Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
Wakati unapata hizo hela kichwa chako tu kilikuwa kibovu nothing else .... usisingizie kuwa hela ya kudanga hamfanyi mwanamke ashindwe kufanya jambo la maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufilisika maumivu yake yasikie tu acha yakupite bila kukugusa,Eeh Mungu naomba sisi vijana tuepushe na kikombe hiki in case ikatokea mazingira hatarishi ktk utafutaji wetu wa ridhiki.maana kwanza kibongo bongo jamii itakuchukulia kama wewe ni fala flani hivi failure uliyekosea target ya kile kizuri ulichokuwa umekipanga,na hali hii itazidi kukuchanganya kama hujaishia kuokota makopo sijui!!!noma sana.
Hakuna maumivu yanayo umiza katika maisha ukiachana Kuteswa " kama maumivu ya kufilisika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
[emoji53]
 
Back
Top Bottom