Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

2017 hapo nikiwa bado nipo chuo na penzi limekolea kwa mpenzi wa Maisha yangu. Ananipa mtaji wa sh laki 1 na 50 nikanunua dagaa Nyasa wale ili niwe nauza Dar.

Kabla ya hiyo biashara nilishafanya biashara kama kuuza sabuni na yebo yebo nilikua napeleka Masasi na Mwanangu James Ila akaja nidhulumu nikapotezea.

Basi bwana kwenye Maisha yangu sikuwahi kuwaona dagaa nyasa hapo kabla so Mara ya kwanza nikawaona nilipoenda songea nikawapenda.. Hivyo nikamuomba mchumba anisaidie mtaji ili niwalete Dar niuze kweli nikachukua sampuli dumila 10 nikaja nao dar kisha nikaenda kwenye magenge makubwa yale kuwapelekea wengi walikataa ikabidi niwape bure kisha wauze kama watanunulika basi tufanye biashara hapo baadae bado walikataa[emoji16] Ila magenge manne yakakubali nikaacha na namba za simu basi hazikuzidi siku 3 nikapigiwa simu tukaongee.

Basi bila hiyana nikajivuta tukakubaliana niwe napeleka mzigo nawaachia wanauza ukiisha Nafuata pesa.. Aisee nakiri wazi Moja Kati ya biashara ambayo siwezi isahau ni ile ilikubali nikawa napata mshiko wa maana(kiuanafunzi) Maisha yakabadilika japo mwanafunzi kusafiri Mara kwa Mara nikichukua mzigo wa laki 2 faida laki 2 ikaja mpaka Kule nilipokua nanunua wakawa wananipa mzigo kwa Mali kauli kutoka na mzunguko mkubwa.kufipisha stori niliweza kumiliki 3M+ bank zilizotokana na biashara ile nikiwa mwanafunzi na pikipiki(bodaboda) pia geto Kali Lakini vilipotea ndani ya wiki Moja tu baada ya kutapeliwa kwa mtu niliyemuamini kupita kiasi.

Shukrani kwa brother wangu alinihifadhi kwake na kunifariji maana ningejitundika kwa mawazo ule mwaka 2018 nilipoteza kila kitu mwishowe hata shule ningepoteza. Nilikuja kuinuka tena 2019 mwishoni Ila nikaja kupigwa na kitu kizito kwa uchawi qmmake ile unapika chakula Asubuhi mchana kimechacha Maisha ni Vita.
Duh
 
Mimi ndio ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndani ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipiki ya kutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa Kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamini kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingi sana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin hivi nnavyoandika hapa nmerudi naishi home kwa baba na mama sina hata mia mfukoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miaka 3 iliyopita nililima eka 40 za mpunga na 30 za mahindi nilipokuja kuuza mazao niliingiza faida ya mil 55 ukitoa na pesa ya mtaji.
Leo tar 1 nina laki moja tu..wanawake sio viumbe vya mchezo na kazi nimefukuzwa..niliowasaidia wamenitupa.
Nimejifunza mistake zote nilizofanya ila nikikumbuka naumia mno..kwa vile nina nguvu sina ulemavu naendelea kupambana.
Nimerudi home kwa wazazi maana hali ni tete ninaweza kuwa tahaira
Pole
 
Nina mjomba wangu mmoja hivi alikuwa anaimba imba kwenye hizi bendi za muziki kipindi hicho. Unawataja ma papaa, watu wazito alaf wanakutunza pesa ndefu. Sasa sijui alipigaje hela, ila alikuja kumiliki pesa ndefu. Mjini akawa yeye ndio Don, kila kona ana demu. Muda wote kachomekea, starehe mwanzo mwisho. Baada ya miezi kadhaa akafulia mbaya, hadi soo.

Akapotelea migodini. Huko alikaa kama miaka miwili au mitatu. Akapiga mshindo wa maana. Kurudi town ana hela chafu. Akiingia bar anatoa watu wote, anaikodi bar alaf anabaki na wapambe wake tu. Kuna siku mlevi mmoja wakati anatolewa nje kwavile bar imekodiwa na anko, yule mlevi alitukana. Anko akaomba aitiwe huyo aliyetukana. Kabla hata hajamwangalia usoni, akamuagiza mhudumu ampe yule mlevi kreti za bia sawa na urefu wake. Siku nyingine anaweza akatoa order kuwa wahudumu wote wa bar wabaki na pichu tu na sidiria. Haikupita miaka miwili akafulia mbaya.

Alivyofulia akapotea bila kujua kaenda wapi. Akaja kuibuka baada ya miaka kadhaa. Siku anakuja home kanawiri kichizi, akampa bi mkubwa (mama angu mimi) busness kadi yake ambayo inaonesha yeye ni engeneer na anamiliki kampuni ya ujenzi wa barabara (anko aliishia la saba) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa hivi ameshaoa na ana life zuri tu. Ukimpigia simu story zake ni either yupo njiani anaenda makao makuu Dodoma au yupo njiani anatoka kule. Ukimpigia simu asipopokea, badae akikuchek utaskia alikuwa kwenye kikao na Mama ndio maana hakupokea (hapo anamaanisha mama Salma Kikwete)

Mara ya mwisho kumpigia simu aliniambia "Ngoja naingia Usalama, ntakuchek badae, siunajua ofisi za watu hizi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu akupe maisha marefu anko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nina mjomba wangu mmoja hivi alikuwa anaimba imba kwenye hizi bendi za muziki kipindi hicho. Unawataja ma papaa, watu wazito alaf wanakutunza pesa ndefu. Sasa sijui alipigaje hela, ila alikuja kumiliki pesa ndefu. Mjini akawa yeye ndio Don, kila kona ana demu. Muda wote kachomekea, starehe mwanzo mwisho. Baada ya miezi kadhaa akafulia mbaya, hadi soo.

Akapotelea migodini. Huko alikaa kama miaka miwili au mitatu. Akapiga mshindo wa maana. Kurudi town ana hela chafu. Akiingia bar anatoa watu wote, anaikodi bar alaf anabaki na wapambe wake tu. Kuna siku mlevi mmoja wakati anatolewa nje kwavile bar imekodiwa na anko, yule mlevi alitukana. Anko akaomba aitiwe huyo aliyetukana. Kabla hata hajamwangalia usoni, akamuagiza mhudumu ampe yule mlevi kreti za bia sawa na urefu wake. Siku nyingine anaweza akatoa order kuwa wahudumu wote wa bar wabaki na pichu tu na sidiria. Haikupita miaka miwili akafulia mbaya.

Alivyofulia akapotea bila kujua kaenda wapi. Akaja kuibuka baada ya miaka kadhaa. Siku anakuja home kanawiri kichizi, akampa bi mkubwa (mama angu mimi) busness kadi yake ambayo inaonesha yeye ni engeneer na anamiliki kampuni ya ujenzi wa barabara (anko aliishia la saba) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa hivi ameshaoa na ana life zuri tu. Ukimpigia simu story zake ni either yupo njiani anaenda makao makuu Dodoma au yupo njiani anatoka kule. Ukimpigia simu asipopokea, badae akikuchek utaskia alikuwa kwenye kikao na Mama ndio maana hakupokea (hapo anamaanisha mama Salma Kikwete)

Mara ya mwisho kumpigia simu aliniambia "Ngoja naingia Usalama, ntakuchek badae, siunajua ofisi za watu hizi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu akupe maisha marefu anko.
Hii kali kuliko
 
Wakati nimemaliza form 6 mwaka 2015 nikapewa mchongo wa kwenda kuuza nguo maeneo ya machimbo nyamongo so nikatoka Dar nikanunua mzigo nikaenda .

Kufika Kule ikanibidi nichukue kijifremu elf 30 kwa mwezi nikalipa miezi 3 nikaweka nguo zangu muda huo home wananiuliza mbona siendi nikawadanganya napiga temporary shulen!!!

Basi nikaanza kuuza nguo but watu wakitoka kutafuta wakipata ndio wanakuja.. badae akaja jamaa mmoja tulikuwa tushazoeana akaniambia why unapigwa dolo HV twende kesho kutafuta mali!!

Basi kesho yake tukaenda ebwana wee kazi ngumu kichizi mnasubiri magari yakimwaga mzigo kutokea ndani kwenye mgodi wa mzungu tu mpo mnatafuta

Siku hiyo kama mungu alikuwa ananionyesha utajiri basi kuna jiwe nikalishika hata sijui chochote akaja jamaa yangu akaliweka kwenye mfuko kmy kmy kumbe yeye anajua.

Baada ya muda akasema tuondoke tukaenda mpaka dukani tukaingia Chemba nilikokuwa nalala akaniambia tumepata mali ananionyesha mawe yake mawili na langu moja ila yake yalikuwa madogo akasema twende kupima tukaenda lakin badae akasita akasema twende mwanza muda huu huu uku watatuibia tukapanda gari ndogo mpaka tarime then tukachukua basi kwenda mwanza mimi hata sielewi chochote ikabidi tulale maana ulikuwa usiku kesho yake tukakutana na huyo bosi wake mwanza hotel tukauza milioni 105 yale mawe

Wakaniuliza una account nikasema ndio ninayo zikaweka zile milioni 50 cash halafu nikapokea sms then nikapewa milioni 2 kwenye bahasha jamaa ananiambia mimi siondoki kama unarudi sawa we rudi.

Nikasema mimi naenda home kwanza!! Sawa tukaachana badae nikawaza niend bank nione kama mzigo upo?

Nukaenda nikajatibu kutoa nikatoa lakin 6 ikatiki na nikucheki salio milioni 49 na ushee hivi!!

Uyo home nikanunua mazaga kama ya milio 1 HV nafika home watu wananishangaa yaani wamepagawa nilivyoshusha Mazawadi .

Baada ya hapo nilichukua milioni 10 nikatoa nikampa Mama na milioni 10 nyingine baba zilizobaki nilinunua Kiwanja cha milioni 2 nyamongoro baada ya hapo ndani ya miezi 2 milioni 29 sijui ilienda wapi ila nakumbuka nililala kila hotel nzuri mwanza,serengeti, nairobi na Kampala watoto wa watu waliniita bosi mtoto.

Mshua na mather walijenga mjengo mwingine kupitia pesa yangu ila niligundua ulikuwa utoto watu wazima miaka 50+ hawachezei pesa aisee.

Pia pesa nzuri mtu kumiliki ni Ile inayoanzia from the scratch other wise ni uongo kupata milion50 hivi ujapanga cha kufanya ni wachache!

Nashukuru Mungu nilienda chuo nikamaliza now niko na angalau financial stability katika familia yangu ila nikikumbuka uwa naumia Sana pengine ningekuwa mara 3 ya sasa ila ukifilisika ndio mwanzo wa kutajirika nimegundua hivyo!!.
 
Wakati nimemaliza form 6 mwaka 2015 nikapewa mchongo wa kwenda kuuza nguo maeneo ya machimbo nyamongo so nikatoka Dar nikanunua mzigo nikaenda .

Kufika Kule ikanibidi nichukue kijifremu elf 30 kwa mwezi nikalipa miezi 3 nikaweka nguo zangu muda huo home wananiuliza mbona siendi nikawadanganya napiga temporary shulen!!!

Basi nikaanza kuuza nguo but watu wakitoka kutafuta wakipata ndio wanakuja.. badae akaja jamaa mmoja tulikuwa tushazoeana akaniambia why unapigwa dolo HV twende kesho kutafuta mali!!

Basi kesho yake tukaenda ebwana wee kazi ngumu kichizi mnasubiri magari yakimwaga mzigo kutokea ndani kwenye mgodi wa mzungu tu mpo mnatafuta

Siku hiyo kama mungu alikuwa ananionyesha utajiri basi kuna jiwe nikalishika hata sijui chochote akaja jamaa yangu akaliweka kwenye mfuko kmy kmy kumbe yeye anajua.

Baada ya muda akasema tuondoke tukaenda mpaka dukani tukaingia Chemba nilikokuwa nalala akaniambia tumepata mali ananionyesha mawe yake mawili na langu moja ila yake yalikuwa madogo akasema twende kupima tukaenda lakin badae akasita akasema twende mwanza muda huu huu uku watatuibia tukapanda gari ndogo mpaka tarime then tukachukua basi kwenda mwanza tukapima mimi hata sielewi chochote ikabidi tulale maana ulikuwa usiku kesho yake tukakutana na huyo bosi wake mwanza hotel tukauza milioni 105 yale mawe ulikuwa wakaniuliza una account nikasema ndio ninayo zikaweka zile milioni 50 cash halafu nikapokea sms then nikapewa milioni 2 kwenye bahasha jamaa ananiambia mimi siondoki kama unarudi sawa we rudi.

Nikawasema mimi naenda home kwanza!! Sawa tukaachana badae nikawaza niend bank nione kama mzigo upo?

Nukaenda nikajatibu kutoa nikatoa lakin 6 ikatiki na nikucheki salio milioni 49 na ushee hivi!!

Uyo home nikanunua mazaga kama ya milio 1 HV nafika home watu wananishangaa yaani wamepagawa nilivyoshusha Mazawadi .

Baada ya hapo nilichukua milioni 10 nikatoa nikampa Mama na milioni 10 nyingine baba zilizobaki nilinunua Kiwanja cha milioni 2 nyamongoro baada ya hapo ndani ya miezi 2 milioni 29 sijui ilienda wapi ila nakumbuka nililala kila hotel nzuri mwanza,serengeti, nairobi na Kampala watoto wa watu waliniita bosi moto.

Mshua na mather walijenga mjengo mwingine kupitia pesa yangu ila niligundua ulikuwa utoto watu wazima miaka 50+ hawachezei pesa aisee.

Pia pesa nzuri mtu kumiliki ni Ile inayoanzia from the scratch other wise ni uongo kupata milion50 hivi ujapanga cha kufanya ni wachache!

Nashukuru Mungu nilienda chuo nikamaliza now niko na angalau financial stability katika familia yangu ila nikikumbuka uwa maumia Sana pengine ningekuwa mara 3 ya sasa ila ukifilisika ndio mwanzo wa kutajirika nimegundua hivyo!!.
Kuanguka ndo kujifunza
 
Sorry ila nakumbuka Kuna thread kama sio hii, ulipata investor waliokuchangia mtaji ehh??,

Nimefurahi Kama unaendelea vyema mpendwa
Ndio kaka.walinichangia na namshukuru MUNGU kupitia mtaji huohuo ndo naendelea Nao[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]..
 
Ndio kaka.walinichangia na namshukuru MUNGU kupitia mtaji huohuo ndo naendelea Nao[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]..
Ubarikiwe pia, Ni Jambo jema kukuona bado unaendelea na mapambano

Samahani kwa kuweka taarifa zako za zamani wazi🙏🙏
 
2017 hapo nikiwa bado nipo chuo na penzi limekolea kwa mpenzi wa Maisha yangu. Ananipa mtaji wa sh laki 1 na 50 nikanunua dagaa Nyasa wale ili niwe nauza Dar.

Kabla ya hiyo biashara nilishafanya biashara kama kuuza sabuni na yebo yebo nilikua napeleka Masasi na Mwanangu James Ila akaja nidhulumu nikapotezea.

Basi bwana kwenye Maisha yangu sikuwahi kuwaona dagaa nyasa hapo kabla so Mara ya kwanza nikawaona nilipoenda songea nikawapenda.. Hivyo nikamuomba mchumba anisaidie mtaji ili niwalete Dar niuze kweli nikachukua sampuli dumila 10 nikaja nao dar kisha nikaenda kwenye magenge makubwa yale kuwapelekea wengi walikataa ikabidi niwape bure kisha wauze kama watanunulika basi tufanye biashara hapo baadae bado walikataa[emoji16] Ila magenge manne yakakubali nikaacha na namba za simu basi hazikuzidi siku 3 nikapigiwa simu tukaongee.

Basi bila hiyana nikajivuta tukakubaliana niwe napeleka mzigo nawaachia wanauza ukiisha Nafuata pesa.. Aisee nakiri wazi Moja Kati ya biashara ambayo siwezi isahau ni ile ilikubali nikawa napata mshiko wa maana(kiuanafunzi) Maisha yakabadilika japo mwanafunzi kusafiri Mara kwa Mara nikichukua mzigo wa laki 2 faida laki 2 ikaja mpaka Kule nilipokua nanunua wakawa wananipa mzigo kwa Mali kauli kutoka na mzunguko mkubwa.kufipisha stori niliweza kumiliki 3M+ bank zilizotokana na biashara ile nikiwa mwanafunzi na pikipiki(bodaboda) pia geto Kali Lakini vilipotea ndani ya wiki Moja tu baada ya kutapeliwa kwa mtu niliyemuamini kupita kiasi.

Shukrani kwa brother wangu alinihifadhi kwake na kunifariji maana ningejitundika kwa mawazo ule mwaka 2018 nilipoteza kila kitu mwishowe hata shule ningepoteza. Nilikuja kuinuka tena 2019 mwishoni Ila nikaja kupigwa na kitu kizito kwa uchawi qmmake ile unapika chakula Asubuhi mchana kimechacha Maisha ni Vita.

[emoji23][emoji23][emoji23] kuna mengi ya kujifunza hapa
 
Wakuu nimefiliska tena, madeni madogo madogo lakini mengi.
Naomba namna ya kuongea nao nisichukuliwe hatua mpaka niwalipe taratibu.
Pia mwenye chochote kidogo asiache kunijari.

Kwa hali niliyonayo sion tatizo hata kupost namba yngu humu kwa mawasliano(0657313529)
Ndani ya post hii niliwah kueleza ni kwa vipi niliyumbishwa na maisha hadi waleo sijakaa mkao tena!
Natanguliza shukran kwa wale watakao kuwa waelewa,naomba JF iwe ni uwanja salama kwa wote hata wahitaji!
 
Wakati nimemaliza form 6 mwaka 2015 nikapewa mchongo wa kwenda kuuza nguo maeneo ya machimbo nyamongo so nikatoka Dar nikanunua mzigo nikaenda .

Kufika Kule ikanibidi nichukue kijifremu elf 30 kwa mwezi nikalipa miezi 3 nikaweka nguo zangu muda huo home wananiuliza mbona siendi nikawadanganya napiga temporary shulen!!!

Basi nikaanza kuuza nguo but watu wakitoka kutafuta wakipata ndio wanakuja.. badae akaja jamaa mmoja tulikuwa tushazoeana akaniambia why unapigwa dolo HV twende kesho kutafuta mali!!

Basi kesho yake tukaenda ebwana wee kazi ngumu kichizi mnasubiri magari yakimwaga mzigo kutokea ndani kwenye mgodi wa mzungu tu mpo mnatafuta

Siku hiyo kama mungu alikuwa ananionyesha utajiri basi kuna jiwe nikalishika hata sijui chochote akaja jamaa yangu akaliweka kwenye mfuko kmy kmy kumbe yeye anajua.

Baada ya muda akasema tuondoke tukaenda mpaka dukani tukaingia Chemba nilikokuwa nalala akaniambia tumepata mali ananionyesha mawe yake mawili na langu moja ila yake yalikuwa madogo akasema twende kupima tukaenda lakin badae akasita akasema twende mwanza muda huu huu uku watatuibia tukapanda gari ndogo mpaka tarime then tukachukua basi kwenda mwanza mimi hata sielewi chochote ikabidi tulale maana ulikuwa usiku kesho yake tukakutana na huyo bosi wake mwanza hotel tukauza milioni 105 yale mawe

Wakaniuliza una account nikasema ndio ninayo zikaweka zile milioni 50 cash halafu nikapokea sms then nikapewa milioni 2 kwenye bahasha jamaa ananiambia mimi siondoki kama unarudi sawa we rudi.

Nikasema mimi naenda home kwanza!! Sawa tukaachana badae nikawaza niend bank nione kama mzigo upo?

Nukaenda nikajatibu kutoa nikatoa lakin 6 ikatiki na nikucheki salio milioni 49 na ushee hivi!!

Uyo home nikanunua mazaga kama ya milio 1 HV nafika home watu wananishangaa yaani wamepagawa nilivyoshusha Mazawadi .

Baada ya hapo nilichukua milioni 10 nikatoa nikampa Mama na milioni 10 nyingine baba zilizobaki nilinunua Kiwanja cha milioni 2 nyamongoro baada ya hapo ndani ya miezi 2 milioni 29 sijui ilienda wapi ila nakumbuka nililala kila hotel nzuri mwanza,serengeti, nairobi na Kampala watoto wa watu waliniita bosi mtoto.

Mshua na mather walijenga mjengo mwingine kupitia pesa yangu ila niligundua ulikuwa utoto watu wazima miaka 50+ hawachezei pesa aisee.

Pia pesa nzuri mtu kumiliki ni Ile inayoanzia from the scratch other wise ni uongo kupata milion50 hivi ujapanga cha kufanya ni wachache!

Nashukuru Mungu nilienda chuo nikamaliza now niko na angalau financial stability katika familia yangu ila nikikumbuka uwa naumia Sana pengine ningekuwa mara 3 ya sasa ila ukifilisika ndio mwanzo wa kutajirika nimegundua hivyo!!.
Mkuu yalikuwa ni madini gani hayo?
 
Du acheni kunikumbisha, nilikuwa nafanya kazi sehemu flani wafanyakazi wenzangu wakashawish kampuni iwe inatoa mkopo Mara pa ikakubaliwa na wenzangu walichukua mkopo mkubwa na Mimi nikachukua 8ml, do kwanza sijazigusa mwezi mzima najaza mipango kwenye makaratasi, usiku naamka napanga mipango, nikapata wazo nidroo pesa zote nikae nazo Ndani.

Nikadraw, siku moja kama demu wangu kaniambia mbona siku hizi unapiga mahesabu sana na makaratasi mengi mezani, nikamwambia hamna mipango tu, Mara akajua Nina pesa, akaja home sijui alinitime VIP akaiba zote, kuna machinga nilimuambia aniletee pas original asijal gharama, siku kaja nachek bahasha sioni pesa nampigia simu Selina hapatikani, nauliza nkaambiwa ameenda Morogoro, jamaa anasema pasi elfu 40, kaiacha hapo,
Ikawaje mkuu?
 
Huu uzi unanisuta mm. Enzi hizo kila club unayoijua hapa mjini nilikuwa napewa hashima na mameneja. Nimemtajirisha sana mbowe pale bills. Meza yangu ilikuwa haipungui watu 5. Nikaja nikaishiwa hata mia sina, ninachohukuru nilijenga nyumba ya maana. Jamaa zangu wote wakanikimbia. Inafika hatua uko nyumni kwenye jumba zuri hata mia huna. Unaanzaje kwenda kukopa kwa mangi wkt jamii inakuona mdosi!!!! Hajahahaha maisha haya. Msoto mkali miaka 3 mfululizo. Baada ya hapo nikaanza kupata vidili vya kuinhiza 2mil kwa week. Nafanya kazi lkn hela inaishia wapi sijui
Baada ya kutafakali sana nikaona niache kunywa c/lite. Hahahaha sasa nimeona nianze kunywa chibuku. Hata niwe na milion mfukoni nanunua kopo zangu tatu kwa shs 3000 tu natinga home nameza zangu chibuka. Namshukuru wife alinivumilia kipindi kile.

Bila kufulia huwezi jua dunia ikoje
Saivi upoje mkuu?
 
Back
Top Bottom