Tuliowahi kupata madem katika mazingira magumu bila kutarajia

Chai
 
Siku nipo mwembechai nimepigika niliibiwa mapene flani mengi tu baada kupata ajali.
Nasubiri daladala za gongs ho.e katokea mchumba zafarani mtoto black babyface kapiga dera kachomekea kwenye chupi sijui.
Ikaja gari ya tandika nikaunga bodi da bahati nzuri baada ya kusi.ama siti hii hapa tukakaa wote nilipiga sound mpk tandika kwa bibi yake.
Kesho itakuwaje mtoto kanionyesha kwa bibi nimfate
pale jioni.
Kesho nikala kuku wa kienyeji mbichi.
Na hakua na choyo, nilikula kwa mkopo muda tu.
Nikapotea.
Siku narudi baada ya miaka kadhaa nikampata doh ikawa ni mapenzi moto,
Hapo karudi Kwa mama tbt.
Nilipotea sijamuona tena.
Alikua mwislam safi ila tulitafuna nae mdudu mpk basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…