Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

...huyu kama kaka yangu kabisa
Naye ni std 7-ila mambo yake mengi mno hapa mjini...mara yuko na mkuu wa majeshi,mara yuko ikulu,mara ana vikao na mkuu wa mkoa....full ujanjaujanja.. ila yeye bastola anayo kweli.
Ujanja ujanja mwingi Sana mjini hapa😅😅
 

[emoji23][emoji23][emoji23]anko bwanaaa[emoji119][emoji119]
 
Aiseee... anko ni komedi tosha... hahahahahaha
 
Nimecheka sana, mimi pia ni Muhaya na unywaji wangu Mungu ndiye anajua na atanitoa huku, maana
 
Mim bila bia mbili asubuh basi ntatetemeka kama nimepanda lile dude la kuchimbia lami
 
...huyu kama kaka yangu kabisa
Naye ni std 7-ila mambo yake mengi mno hapa mjini...mara yuko na mkuu wa majeshi,mara yuko ikulu,mara ana vikao na mkuu wa mkoa....full ujanjaujanja.. ila yeye bastola anayo kweli.
Nisaidie namba DM
 
Nimekuulizia unamjua KOMBA hapo TPA hunijibu mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…