kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Unanikumbusha kale kawimbo "maradhi yote ugua ila usiombe kuchacha".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisee kufulia ni shida hata ndugu hawafiki kukusalimia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda nmb fungua bonus acc weka hiyo hela alafu uisahau....!!! mawazo ya biashara au nn cha kufanya yatakuja taratibu....uzur wa hii acc huwezi kutoa hela kwenye ATM n had uingie ndan...ukikurupuka kuaanzisha biashara usiyo na uzoefu nayo hyo hela yote itayeyukaView attachment 2592498
Mimi ni programmer kuna project nilipata kampuni x la mtandao wa simu na baada ya kuikamilisha hii ndo amount nimelipwa ( 12,000,000 ) baada ya dalali kukata yake na kodi za serikali kukatwa , sijawahi miliki this amaont.
Nimeicha kama wiki hivi sasa nikifikiria nini cha kufanya ili kui zalisha hii hela naomba nipate ushauri na mimi nisije imaliza kwa kujilaumu
NB: Sijaoa bado nimepanga na chuo nimamaliza 2021 nyumbani hawanitegemei sana maana kila mtu ana jishughulisha kiasi.
Hahahaha[emoji23][emoji23]
Mwaka juzi nilifulia aisee! Hapo ndio nilijua ndugu wakoje, salamu ya mkato sana, nimesimama tena simu zimekuwa nyingi sana nawachora tu
Hahahaha message imenipitaniko DID Njiapanda Himo kuna mwana yupo hapa tuzitumie mgodi umetema
Kwenye akaunti yako ipo sh. ngapi ili tuipatie tafakuri nzuri ya kiuzalishaji?Dah nimeangalia balance kwenye account yangu, nimebaki najicheka, mkuu Jitahidi ikutoe hiyo inatosha sana.
uko wapHahahaha message imenipita
Naomba unitajie faida ya hii account mkuu!Nenda nmb fungua bonus acc weka hiyo hela alafu uisahau....!!! mawazo ya biashara au nn cha kufanya yatakuja taratibu....uzur wa hii acc huwezi kutoa hela kwenye ATM n had uingie ndan...ukikurupuka kuaanzisha biashara usiyo na uzoefu nayo hyo hela yote itayeyuka
Faida ya hii acc huwezi kutoa hela ovyo ovyo lkn pia unaweza kuendelea kuongeza hela kwenye acc yko...tofauti na acc za fixed kwenye fixed nyng ukiweka hela umeweka had mda ntakao kubaliana km ni miaka mitatu hutoweza kutoa wala kweweka ndani ya hiyo miaka labda mvunje mkataba na benkiNaomba unitajie faida ya hii account mkuu!
Au unipe maelezo japo kwa kifupi aina hii ya account ya Bonus.
Account ina overdraft mkuu😌Kwenye akaunti yako ipo sh. ngapi ili tuipatie tafakuri nzuri ya kiuzalishaji?
Overdraft maana yake nini mkuu?Account ina overdraft mkuu[emoji18]
Ooh sorry namaanisha ina negative balance, mimi ndiyo nadaiwa😒Overdraft maana yake nini mkuu?
Dsm nowuko wap
MuhimuNaona ni vizuri nyie mnaosema mmfelisika pia mtuambia katika kupanda kwenu mlitumia njia ya shilikina au ni Mungu ndio alikuoandisha ilk pia tujifunze na sisi
NakubaliNikiwa nimemaliza chuo sina hili wala lile, niko kitaa nikijipanga, nikachangiwa na ndugu zangu mtaji wa milion 4 point something huko, niende nikafanye biashara ya mchele toka Moro vijijini kuleta mijini na kusambaza kwa bei ya jumla.
Biashara mwanzo ilienda vizuri, mwisho wateja wangu wa siku zote wakawa wakopaji wangu wakubwa, malipo yakawa ya kuzungushana, nikawa mkali kidogo ila kwa bahati mbaya pesa ikawa ndogo kwenye mzunguko wangu, sinunui tena zile kilo nilizoanza nazo kwa wakati, mambo yakawa tofauti kidogo, nikaenda weee.
Mwisho wa siku nikachanganyiwa mchele kipuuzi kabisa na mtu ambae nilikua namuamini, nikajikuta nipo na mchele wa vitumbua na jamaa yule kakimbia, hapo ndio ukawa mwisho wangu, nilifilisika kama kuku, ndugu zangu hawakunielewa tena, nilipata stress kama tani 7 hivi.
Wakati tena nikapataga milion 3 kwa enzi zile haikua haba aisee, nikawa naishi vizuri tu, hizo elf 10 kwangu zilikua buku, sina cha kujibania kwa kweli, kuja kustuka nimenunua friji na tv tu vya geto tena ka friji kale kadogoo kabisaa, hela yotee imeisha katika njia zisizoeleweka, nilichanganyikiwa tena, sina nidhamu ya fedha.
Mwisho nikarudi zangu kusoma tena chuo ndio nikaja kutoboa kwa njia zingine kabisa kwa kutumia kazi niliyosomea.
Je, wewe unakumbuka vipi? Nini kilikupata?
Akifananna na mie atakuwa na sura pesonoHuyo mtoto asipofanana na mimi akafanana na wewe hutoi hiyo zawadi?
Yeah Sure Mamii, ndio maana utawaona kina lulu au wema wanaongwa magari hadi ya milion 50 ila hawana nyumba wala kitu cha maana.
Unaendeleaje na hicho kiasi...?View attachment 2592498
Mimi ni programmer kuna project nilipata kampuni x la mtandao wa simu na baada ya kuikamilisha hii ndo amount nimelipwa ( 12,000,000 ) baada ya dalali kukata yake na kodi za serikali kukatwa , sijawahi miliki this amaont.
Nimeicha kama wiki hivi sasa nikifikiria nini cha kufanya ili kui zalisha hii hela naomba nipate ushauri na mimi nisije imaliza kwa kujilaumu
NB: Sijaoa bado nimepanga na chuo nimamaliza 2021 nyumbani hawanitegemei sana maana kila mtu ana jishughulisha kiasi.