Nduhu tabu
Member
- Jul 21, 2017
- 90
- 96
Uzidi kuwaombea maisha marefu je ungekuwa huna wazazi ni mtihani mzito Sana. Ila next time Utakuwa unanidhamu ya Pesa.mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
Wanafilisika km kawaida tu.wanawake hawafilisikagi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .limbwata linahusika mkuu.alafu pesa bwana ukiindea resi sana na kuilazimisha kwa sana ndo huipati.Ushawahi kumpenda mtu lakini yeye hata hataki kuonekana mko pamoja? Yaani anakukwepakwepa tu!
Huo ndivyo *UHUSIANO* wangu na Pesa ulivyo kwa sasa ......
Unaweza kudhan matatizo ya watu wengine yanasababishwa na watu kumbe tunakosea kuamin hvyo,matatizo yanasababishwa na ww mwenyewe.Uzidi kuwaombea maisha marefu je ungekuwa huna wazazi ni mtihani mzito Sana. Ila next time Utakuwa unanidhamu ya Pesa.
Kwa sababu danga linakupa huku watoto wanalia njaa nyumbani, laana hiyoNilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
Umeeleweka mkuuPole sana kaka,huwa tunajifunza tunapoanguka japo kwa maumivu makali sana,hela yako yoyote iweke sehemu ambayo ukiitaka lazima ikupe ugumu wa kuichukua ila ukiiweka sijui bank huku ukitembea na ATM Card mfukoni jua hiyo siyo yako,pia usimkopeshe mtu hata kama ndugu pesa yako iweke kwenye assets japo ukiwa na shida maisha utayaona magumu lakini at least utajifariji kwamba unacho kitu umekiweka mahali.maisha yanatisha sana aisee vijana ambao hamjapitia magumu mengi ktk maisha yenu mnaopita ktk uzi huu someni between the lines kinachoandikwa humu maana sio masihara cos kama bro hapa alipoteza 4mill 2yrs nyuma akala msoto huo akitokea mmoja wetu akaipoteza kama hiyo Tanzania ya leo hakuna namna itamfanya asifungwe kamba au asipelekwe Mirembe.shida zisikie kwa mwenzako na hazizoeleki tuwe serious na maisha.
Kiukwel leo naweza kwenda popote,muda wwte,naweza kula cchte,naweza nunua ving ambavyo watu wanataman kua navyo,wala sitok jasho,nilale,niamke hela napata tu,japo uchum umebadilika lakin siwez kushindwa kuyamudu maisha kwa hali yyte kwa sasa,na mwaka jana nilitaka kujenga shule ya awali mpk sekondar sema kuna ukiritimba flan nikakutana nao nikaghairi. So anaefilisika usimcheke hata siku moja maana anauwezo wa kurud barabarani na akafanikiwa zaid.
Unadhani lini utaipata tena hasa ktk miaka hii na je! once ukipata utaifnyia kitu gani?Niliwahi kupata milioni 120 nikiwa na umri wa miaka 26 kipindi hicho nipo mererani, nilichezea hiyo hela kwa muda wa miezi 8 nikabaki na laki mbili bank
Haa ha ha...!! Na wew itakuwa discpline ya pesaa ni zeroo kabisa....hahahaahaha umenichekesha sana na kunikumbusha jamaa yangu,alikuwa anashindia mikate hata haja aendi wiki nzima.
nilianza pata m1.2 mkwanja wa field chuo, niliishia nunua mashati ya chui chui tu.
nilimpiga mzungu m5 kwenye tumbaku, zilivyo isha mpaka leo sielewi na sina cha maana nilicho fanya.
now nna mipango na najichanga nifanye cha maana na mkwanja umekata, dili hakuna daa!! unaweza chizika.
Haa ha ha...!! Na wew itakuwa discpline ya pesaa ni zeroo kabisa....hahahaahaha umenichekesha sana na kunikumbusha jamaa yangu,alikuwa anashindia mikate hata haja aendi wiki nzima.
nilianza pata m1.2 mkwanja wa field chuo, niliishia nunua mashati ya chui chui tu.
nilimpiga mzungu m5 kwenye tumbaku, zilivyo isha mpaka leo sielewi na sina cha maana nilicho fanya.
now nna mipango na najichanga nifanye cha maana na mkwanja umekata, dili hakuna daa!! unaweza chizika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani pole lol!h
siku nikikumbuka jins nilivyotumia ile hela huwa najifungia chumbani naliaa weee hadi macho yanakuwa mekundu
Unamzidishia machungu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaaa!! zungushaaaa, wape bia haoooo!!! wanywe mpaka waombe poa!! kampuni kubwa hiiiiiiii!!!, bill inakuja 70,000/= mfukoni una 50,000/= unachukua pikipiki fasta huku wadau unawaacha wanakula mvinyo, unaenda kuvuta 200,000/= ili imalize kila kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnahama viwanja huku group linakufuata nyuma kila MTU na bebi wake unawanywesha wewe!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unaaanza kuona vijamaa vyenye vibanda vya thamani hata ya 70,000/= tu vina akili kuliko weweDADA acha Mchezo!Hiyo hali siyo ya Kuombea....Kwanza ukila hela namna hiyo,Hela huwa zinasepa Na USINGIZI Wote UNAKUWA MLINZI WA NYUMBA NI KUKESHA mpaka swalaaaswalaaa inaita.....
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda![/QUOTE]Mkuu pesa za riba uwe unatoa au kupokea hazijawah mwacha mtu salama hata upate kiasi gani zitakuja kukudhalilisha tu at the end