Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Mi sister angu aaah alikua anahongwa hadi mil 50, mil 20, mil kumi......Kuna rfk ake na Ridhiwani Mzungu mmja hiv kam spoil sana sister sir tupo tunatoa mimacho tu.....eeh ukimuona sa hv sister angu yani sio yule R Dangote yani hata ukimwambia ccy twende ukanispoil anakwambia mdg angu sina ubavu huo

Mim kuhongwa pesa kubwa kabisa ni mil 5 nkahongwa mara ya pili tena mil 3 nkaongezea nkafungua biashara siku ya siku nliibiwa kila kitu dukani nlikua chizi fresh
Sikama wema tu hela za kuhongwa haxina faida ni kama za pension zinaisha bila kujua hata
 
Wanawake wabinafsi mnooo. Yaani wao ukiwa na ndalama wapo nawe ukifilia duh...ndipo utakapo onantrue colors zake.
Aisee acheni tuu wanawake mbususu zao tamu ila ni mashetani wakubwa sana.

Why as man invest in yourself dont invest kwa mwanamke. Ita ku save sana baadae. Maana mambo yakiharibika ni wachache sana huwa wanabaki
 
Hujui jinsi ya kupata mademu njoo dm nikupe lecture million 4 unaweza lala kilasiku na demu vip tena mwezi mzima humalizi 3 million
Achana na dm, tandaza maujuzi apa'apa bhana!

Mil.3 ufisi maji na bata kama zote kila siku kwa mwezi mzima!

Mbona kila nikiunga maesabu yanakataa?

Maana ukiamua kuchafua hali ya hewa kwa kutwa nzima, laki si pesa!
 
Achana na dm, tandaza maujuzi apa'apa bhana!

Mil.3 ufisi maji na bata kama zote kila siku kwa mwezi mzima!

Mbona kila nikiunga maesabu yanakataa?

Maana ukiamua kuchafua hali ya hewa kwa kutwa nzima, laki si pesa!
Kama upo dar niambie nikueleze
 
Du acheni kunikumbisha, nilikuwa nafanya kazi sehemu flani wafanyakazi wenzangu wakashawish kampuni iwe inatoa mkopo Mara pa ikakubaliwa na wenzangu walichukua mkopo mkubwa na Mimi nikachukua 8ml, do kwanza sijazigusa mwezi mzima najaza mipango kwenye makaratasi, usiku naamka napanga mipango, nikapata wazo nidroo pesa zote nikae nazo Ndani.

Nikadraw, siku moja kama demu wangu kaniambia mbona siku hizi unapiga mahesabu sana na makaratasi mengi mezani, nikamwambia hamna mipango tu, Mara akajua Nina pesa, akaja home sijui alinitime VIP akaiba zote, kuna machinga nilimuambia aniletee pas original asijal gharama, siku kaja nachek bahasha sioni pesa nampigia simu Selina hapatikani, nauliza nkaambiwa ameenda Morogoro, jamaa anasema pasi elfu 40, kaiacha hapo,
Duuu pole sana aisee ninewaza hii
 
Hawa dawa ni kuwavua kyupi basi lakini sijui ufuge ndani kama mke hapana aisee.
Naona diamond kawapatia ni kuwasasambua tuu

Fuga ndani kama mke yule anaekuelewa. Yule submissive to you not virse versa.
Ndio maana ktk uchumba ni vema ukajarib matukio ya kutokuwa na pesa , reaction yake itakupa picha mtu ulie nae.

Sio wote wabaya, but wazuri ni wachache sana
 
Fuga ndani kama mke yule anaekuelewa. Yule submissive to you not virse versa.
Ndio maana ktk uchumba ni vema ukajarib matukio ya kutokuwa na pesa , reaction yake itakupa picha mtu ulie nae.

Sio wote wabaya, but wazuri ni wachache sana
Kweli kabisa yaani ukiwa unadate na mwanamke alafu ata siku moja hajakununulia kitu huyo ujue ni selffish promax.
Kuna mmoja ananipiga vibomu hapa namsikilizia tuu anavyo be jua mdomo oh mzabzab utanioa. Rohonni nasema wee nakulia timing tuu nikukule tigo nisepe zangu. Mwanamke hana huruma kabisa na hela zangu kha
 
Elezea zilipoteaje

Wakati Hayati Rais Magufuli anatoa agizo la kwamba Serikali itanunua Korosho toka Kwa wakulima baada ya,kuona wafanyabiashara Wana bid Kwa pesa ndogo, waliolipwa ni wakulima tu tena walioonyesha mashamba yao (hati).

Walanguzi wote a.k.a wazee wa kangomba walipigwa chini na ndipo wengi walipopoteza mitaji yao na kufilisika na wengi tu walikufa Kwa pressure.
 
Back
Top Bottom