Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Mtaji wowote, Ili mradi uwe na shareholder. Unaweza kumpa mtu asilimia 3% baba au mama.
LLC ni body corporate kwa hiyo itashitaki na kushitakiwa, itaweza kukopeshwa na benki.
Itakuwa na akaunti yake, TIN namba yake.
Itakuwa na assets zake na liabilities zake.
Muhimu zaidi itatofautisha kati ya wewe na biashara zako. Huu ndiyo mwanzo wa heshims ya matumizi ya hela.
Ukiwa na hela nyingi kiasi, kopa na uendeshe biashara yako kwa kutumia mkopo wa benki.
Ndiyo matajiri wanachofanya. Kopa benki, kwa kutumia LLC.
Itakusaidia kwenye Kodi. Loans don't get taxed.
Aisee nimekuelewa je assets zinahesabikaje? Mfano Nina bajaji ambazo nazifanya kwa mikataba kati yangu na madereva je naweza kuzitumia kama asset za kampuni na siku mikataba ikiisha zinakuwa si zangu? Hapo kwenye mikopo ndio pako poa Sana...kufanya kazi na pesa zisizo zako ni faida kubwa sana. Je nafungua kampuni ndio nigawe hisa au inabidi niwe na shareholder kabla ya kufungua kampuni?
 
Aisee nimekuelewa je assets zinahesabikaje? Mfano Nina bajaji ambazo nazifanya kwa mikataba kati yangu na madereva je naweza kuzitumia kama asset za kampuni na siku mikataba ikiisha zinakuwa si zangu? Hapo kwenye mikopo ndio pako poa Sana...kufanya kazi na pesa zisizo zako ni faida kubwa sana. Je nafungua kampuni ndio nigawe hisa au inabidi niwe na shareholder kabla ya kufungua kampuni?
Assets zozote zilizo kwenye jina lako unaweza kutransfer kwenye jina la LLC.
Hizi Bajaj ikiwezekana mkubaliane ziwe kwenye jina la LLC halafu uongie mkataba na madereva. Ukimaliza mkataba, una dispose from LLC to drivers.
Hawa hisa kwanza kabla ya kusajili kampuni. Ijulikane kama ni hisa 1000, za Baba ni 30, zako 970. Pia unaweza kufloat baadhi.
Make it simple.
 
Assets zozote zilizo kwenye jina lako unaweza kutransfer kwenye jina la LLC.
Hizi Bajaj ikiwezekana mkubaliane ziwe kwenye jina la LLC halafu uongie mkataba na madereva. Ukimaliza mkataba, una dispose from LLC to drivers.
Hawa hisa kwanza kabla ya kusajili kampuni. Ijulikane kama ni hisa 1000, za Baba ni 30, zako 970. Pia unaweza kufloat baadhi.
Make it simple.
Ahsante mkuu kwa elimu hii.
 
Mi sister angu aaah alikua anahongwa hadi mil 50, mil 20, mil kumi......Kuna rfk ake na Ridhiwani Mzungu mmja hiv kam spoil sana sister sir tupo tunatoa mimacho tu.....eeh ukimuona sa hv sister angu yani sio yule R Dangote yani hata ukimwambia ccy twende ukanispoil anakwambia mdg angu sina ubavu huo

Mim kuhongwa pesa kubwa kabisa ni mil 5 nkahongwa mara ya pili tena mil 3 nkaongezea nkafungua biashara siku ya siku nliibiwa kila kitu dukani nlikua chizi fresh
Kuna mtu alisema hela za kuhongwa ni kama zina nuksii
 
Kwa hivyo nawe na rafiki yako mumejiweka kwenye hesabu ya walipata fedha na kufilisika[emoji72]

Itabidi author aweke condition hapo isipokuwa ya kuonywa
Kwani si hata huyo muandishi alihongwa na familia au ujui kusoma?!
 
Dah! Kila demu humu jf hataki kuolewa na mie wala kuzaa na mie[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Anyways tuyaache hayo. Sasa ulirudi vipi kwenye game baada ya kuibiwa vitu vyako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Assets zozote zilizo kwenye jina lako unaweza kutransfer kwenye jina la LLC.
Hizi Bajaj ikiwezekana mkubaliane ziwe kwenye jina la LLC halafu uongie mkataba na madereva. Ukimaliza mkataba, una dispose from LLC to drivers.
Hawa hisa kwanza kabla ya kusajili kampuni. Ijulikane kama ni hisa 1000, za Baba ni 30, zako 970. Pia unaweza kufloat baadhi.
Make it simple.
Hiii mbinu nilitumia pia
 
Hayupo serious huyu....Elfu 70 kwa week ukikosa ndio umefulia? Hivi anajua watu waliopata pesa kisha wakafulia? Ebu amuulize mtu anaitwa Mr 9c ndiyo maana halisi ya kupata pesa na kufulia.
@King Kong III ebhana kama unaipata kiuhakika hiyo hela ni kubwa na ukiwa na nidhamu ndio kabisa unabadilika kimaisha mdogo mdogo
 
Ulifika fedha kiasi gani ukapoteza, hiyo itanipa msingi wa ushauri.

Unanikumbusha ipo siku nauguliwa na mtu kisha nampigia simu mtu ninaemuamini nikope laki 2 nimtibu mgonjwa ananijibu hana kitu ilihalu nilikuwa na uhakika anayo, nilikaa sehemu nililia sana, nikajisemea hela nilizokuwa nazo mimi wa kukopa mtu leo laki mbili nimtibie mtu ninyimwe.

Anyway yule mgonjwa akafa.
Pole Sana kiongozi
 
Back
Top Bottom