Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Mkuu nimepitia comment zote humu ila hii nimecheka kwa sauti hadi majirani nje wamekaa kimya ghafla. Naomba unisamehe sana
hahahaha...kampala acha kabisa mji wenyewe unakushawish kutumia hela...maana starehe jijini pale duuh acha..
Mimi kuna siku nilienda nikiwa kwa akaunt nina kama laki 9,huwezi amini laki 600k ilikatikia mji ule...alafu sio mtu wa totozi kivile
 

[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mungu atusaidie
 

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hio mipango yako ya kuwasaidia baada ya kupokea pesa imenifurahisha
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hio mipango yako ya kuwasaidia baada ya kupokea pesa imenifurahisha
Hahahahah binadamu tunakosea tuomba vitu badala ya kumtaka mwenye vitu ikiwa ningeomba uwepo wa Mungu ndani yangu pesa angenipatia kama ziada na ile huduma ingekwenda vzr kbs bila upungufu.

Tujifunze kuomba uwepo wa Mungu ndani yetu tuache kukimbizana kutaka baraka na suluhisho la shida zetu hayo mahitaji yetu anayajua na atatupatia tu ttzo letu hatuna imani tumejawa hofu na mashaka
 

Sasa huyu ndio mshamba wa pesa na ilifaa afilisike kabisa
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatari sana
 
We nae msomi unaweza uchaqi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…