Abdulaziz Sadallah
Member
- Apr 13, 2019
- 57
- 55
Du una haki ya kufa kabisa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete story yako, tujifunze mkuuPesa bwana
Wewe acha tu sitaki kukumbuka wala kujiumiza maisha ni ujinga na ndugu ni wanafiki sana
Daaah maisha haya ni kupambana tu ila hela haikupotea kifala ni ktk utafutaji tu mwamba, salute kwako tuanze moja.2011, nilianza biashara ya kuuza milango na anko na muuzaji akawa mdogo wangu.
Biashara ilienda hadi tulafikisha mtaji wa mil 20. Kuingia kwa Magufuri kukaleta majanga.
Ikawa ngumu kupata vibali.
Tulashauriana na anko tukapata njemba moja ikasema itatupa leseni ya uvunaji. Tukalipa mil 5, zikaenda hadi leo.
Nikamwambia anko tununue mashamba tupande miti itakuja kutusaidia. Anko akagoma.
Watu watatu tuliowakabidhi mzigo na tulikuwa tunawapata wanarejesha, wakafilisika na familia zao zikaparaganyika, nyumba zao zikauzwa na bank.
Sasa sisi tutalipwaje? Pesa ikapotea as simple as that. Mpaka sasa tunawadai hela nyingi watu halafu sisi hatuna hata senti.
KABISA KABISA ILA KIBONGO BONGO NGUMU SANA UNAWEZA KUWA NA AKILI HIYO ILA MKEO NA WATOTO HAWANA, SASA INAKUWA VITA MWISHO UNAPATA PRESSURE TU!!!Pole sana mkuu, hii thread yako inanikumbusha ndugu na jamaa waliofilisika, nami kupitia wao nimejifunza vitu vingi sana katika maisha, kwanza nnaamini hakuna ajuaye kesho yake, pili kufilisika haina kesho, tatu usijivune ukiwa navyo(usiwadharau wengine), nne kuwa na nidhamu ya pesa(kimatumizi), tano epuka kukopa kiwango kikubwa cha mkopo na pia usiwe mwepesi kukopesha na n.k
Kweli mkuu. najua uliumia sana ulivopunguzwa kaz ila ndo ilikuwa njia ya kukufikisha saiv.Mimi baada ya kumaliza chuo nkapata kazi kampuni moja moshi 2017, walikuwa wakinilipa 350k take home niliona nyingi, mwaka mmoja nkaacha nkapata kazi kampuni nyingine dar, nkajikusanya nikapata kama 3m hv,, bosi akasema kampuni haijiendeshi kwa faida maana miradi ilikata hivyo tukapunguzwa wafanyakazi.
Nkanunua line za wakala zote kama 500k na mabango nkaanza biashara ya wakala wakati huo nkiwaza kipi nifanye cha kunipa hela nyingi.
2019 mwezi wa nane nkatapeliwa 2m na wale jamaa wa msg hewa nkabaki empty demu wangu nlokaa nae miaka6 kwenye mahusiano akanicha daah. Nlibaki na geto langu tuu, daah nkajikusanya sahv namshukuru Mungu hiyo hela napata hata kabla mwezi haujafika.
Nilijifunza ukianguka inuka jikung’ute then endelea na safari
Pole ila hongera sana sababu hukukata tamaaMimi baada ya kumaliza chuo nkapata kazi kampuni moja moshi 2017, walikuwa wakinilipa 350k take home niliona nyingi, mwaka mmoja nkaacha nkapata kazi kampuni nyingine dar, nkajikusanya nikapata kama 3m hv,, bosi akasema kampuni haijiendeshi kwa faida maana miradi ilikata hivyo tukapunguzwa wafanyakazi.
Nkanunua line za wakala zote kama 500k na mabango nkaanza biashara ya wakala wakati huo nkiwaza kipi nifanye cha kunipa hela nyingi.
2019 mwezi wa nane nkatapeliwa 2m na wale jamaa wa msg hewa nkabaki empty demu wangu nlokaa nae miaka6 kwenye mahusiano akanicha daah. Nlibaki na geto langu tuu, daah nkajikusanya sahv namshukuru Mungu hiyo hela napata hata kabla mwezi haujafika.
Nilijifunza ukianguka inuka jikung’ute then endelea na safari
Uliajiriwa auMimi baada ya kumaliza chuo nkapata kazi kampuni moja moshi 2017, walikuwa wakinilipa 350k take home niliona nyingi, mwaka mmoja nkaacha nkapata kazi kampuni nyingine dar, nkajikusanya nikapata kama 3m hv,, bosi akasema kampuni haijiendeshi kwa faida maana miradi ilikata hivyo tukapunguzwa wafanyakazi.
Nkanunua line za wakala zote kama 500k na mabango nkaanza biashara ya wakala wakati huo nkiwaza kipi nifanye cha kunipa hela nyingi.
2019 mwezi wa nane nkatapeliwa 2m na wale jamaa wa msg hewa nkabaki empty demu wangu nlokaa nae miaka6 kwenye mahusiano akanicha daah. Nlibaki na geto langu tuu, daah nkajikusanya sahv namshukuru Mungu hiyo hela napata hata kabla mwezi haujafika.
Nilijifunza ukianguka inuka jikung’ute then endelea na safari
Wanawake wabinafsi mnooo. Yaani wao ukiwa na ndalama wapo nawe ukifilia duh...ndipo utakapo onantrue colors zake.Mimi baada ya kumaliza chuo nkapata kazi kampuni moja moshi 2017, walikuwa wakinilipa 350k take home niliona nyingi, mwaka mmoja nkaacha nkapata kazi kampuni nyingine dar, nkajikusanya nikapata kama 3m hv,, bosi akasema kampuni haijiendeshi kwa faida maana miradi ilikata hivyo tukapunguzwa wafanyakazi.
Nkanunua line za wakala zote kama 500k na mabango nkaanza biashara ya wakala wakati huo nkiwaza kipi nifanye cha kunipa hela nyingi.
2019 mwezi wa nane nkatapeliwa 2m na wale jamaa wa msg hewa nkabaki empty demu wangu nlokaa nae miaka6 kwenye mahusiano akanicha daah. Nlibaki na geto langu tuu, daah nkajikusanya sahv namshukuru Mungu hiyo hela napata hata kabla mwezi haujafika.
Nilijifunza ukianguka inuka jikung’ute then endelea na safari
KabisaaKama uliwahipata pesa ukafilisika utapata tena
Nimechekaaaa sanaHuu uzi unanisuta mm. Enzi hizo kila club unayoijua hapa mjini nilikuwa napewa hashima na mameneja. Nimemtajirisha sana mbowe pale bills. Meza yangu ilikuwa haipungui watu 5. Nikaja nikaishiwa hata mia sina, ninachohukuru nilijenga nyumba ya maana. Jamaa zangu wote wakanikimbia. Inafika hatua uko nyumni kwenye jumba zuri hata mia huna. Unaanzaje kwenda kukopa kwa mangi wkt jamii inakuona mdosi!!!! Hajahahaha maisha haya. Msoto mkali miaka 3 mfululizo. Baada ya hapo nikaanza kupata vidili vya kuinhiza 2mil kwa week. Nafanya kazi lkn hela inaishia wapi sijui
Baada ya kutafakali sana nikaona niache kunywa c/lite. Hahahaha sasa nimeona nianze kunywa chibuku. Hata niwe na milion mfukoni nanunua kopo zangu tatu kwa shs 3000 tu natinga home nameza zangu chibuka. Namshukuru wife alinivumilia kipindi kile.
Bila kufulia huwezi jua dunia ikoje
Uwekwe link kwenye matokeo ya form kama Plan b ya vijana waliofeli mitihani ya NectaHuu Uzi utengwe