Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Asante mamy nishabadilika ,Hela yenyewe sina siwezi kukanyaga tena ! Huwa napita kwa mbalii nikiwa naenda beach ununio kupunga upepo
Njoo Hodium ule pesaPesa ya mkopo au ya dill usifanyie biashara.We 4m zinakuumiza,mi nishawahikopa 20M zikapotea heri ningefungulia hata zipu,nimejaribu bnezz nyingi nimeambulia hasara kwa miaka 15 ni jumla ya 120M zimepotea sijakata tamaa napambana bado najua iko siku.Huwezi kuwa tajiri bila kufilisika hata uwe smart vipi
Na walivyo na balaa wamekuwekea na IC basi kale kaubaridi ka pale kwenye kuchukua pesa sijui kakoje kojeeeHela za urithi hazina hasara.
Nilizitumbuaaaa.
KATIKA MAISHA HAKUNA KITU KIZURI KAMA KWENDA KU WITHDRAW ATM.
Inategemea na mtu mtu....hata laki ni pesa hata 10000 pia ni mtaji wa mtu na anaishi.Kuna wengine iyo 10 ml 20ml 30 ml nk anafanyia party ya siku mojaMillion 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
Ukipata muda..ukiona inafaa naomba uni-pmHahaaa...dah
Nimemkumbuka headmaster wa shule moja kubwa ya Serikali mkoani mbeyaKuna babu yangu wa ukoo mwezi wa Sita aliingizwa mjini na vijana wa kongo wakamuuzia dhahabu feki.
Ni daktar msitaafu alikuwa anamiliki dispensary na baa siku vijana walimuibikia kwamba wana dhahabu ya mil 50 ila yeye akiuza atapata mil 400 mzee akashawishika na akajihakikishia kwamba ni dhahabu kweli akaenda bank akachukua balance ya account yake akachukua pesa za baa na za hospital akaongezea akanunua dhahabu akauchuna mambo yote haya aliyafanya kwa siri akumshirikisha .
Siku za wafanyakazi kidai mishahara zikafika madawa na vifaa hospital na watu wa kodi wakaanza mambo Yao kila anakoomba mkopo amalizane na ayo madai holaaa ndo ukabidi amwambie mdogo wake aliyekuwa anamwamini maana watoto wake wengi kila mtu kakaa kijambazi ndo akamwambia m hapa nina dhahabu tafuta mteja tuuze tumalize hii ishu mteja kupatikana kumbe dhahabu feki asee mzee alipandisha presha ghafla akafariki usiku uo akafa kwa aibu ya Tamaa na kuingizwa mjini na usomi wake pia akaiacha family na madeni
Hahahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hufai kufarijiwa kbs aisee...hv mnazuzuka nn kuhonga gari??yaan bora ungemfungulia biashara ila iwe yako lakini usimamiz na ww unakuwepo..akizengua unamfukuza mapemaaa!mtu wa kumnunulia gari ni wife tu!..ww hufai ht kubenbelezwa jibembeleze mwenyewe
Njoo Hodium ule pesa
MfanoNdo nn hio
Hawa hodium nimecheki reviews zao ni scammers sijui ukweli uko wapi hapo.
Mbona unampa heshima kumuita digidigi? Hujui kuwa digidigi ni kitoweo kizuri sana! HUYO JAMAA ANAFAA KUITWA PIMBI WA DARAJA LA KWANZA.We n digidigi daraja la kwanza
Lakn haya n matokeo ya mfumo wa elimu tuliyo nayo, teachs nothing about financial literacy
Nimewithdraw tayari,kwako now nipo ktk platform hia hapaHawa hodium nimecheki reviews zao ni scammers sijui ukweli uko wapi hapo.