Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Nimetoa mchozi! MKE kabisa alikuacha?
 
Daah..pole sana biashara za nafaka zinahitaji mahesabu makali sana ya kuliwahi soko.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera jamaa..wengine wake zetu ndio wametuletea umasikini..acha tu ukipata mwanamke mwenye akili ya utafutaji na awe na tako utaenjoy sana..

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mimi wakati tunakaribia kufunga ndoa tu na mume wangu akafukuzwa kazi ,kazi iliyokuwa ikimlipa vizuri sanaaaa weee nikakaa nikajiuliza niendelee na hii ndoa au lah maana nilikuwa nawaza mimi nafanya kazi kwa wahindi mshahara wangu hauwezi kulipa kodi ya nyumba na sisi tukala nikamuomba Mungu nikasonga mbele na ndoa aisee si mchezo yani ukipokea mshahara ushaisha unaanza upya yani kila ikifika mwisho wa mwezi ndo machungu yanaanza.
Nikapata mimba hapo mume haingizi hata senti tano ila akawa tu ni mtu mzuri hana makwazo kwahiyo tukawa tunaongea lugha moja.Wakati kwa kujifungua ukafika ile nimemaliza mwezi mimi ni HR boss wangu kanipigia simu tukaongee kwenda ananiambia inabidi tufunge ofisi hataweza kuendelea kulipa wafanyakazi hivyo ni bora alipe watu akiwa bado ana pesa aiseee tulikuwa sehemu nilikuwa sielewi nini naongea mana nilikuwa nawaza mtoto nyumbani mwenzangu bado hajapata kazi [emoji1544] nilijikaza nikamjibu boss wangu sawa mana mimi ndo natakiwa kwenda kubreak the news.

Turudi nyuma kidogo mwenzangu kuna pesa aliipataga zamani basi akanisaidia kiasi kikubwa kuanzisha biashara yangu (na hii ndo sababu niendelee mbele na ndoa mana nilishajua ni mtu wa namna gani). So wakati haya yote yakiendelea tuliyokuwa tukiiendesha kwa hasara lakini sababu nilikuwa na kazi nikawa naendesha hvyo hivyo najipiga tafu kupitia kazi yangu ya kuajiriwa basi nilivyoona familia imeongezeka nikaona sitaweza kuihudumia biashara nikataka kuifunga kumbe Mungu ananichelewesha kuifunga kwani anajua nitakosa kazi,kazi ilivyoisha bahati nzuri nilikuwa nimepata maternity yangu karibuni nikachukua kiasi nikatemgeneza ofisi kidogo na tulipofunga ofisi sababu nilikuwa maternity nilipata mishahara kama mitano hvyo plus kiiunua mgongo basi tukakaa na mwenzangu tukaenda buguruni tukanunua kila kitu cha ndani at least kitakachotupeleka kwa miezi mitatu tukiwa tunajitafuta.

Mungu ni mwema hatuna maisha kama ya zamani lakini nimewekeza akili na kila kitu kwenye ile biashara yangu na sababu nipo mwenyewe naifanya mwenyewe na pesa sasa inaendesha maisha + na mume wangu anafanya kazi zake hakosi pesa za chakula.

Tusikate tamaa na kumuomba Mungu mana kila anapokupa jaribu anakupa na mlango wa kutokea mlango ni akili zinazokuongoza kutafuta namna ya kuzitatua na tujitume na kutokata tamaa.
Na zaidi kwenye maisha kukosa ni kawaida kama sio leo ni kesho.
 
Mkuu nimefukuzwa kazini kwa madai ya utoro maana nilipata issue moja,emergency nikaomba ruhusa nikanyimwa ikabidi nisepe hivo hivo,hasa kupata barua ya termination hawataki kunipa.
Hivyo na nssf yangu ngumu kupata
Habari, umechukua hatua gani baada ya tukio hilo? Kama siku 30 tangu wakutimue hazijafika, nicheki PM naweza kukushauri kitu.
 
Mmeo alifukuzwa kazi kwa kosa gani…?
Mliendelea na ndoa lakini ndoa hamkufunga…?
 
Ni ushamba na ulimbukeni wako tu, hata usimsingizie shetani
 
Vipi now si ume make money na una enjoy mkuu? Vipi totoz hupendelei?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…