanajua hii tabia ya kihuni unayo lakini? Lione!!! Mawazo ngono tu
Nimekuuliza,wazazi wako wanajua wamefuga baradhuli kiasi hiki? Yaani unaona fahali kujisifia kupenda ngono! Wengine huko kwingine wanaongelea maendeleo,wewe unajiona kidume kukimbiza wanawake kisa ngono.Ukiona mwanaume anakwambia hapendi ngono basi anashida (anakanyagwa) lakini mimi sijakuita kwenye huu uzi umekuja mwenyewe na kichwa cha uzi kinajieleza
Jamaa naomba unielewe wewe hupendi ngono umefuata nini kwenye huu uzi na heading inajieleza si uende kwenye majukwaa ya dini na imani Dah watu wengine bhana wanapenda mizozo isiyo na maanaNimekuuliza,wazazi wako wanajua wamefuga baradhuli kiasi hiki? Yaani unaona fahali kujisifia kupenda ngono! Wengine huko kwingine wanaongelea maendeleo,wewe unajiona kidume kukimbiza wanawake kisa ngono.
We mwenye job ungeleta pumba hapa?Jamaa naomba unielewe wewe hupendi ngono umefuata nini kwenye huu uzi na heading inajieleza si uende kwenye majukwaa ya dini na imani Dah watu wengine bhana sijui jobless huyu
Mibwabwa utaijua tu we bwabwa mi natongoza wanawake sitongozi mibwabwa sasa kama we inakuuma mi kutongoza pisi kali pita kuleeee kambali na mimiWe mwenye job ungeleta pumba hapa?
Si ungekuwa unatafuta hata hizo nauli za kukimbizia wanawake! Si bule umelaaniwa wewe nanhujui. Au, huu uzi unawahusu tu wapenda ngono? Kama ndo hivo mi ntakaa kimya.
Sikatai,ila mambo ya kike kike,uache. unajua nimekunywa juisi ya miwa,ohh mara nimeonja soseji, na wewe uje ulingishie ngono! We komaa,ila ukweli ndo huo. monotheist ungefuta ukaweka hata Asha NgedeleMibwabwa utaijua tu we bwabwa mi natongoza wanawake sitongozi mibwabwa sasa kama we inakuuma mi kutongoza pisi kali pita kuleeee kambali na mimi
Aisee ningekuwa mchangamfu kama wewe nahic ningewapata wengi, sema mm ni mvivu kweny hio sekta, yaan nikifikiriaga mambo ya kuanza kumtongoza mwanamke mwili unaanza kuwa mzito sana, naanza kusikia uvivu, mara uanze kujitambulisha, mara uanze kumsifia, mara umtoe out, mara uanze kumwomba uchi...aaah nikianza kufikiria process zote hizo huwa nakausha tuu naendelea na mambo yangu.TUKIO LA 1:
Nakumbuka ilikua 2017 baada ya kumaliza form 6 nikaamua kwenda kumjulia hali dada yangu wa mbagara wakati narudi kuelekea home magomeni nikaona nipitie zakheim nikale matunda huwa pamechangamka sana pale
Pale mbagala zakheim kuna daladala zinazoenda mbagala kuu na kijichi aisee nilikuja kustaajabu baada ya kuona pisi kali matata inaingia kwenye gari niliacha kula matunda na mimi nikazama kwenye gari bila kujua gari inaelekea wapi nikafanikiwa kukaa nae siti moja nikaanzisha stori akawa ananipa ushirikiano akanambia anashuka kituo X na mimi nikamjibu nashuka hapo hapo kituo X wakati hata kijichi sijawahi kufika
Mimi nilikaa siti ya mwanzo yeye alikaa siti ya dirishani halafu konda alikua hatangazi vituo nikaona hapa nitaumbuka nikajifanya nimelala baada ya kufika kituo X pisi ikaniamsha tumeshafika baada ya kushuka alinambia anakaa mtaa unaofuata na mimi nikamwambia nakaa kuleee kwa chini (nilionyesha mabondeni huko) tulibadilishana namba na akajakua manzi yangu japokua kwa sasa tumepotezana
TUKIO LA 2:
Ilikua mwaka jana baada ya kumaliza mishe zangu posta nikajisogeza hadi maeneo ya mnazi mmoja kutafuta gari ya kuelekea home baada ya kufika mtaa wa kongo nikiwa kwenye daladala ikaingia pisi moja kali hivi mwembamba kiasi mrefu wa wastani amevaa suruali ya jeans baada ya kuingia ikanipita ikaenda kukaa siti ya mbele karibu na driver nilianza kujilaumu kwa nini nisingekaa siti ya mbele ili niwe karibu nae
Muda wote macho kwake ili asije kuniacha wakati wa kushuka nilipitiliza hadi kituo cha nyumbani kwa ajili yake nilidhamiria kwamba anaposhuka yeye na mimi nashuka hapohapo alipokuja kushuka na mimi nikashuka na nikafanikiwa kumsimamisha na kuanza kupiga nae stori chache nilipomuomba namba akanijibu siwezi kukupa namba barabarani fuatana na mimi hadi ofisini kwangu niliogopa ila nikavaa ujasiri hadi kwenye ofisi yake.
Huyu nipo nae hadi sasa tumetimiza mwaka mmoja kwenye mahusiano ni mdada ambaye amefanya nijue thamani ya mwanamke yupo romantic mno
🤣🤣🤣🤣!Uduguu avatar ni [emoji91][emoji91].
Umeamua sahivii,
Haziwezi kuyumba kwanza wake zao walikuwa hawana Maex na simu zilikuwa hakuna , nyumba za kupanga na Guest zilikuwa mbali mno, na walikuwa wanaoa bikra, kwakifupi walikuwa wanaoa wanawake wapya siyo used, sisi vijana wa sasa tunaoa wanawake wameshatumika sana, Yani kwa sasa mwanaume ukioa mwanamke aliyotembea na wanaume wachache 5.Babu na bibi zako waliochaguliwa,ndoa zao ulikuta zimeyumba?
Teh teh teh teh. Vitu second hand. A.K.A usedHaziwezi kuyumba kwanza wake zao walikuwa hawana Maex na simu zilikuwa hakuna , nyumba za kupanga na Guest zilikuwa mbali mno, na walikuwa wanaoa bikra, kwakifupi walikuwa wanaoa wanawake wapya siyo used, sisi vijana wa sasa tunaoa wanawake wameshatumika sana, Yani kwa sasa mwanaume ukioa mwanamke aliyotembea na wanaume wachache 5.