Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Watu wengi hatujuwi kama kutafuta hela siyo kazi, kazi inayo tugarimu tulio wengi ni kutunza hela, hatujuwi kabisa na ndiyo maana hata upate ml200 bado utafilisika tu kwakuwa hatuna nidhamu ya pesa hivyo tujifunze kutunza pesa.
 
Kuna watu natamani mungu awafunulie wasome hii thread. Watu wengine wakifulia kidogo tu wanataka mpaka kujiua, wakati kuna malegend humu ni kama walishakufa wakafufuka. Mpaka stori zinatisha. Ukisoma hii thread utajua kumbe kukata tamaa ni mwiko. Imenijenga sana mimi kifikra, mambo ninayopitia ya kukatisha tamaa sana. Jana tu kuna mtu kataka kujiua kisa PhD anayosoma inazingua na kazini washasimamisha mshahara. Ana masters lakini anaona akikosa PhD bora afe. Angesoma hii ingemsaidia sana.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ana mradi gani Hadi hivi sasa tangu mmalize?
 
Ahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujitesa kote huko halafu kawa dereva bajaj? Nilijua utasema sasa hivi ana majumba na biashara na ndinga kibao bila kusahau cash money.
 
Kuna mwana tulupangiwa wote mabibo hosteli miaka hiyo ya late 2000's. Mchizi likuwa ametoka mwanza/shy town dah jamaa daily yeye ni kutembea kwa miguu kutoka mabibo mpk campus hana habari na shuttle,Misosi ni RB tu mwanzo mwisho
 
Daah ungekomaa na plan yako ya mwanzo ya kununua shamba na ufugaji.
 
Bora wewe 70 mimi kuna mtu nimemfungulia salon na niko mwenyewe kwanza na check upepo week nzima imeingia tsh 2500 hahahah saloon ina week 2. Na hlo eneo salon ni mimi tu
Hapo ndipo panafaa sasa,na hiyo biashara itakunyookea siku za usoni mpaka hutaamini. Siku zote ukiona mwanzo mgumu ujue mbeleni ndio kuzuri,ila ukiona umeanza na kitonga tu yani mambo mserereko basi jiandae kuingia shimoni.
 
Ahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujitesa kote huko halafu kawa dereva bajaj? Nilijua utasema sasa hivi ana majumba na biashara na ndinga kibao bila kusahau cash money.
Nadhani amemaanisha kuwa yule aliyekuwa akienda Jangwani Sea Breeze ndio amekuwa dereva wa Bajaj
 
Ahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujitesa kote huko halafu kawa dereva bajaj? Nilijua utasema sasa hivi ana majumba na biashara na ndinga kibao bila kusahau cash money.
Ama kweli kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti....hapo wamezungumziwa watu wawili tofauti angalia vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…