Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Weka hiyo hela bank iache kama umeisahau kwanza ,,hakikisha kwa sasa unakuwa mpole unatafuta hela kama huna sh. Mia vile ,, endelea na hustle zako zilizokuwa zinakupa hela ya kuendesha maisha yako kila siku, ukishaona umetulia kabisa sasa waza kuhusu biashara ila iendane na ujuzi wako ,nunua vifaa bora zaidi , tangaza zaidi kuwa mwaminifu ,soma zaidi kwenye mitandao ya kijamii kuza soko lako ,,
 
Hii stori yako haijakaa vizuri. Yaani washinde kesi ya jinai ya wizi halafu wamuache huyo Mhindi hivi hivi?

Ukishashinda kesi ya jinai kama aliyekushtaki ana hela unamfungulia kesi ya madai ya kushtakiwa kwa nia ovu, ambapo unashinda mapemaaaaa maana ushahidi wako ni ile hukumu ya kesi ya jinai uliyoshinda.

Sasa mtu ni tajiri wa mafuta yaani hapo wangeweza kulipwa fidia hata ya bilioni moja kwa kila mtu.

Hii itakuwa ni stori ya kutunga.
 
Dah nimeangalia balance kwenye account yangu, nimebaki najicheka, mkuu Jitahidi ikutoe hiyo inatosha sana.
 
Njoo dm nikupe namba ya mwamba mwenye nondo za kukusaidia nayeye ni billionaire mtarajiwa
 
Wataalamu wa michepuko somo hilo
 
Nunua Bajaj m8 uwe unaangalia nini cha kufanya ila uendeshe wewe
 
Wenye hela sasa msisahau kuishi mpaka pesa zikaishia
Nyumba yako inatakiwa izungumze kabla yako

karibuni dollrubii_decors

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARIBUNI SANA. FREE DELIVERY DAR

INSTAGRAM @dollrubii_decors
 
Wekeza hapo hapo ulipopata hiyo pesa..ila wekeza robo tu ya hela.
 

Upgrade your skills mil 12 bado sio hela ya kuwazia biashara .

Nunua vifaa
Hama nyumbani ukapange sehem ya bei nafuu ili uwe huru kufanya kazi zako.

Jiunge Linkdin harafu lipia ili uweze kumtumia meseji mtu yeyote .Kule ndo kwa kufanya cold calling maana wafanya maamuzi wote wa makampuni wapo huko.
 
Million 12 si pesa ya kuanzia bznes? Je inatakiwa kiasi gani?
Asante
 
Million 12 si pesa ya kuanzia bznes? Je inatakiwa kiasi gani?
Asante
Sidhani kama umemuelewa kwa nilivyomwelewa mimi mil 12 kaipata kwa mkupuo, na kakiri hjawahi shika hiyo hela hiyo hata akisema aanze biashara wengi wanaangukia pua labda ingekuwa kuendeleza biashara ..... sasa ndio mana tunamshauri kukuza kwanza alichonacho , kuwaza upya ili kutengeneza hela zaidi bado kijana anajitafuta
 
bora ajenge nyumba hata ya vyuma vitatu apangishe
 

Pesa irudishe kwenye kazi usitake kufanya mambo mapya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…