Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

View attachment 2592498
Mimi ni programmer kuna project nilipata kampuni x la mtandao wa simu na baada ya kuikamilisha hii ndo amount nimelipwa ( 12,000,000 ) baada ya dalali kukata yake na kodi za serikali kukatwa , sijawahi miliki this amaont.

Nimeicha kama wiki hivi sasa nikifikiria nini cha kufanya ili kui zalisha hii hela naomba nipate ushauri na mimi nisije imaliza kwa kujilaumu

NB: Sijaoa bado nimepanga na chuo nimamaliza 2021 nyumbani hawanitegemei sana maana kila mtu ana jishughulisha kiasi.
Nenda nmb fungua bonus acc weka hiyo hela alafu uisahau....!!! mawazo ya biashara au nn cha kufanya yatakuja taratibu....uzur wa hii acc huwezi kutoa hela kwenye ATM n had uingie ndan...ukikurupuka kuaanzisha biashara usiyo na uzoefu nayo hyo hela yote itayeyuka
 
Nenda nmb fungua bonus acc weka hiyo hela alafu uisahau....!!! mawazo ya biashara au nn cha kufanya yatakuja taratibu....uzur wa hii acc huwezi kutoa hela kwenye ATM n had uingie ndan...ukikurupuka kuaanzisha biashara usiyo na uzoefu nayo hyo hela yote itayeyuka
Naomba unitajie faida ya hii account mkuu!
Au unipe maelezo japo kwa kifupi aina hii ya account ya Bonus.
 
Naomba unitajie faida ya hii account mkuu!
Au unipe maelezo japo kwa kifupi aina hii ya account ya Bonus.
Faida ya hii acc huwezi kutoa hela ovyo ovyo lkn pia unaweza kuendelea kuongeza hela kwenye acc yko...tofauti na acc za fixed kwenye fixed nyng ukiweka hela umeweka had mda ntakao kubaliana km ni miaka mitatu hutoweza kutoa wala kweweka ndani ya hiyo miaka labda mvunje mkataba na benki

Ila kwenye bonus mfano ukipata wazo la biashara mda wowote unaweza kwenda kutoa ila itakulazimu upange foleni ndan hii acc hairuhusu kutoa hela kwenye atm....

Lkn pia inatoa riba ina ni % ndogo mno
 
Naona ni vizuri nyie mnaosema mmfelisika pia mtuambia katika kupanda kwenu mlitumia njia ya shilikina au ni Mungu ndio alikuoandisha ilk pia tujifunze na sisi
 
Nikiwa nimemaliza chuo sina hili wala lile, niko kitaa nikijipanga, nikachangiwa na ndugu zangu mtaji wa milion 4 point something huko, niende nikafanye biashara ya mchele toka Moro vijijini kuleta mijini na kusambaza kwa bei ya jumla.

Biashara mwanzo ilienda vizuri, mwisho wateja wangu wa siku zote wakawa wakopaji wangu wakubwa, malipo yakawa ya kuzungushana, nikawa mkali kidogo ila kwa bahati mbaya pesa ikawa ndogo kwenye mzunguko wangu, sinunui tena zile kilo nilizoanza nazo kwa wakati, mambo yakawa tofauti kidogo, nikaenda weee.

Mwisho wa siku nikachanganyiwa mchele kipuuzi kabisa na mtu ambae nilikua namuamini, nikajikuta nipo na mchele wa vitumbua na jamaa yule kakimbia, hapo ndio ukawa mwisho wangu, nilifilisika kama kuku, ndugu zangu hawakunielewa tena, nilipata stress kama tani 7 hivi.

Wakati tena nikapataga milion 3 kwa enzi zile haikua haba aisee, nikawa naishi vizuri tu, hizo elf 10 kwangu zilikua buku, sina cha kujibania kwa kweli, kuja kustuka nimenunua friji na tv tu vya geto tena ka friji kale kadogoo kabisaa, hela yotee imeisha katika njia zisizoeleweka, nilichanganyikiwa tena, sina nidhamu ya fedha.

Mwisho nikarudi zangu kusoma tena chuo ndio nikaja kutoboa kwa njia zingine kabisa kwa kutumia kazi niliyosomea.

Je, wewe unakumbuka vipi? Nini kilikupata?
Nakubali
 
View attachment 2592498
Mimi ni programmer kuna project nilipata kampuni x la mtandao wa simu na baada ya kuikamilisha hii ndo amount nimelipwa ( 12,000,000 ) baada ya dalali kukata yake na kodi za serikali kukatwa , sijawahi miliki this amaont.

Nimeicha kama wiki hivi sasa nikifikiria nini cha kufanya ili kui zalisha hii hela naomba nipate ushauri na mimi nisije imaliza kwa kujilaumu

NB: Sijaoa bado nimepanga na chuo nimamaliza 2021 nyumbani hawanitegemei sana maana kila mtu ana jishughulisha kiasi.
Unaendeleaje na hicho kiasi...?
Dadeki bonge la mtaji.
 
Back
Top Bottom