Nilikua najua ww nidemu kifingamkuu iyo mbona kawaida sana hawa wadada zetu wanaoendaga Dubai utakuta kuna doni limemtia kama milioni 40 hivi anaambiwa tangulia Dubai mi nakuja baada ya wiki moja kukuchakata usione wanapishana airport pigo zao ndio hizo
Hapa kuna ukweli flani,huwezi kuwa tajiri bila kufirisikaNaunga mkono hoja.
Mnamo 2019 SEP hadi2020july,nilipoteza zaidi ya milioni12,nilizokopa kutoka Ajira yaserikali nikatia katika kilimo cha ufuta naununuzi waufuta,hakika nilifeli Sana kutokana namvua kunyesha sana napia kulipia garmaa zauendeshaji napia ununuzi WA ufuta kwanjia ya kangomba bei zilikuja chini,Hadi sahizi KAZI niliyonayo naioma chungu kutokana namakato ya Benki,naishi kikachelo Tu kwakubangaiza maisha ghali,majukumu yameongezeka yakifamilia hela nayoipata Kwa mwezi haikidhi mahitaji.
Hii comment yako mkuu, imehamasisha wengi. Shukrani sana
😂🤣Kweli umechanganyikiwa kaka, naona unaji quote mwenyewe na kujijibu mwenyewe, View attachment 1052059
Asante Sana brother hakika mapambano yakujikomboa unaweza kuhisi umerogwa napia wahsauri WA wamaswala yaulozi hua karibu naww kuonesha yakua pengine mambo hayako Sawa kaaangalie nyota.Pole sana brother, hakuna mapambano marahisi katika kujikomboa na umaskini.
Kuanguka na kuinuka ni kwingi sana , wakati utakuja wa kuinuka tena
Asante Sana mkuu,Hadi SASA nakula msoto nakazi nimehamishwa kwenda eneo ambalo sio la kupata pesa naishi Kwa kibangaaiza Tu nakibarua chenyewe nikichungu ,huuu Uzi umenifariji Sana Sana Sana Tu.Pole sana mkuu
Wewe ni askari?Mnamo 2019 SEP hadi2020july,nilipoteza zaidi ya milioni12,nilizokopa kutoka Ajira yaserikali nikatia katika kilimo cha ufuta naununuzi waufuta,hakika nilifeli Sana kutokana namvua kunyesha sana napia kulipia garmaa zauendeshaji napia ununuzi WA ufuta kwanjia ya kangomba bei zilikuja chini,Hadi sahizi KAZI niliyonayo naioma chungu kutokana namakato ya Benki,naishi kikachelo Tu kwakubangaiza maisha ghali,majukumu yameongezeka yakifamilia hela nayoipata Kwa mwezi haikidhi mahitaji.
Pole sana mkuu,siku nyingine jitahidi kufanya utafiti wa kina kabla ya kuingia Kwenye uwekezaji wowote ule.Mnamo 2019 SEP hadi2020july,nilipoteza zaidi ya milioni12,nilizokopa kutoka Ajira yaserikali nikatia katika kilimo cha ufuta naununuzi waufuta,hakika nilifeli Sana kutokana namvua kunyesha sana napia kulipia garmaa zauendeshaji napia ununuzi WA ufuta kwanjia ya kangomba bei zilikuja chini,Hadi sahizi KAZI niliyonayo naioma chungu kutokana namakato ya Benki,naishi kikachelo Tu kwakubangaiza maisha ghali,majukumu yameongezeka yakifamilia hela nayoipata Kwa mwezi haikidhi mahitaji.
Kwa aisee hivi visa ni elimu tosha wazeeWakuukama vile mmeutelekeza huh uzi
Huu uzi miaka mia....yaani utadumu mno maana ni funzo toshaWakuukama vile mmeutelekeza huh uzi
Hata mwanzo nilikuwa nazalisha ghafla milango ikajilock mkuuTumia huku unazalisha hautafulia mkuu
Tupe hint za kilichotokea ili uweze kupata ushauri sahihiWakuu nina tatizo la kisaikolojia kua baada ya kufulia nitakuja fulia tena kwa mara ya pili vipi nawezaje kuikabili hali hii maana Fear of re-loose inanitesa