Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete story tupate darsa!Aiseee nitaleta hapa yaliyowah tokea hapo nyuma
Ujue pesa ina shida fulani. Kama hujazoea kuimiliki, siku ukiipata ghafla lazima uchizike. Usipokuwa na adabu na pesa yako, itakutesa tu.Huwa nawaonea huruma wazee wastaafu waliofilisika,unakuta alilamba M150.Halafu hazijafika hata miaka miwili zimeisha,kinachofuata n kuongea barabarani.
hapana nyie bado hamjaanza kuishi bado hampo dunian somen comments tu.
Yani kama una stress pitia humuHahahaha unazunguka zunguka tu uokote hata mdudu
Sijawahi kizani kuwa unatumia avater ya kike alafu kumbe mshkaji..we jamaa una roho ngumu.Mimi saizi ndio nimetoboa nna hela balaa sasa sina hata mood ya kujenga sababu naona nilipo kama hazitakata vile kuna demu nimelipata linakunywa pombe balaa hili nataka nilipige chini naona kama litanifilisi. da haina mbaya mwakani ntaanza ujenzi
Pole mkuu.Kati ya mwaka 2011-2015 nilikuwa ktk standard nzuri kiasi kimaisha, biashara nzuri, usafiri binafsi na viwanja 2 mjini, pesa ya kuzungukia mjini na mafuta haikuwa shida..ninapoandika comment hii kesho sifahamu nakula nini! Nimefilisika! Hakuna hata ndugu anaenipigia simu tena maana naonekana kituko. Wakuu tuombeane tu..kufilisika kuna maumivu ambayo si rahisi kuyaandika hapa.
AhsantePole mkuu.
Kivipi mkuu?dhambi unayo!
five years?,ungemtafuta kwakua ulitaka umsaidie!Wiki, mwezi, hatimaye mwaka ukapita mzee hakunicheki tena, miaka tano baadae nakutana nae stendi moja pembezoni mwa jiji akiwa ndani ya suti ya dereva wa daladala, aliponiona alitamanigi kulia, alikuwa amechongoka flani, na kapauka. Kwakifupi alinieleza namna alivyozipata milioni zake 185 za kustaafu na namna alivyozipukusa kwa kamari na totoz, nilimhurumia sana,
Hapo unamaanisha nilipaswa niwe namcheki kumuuliza vipi mzee ushapokea? No way!five years?,ungemtafuta kwakua ulitaka umsaidie!
mipango inakuwepo mingi tuu,hela zikishakaa mkononi matumizi ndo yanatawala,kwa maswali uliokua unamuuliza ni wazi mzee alikua hajitambui,hukusima kwenye nafasi yako,yawezkana matapeli (matumizi yasio rasmi)yalimtafuta wewe mwerevu (mipango ya maendeleo)ukajifungia na alikua muwazi kwako 100%Hapo unamaanisha nilipaswa niwe namcheki kumuuliza vipi mzee ushapokea? No way!
Yeye baada ya kupokea alipaswa akumbuke mipango yake, na kutushirikisha wadau wake.
Kitendo cha kupokea na kukaa kimya, tafsiri yake ni kwamba aliamini kichwa yake zaidi.
Mkuu tafadhali tuandikie tujifunze. Uzur humu hakuna wa kukufahamu ila tu matukio ambayo yanaweza kukufanya ujulikane ya-skip. Uzi muria sana huuKati ya mwaka 2011-2015 nilikuwa ktk standard nzuri kiasi kimaisha, biashara nzuri, usafiri binafsi na viwanja 2 mjini, pesa ya kuzungukia mjini na mafuta haikuwa shida..ninapoandika comment hii kesho sifahamu nakula nini! Nimefilisika! Hakuna hata ndugu anaenipigia simu tena maana naonekana kituko. Wakuu tuombeane tu..kufilisika kuna maumivu ambayo si rahisi kuyaandika hapa.