Maumivu yanakuja wakati ambao unaona laki ni pesa nyingi sanaa kumbe, halafu wewe ulikua na milion 10 majuzi tu na leo umebakiwa na elf 30.Huwa nawaonea huruma wazee wastaafu waliofilisika,unakuta alilamba M150.Halafu hazijafika hata miaka miwili zimeisha,kinachofuata n kuongea barabarani.
Mkuu mimi niliwahi kuitupa kadi yangu ya ATM kwa hasira baada ya kukuta salio limepukutika kwa speed ya bombadia.Usinikumbushe mkuu!!yaani mpaka ilipobaki 50,000 ndo nikashtuka kumbe zimeisha!!ATM mbaya sana!!ila Mungu anisamehe tu!
Naomba mil moja hapoMillion 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
Sasa hela zenyewe za msimu, bora ziwe zako. Mwisho wa siku zikiisha. Unaweza ukaumwa ugonjwa wa kumiss ATM.Na hakuna mlio/ringtone mtamu kama wa ATM praprapraprapra
Pesa za kusimulia watu million ngapi?Million 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
Kila mtu na level yake ndugu....Million 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni Tawi jipya la CCM lipo Chatto.
Mmmh sio kwa wote jaman mbn wengne wnfanya mambo ya Msing na maendleo kuptia pesa za kuhongwa?Pesa za kuhongwa zina mikosi, kama ilivyo za wizi
Mi nikizipata sitafilisika...ewe mola nisaidie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huwa nawaonea huruma wazee wastaafu waliofilisika,unakuta alilamba M150.Halafu hazijafika hata miaka miwili zimeisha,kinachofuata n kuongea barabarani.
Vyote mkuu!Akusaidie uzipate au akusaidie kuwa ukizipata usifilisike au vyote!??
Yaani kama Mimi hapa nilikula starehe!! kuja kustukaa!!! nikanunua kiwanja, namuomba sana Mungu anipe nguvu na uvumilivu.Usinikumbushe mkuu!!yaani mpaka ilipobaki 50,000 ndo nikashtuka kumbe zimeisha!!ATM mbaya sana!!ila Mungu anisamehe tu!
hahahaaaa!! unaenda kutoa hela ATM hutaki hata risiti unaona utajipa presha tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.
Nikienda bar. Mbuzi choma ya 10,000.
Kuhonga sasa.kuvaa usiseme.
Mara ya mwisho Naenda ATM. Kuna 4,500..
Nilikuwa mdogo.ila HeLa za kukinga tu hazina Baraka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maumivu yanakuja wakati ambao unaona laki ni pesa nyingi sanaa kumbe, alaf wewe ulikua na milion 10 majuzi tu na leo umebakiwa na elf 30.
same to me,!! mambo yamegoma aiseeMie nmefiliska mwezi huu yaani kichwani nahisi nmewekewa petrol inawaka