Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

[emoji302]Nimeufuatilia mjadala kwa ukaribu sana. Na kwa hakika haya ndiyo niliyojifunza.

1. Ukipata pesa bila kuwa na plan, ni ngumu sana kuitumia vyema.

2. Kuna uhusiano wa moja kwa moja Kati ya Pombe, Wanawake, Kampani mbovu na Starehe zingine katika kuua mafanikio ya kifedha. Kwa upande wa Wanawake kuna kitu kinaitwa "SEXUAL TRANSMITTED DEMONS" ambazo huweza kuharibu mipango ya mafanikio kwa asilimia kubwa.

3. Elimu ya kifedha ni muhimu sana Kwa kila mtu bila kujali level ya elimu,jinsia ama Umri.

3. Budget inapoheshimiwa na kufuatwa huweza kuzuia mianya ya upotevu wa pesa zisizo kwenye matumizi.

4. Unapoipata pesa jitahidi uiamrishe na siyo kukuamrisha.


5. Tunajifunza kutokana na makosa, usipoanguka huwezi kujifunza.

6. Kuna uwezekekano mkubwa wa mtu aliyefirisika kurudi katika hali yake ya zamani au hata zaidi ya Hapo, kwani nidhamu, kujiamini, maarifa, uthubutu na ukomavu huwa ni mkubwa sana.

7. Ni vyema kumshirikisha MUNGU katika mipango yetu ya kifedha ili atupe uwezo wa kuitumia vyema kwa manufaa bora zaidi.

[emoji302]Na mwisho niwatakie mafanikio mema wale wote walioamua kuanza upya, kwani uwezo wa kuinuka tena Upo. Lakini kwa ambao hawajawahi kufirisika wasiwaone waliofirisika kuwa ni wazembe ama hawana nidhamu. La hasha. Haya maisha ni fumbo. Hivyo badala ya kuwadharau kaa chini UJIFUNZE ili usije ukarudia makosa.

Asanteni.[emoji1666][emoji120]
wooow hapa ume summarize kwa akili kubwa sana sana🙌🏾🙌🏾 kongole👏🏼
 
Nimesoma page zote 88 za huu uzi,na sababu ya kunifanya nisome uzi huu ni kwa sababu na mimi ni katika wana wapotevu.

Kufulia ama kufilisika ni jambo hatari sana na kama ni mwepesi unaweza kujiua.

katika upotevu wangu na huu uzi nimejifunza mambo makuu yafuatayo.

1.ukiwa huna hela njaa huja mara kwa mara.,ukiwa una hela ya kutosha kula unajilazimisha unajikuta pesa ndio inakufanya uwe full all the time.

2. Ili ujue kama msoto uliopitia umekufunza kitu basi kipimo kiwe baada ya kuzipata tena pesa ndio utaona kama umejifunza au laa.
Kila mtu life likimpiga atajidai amejifunza ila true measure ni pale utakapopata tena fursa ndio utaona.

3.Tatizo sio kuwa na uthubutu wa kula na mipango kabla ya pesa bali tatizo ni kufuata mipango uliyoipanga,wengi tukifulia tunapanga vizuri ila tukizipata hatufuati mipango,sio tatizo ni kufuata ama kutekeleza ulichopanga.

Kila mtu anajua mambo ya msingi ya kufanya pesa inapopatikana na anajua mambo gani asifanye ili pesa ilipotee,TATIZO JE UTHUBUTU WA KUFUATA NA KUFANYA ZURI NA KUACHA BAYA UPO ?

4.ukifulia kuna possibility kubwa sana kya kuinuuka zaidi ya ulivyokuwa kabla endapo tu UTAJUA WAPI ULIFELI MWANZO NA UKAREKEBISHA SABABU HIZO ZA KUFELI MWANZO.

5.kitu kikuba unaweza kujivunia ukishafilisika ni AFYA YA AKILI kwani kama haupo njema unawez kujiua na kama upo vizuri unaweza ukalidogosha tatizo lako na kuliona kama funzo na kumove on.

6.Mara nyingi sana kujifunza kwa kuexperience mwenyewe ndiko kunaufundisha mwili vizuri kuliko kujifunza kwa kusimuliwa,hakuna mtu hajawahi kusikia kwamba starehe zinamaliza pesa,ila cha ajabu tukipata pes atunarudi huko hata kama tunajua yaani alimradi tujifunze kwa experience wenyewe.
Ila jamani wanawake wanafilisi nyie acheni tuu. Ila bwana ni watamu ndio shida ipo hapo
 
[emoji302]Nimeufuatilia mjadala kwa ukaribu sana. Na kwa hakika haya ndiyo niliyojifunza.

1. Ukipata pesa bila kuwa na plan, ni ngumu sana kuitumia vyema.

2. Kuna uhusiano wa moja kwa moja Kati ya Pombe, Wanawake, Kampani mbovu na Starehe zingine katika kuua mafanikio ya kifedha. Kwa upande wa Wanawake kuna kitu kinaitwa "SEXUAL TRANSMITTED DEMONS" ambazo huweza kuharibu mipango ya mafanikio kwa asilimia kubwa.

3. Elimu ya kifedha ni muhimu sana Kwa kila mtu bila kujali level ya elimu,jinsia ama Umri.

3. Budget inapoheshimiwa na kufuatwa huweza kuzuia mianya ya upotevu wa pesa zisizo kwenye matumizi.

4. Unapoipata pesa jitahidi uiamrishe na siyo kukuamrisha.


5. Tunajifunza kutokana na makosa, usipoanguka huwezi kujifunza.

6. Kuna uwezekekano mkubwa wa mtu aliyefirisika kurudi katika hali yake ya zamani au hata zaidi ya Hapo, kwani nidhamu, kujiamini, maarifa, uthubutu na ukomavu huwa ni mkubwa sana.

7. Ni vyema kumshirikisha MUNGU katika mipango yetu ya kifedha ili atupe uwezo wa kuitumia vyema kwa manufaa bora zaidi.

[emoji302]Na mwisho niwatakie mafanikio mema wale wote walioamua kuanza upya, kwani uwezo wa kuinuka tena Upo. Lakini kwa ambao hawajawahi kufirisika wasiwaone waliofirisika kuwa ni wazembe ama hawana nidhamu. La hasha. Haya maisha ni fumbo. Hivyo badala ya kuwadharau kaa chini UJIFUNZE ili usije ukarudia makosa.

Asanteni.[emoji1666][emoji120]
Hizi mambo zenu za sexualy tranmitted demons ndipo mnaniachaga hoi.
Bwana hamna cha demons wanawake wanafuja pesa period no demons there...sema tuu mbususu zao tamu na huo utamu sasa ndio tunapenda na unapatikana kirahisi ukiwa na mihela
 
Nilipo maliza chuo tu enzi zile UDSM ikiwa bado Ni UDSM. Mwezi wa tatu kazini nikanunua pikipiki, enzi zile pikipiki zilikua kumi na mbili hapa Dar, moja yangu, moja ya DC, moja ya mzungu wa NORAD na mbili zilikua za wafanya biashara wa Tandika. Nyingi za trafik. Lkn pia kulikua na zile sita za presidential escort.
Mwezi wa nane kazini nikanunua gari. Nissan SD23 diesel engine, kipindi Bilicanas inafunguliwa. Mwanamke gani mwenye akili timamu angenikataa?
Leo hapa nilipo Nina elfu tano ndio naipangia matunizi ya Leo na kesho.
Bahati nzuri Nina nyumba na watoto wote wamemaliza vyuo.
 
Nilipo maliza chuo tu enzi zile UDSM ikiwa bado Ni UDSM. Mwezi wa tatu kazini nikanunua pikipiki, enzi zile pikipiki zilikua kumi na mbili hapa Dar, moja yangu, moja ya DC, moja ya mzungu wa NORAD na mbili zilikua za wafanya biashara wa Tandika. Nyingi za trafik. Lkn pia kulikua na zile sita za presidential escort.
Mwezi wa nane kazini nikanunua gari. Nissan SD23 diesel engine, kipindi Bilicanas inafunguliwa. Mwanamke gani mwenye akili timamu angenikataa?
Leo hapa nilipo Nina elfu tano ndio naipangia matunizi ya Leo na kesho.
Bahati nzuri Nina nyumba na watoto wote wamemaliza vyuo.
Tupitishe vijana ULIKOSEA WAPI, ili na sisi tusikosee..

#YNWA
 
Tupitishe vijana ULIKOSEA WAPI, ili na sisi tusikosee..

#YNWA
Wamama wa mujini.
Kumbuka wamama wa mjini na pombe ndio mlango anaopitia shetani.
Kama unakazi au biashara yako achana na pombe na wamama wa mjini. Hata Kama mkeo sio fundi Sana jikoni na chumbani, ingia nae Google msome karma sutra. Utanishukuru siku zijazo.
 
Wamama wa mujini.
Kumbuka wamama wa mjini na pombe ndio mlango anaopitia shetani.
Kama unakazi au biashara yako achana na pombe na wamama wa mjini. Hata Kama mkeo sio fundi Sana jikoni na chumbani, ingia nae Google msome karma sutra. Utanishukuru siku zijazo.
Aisee asante kwa elimu.
 
Nilipo maliza chuo tu enzi zile UDSM ikiwa bado Ni UDSM. Mwezi wa tatu kazini nikanunua pikipiki, enzi zile pikipiki zilikua kumi na mbili hapa Dar, moja yangu, moja ya DC, moja ya mzungu wa NORAD na mbili zilikua za wafanya biashara wa Tandika. Nyingi za trafik. Lkn pia kulikua na zile sita za presidential escort.
Mwezi wa nane kazini nikanunua gari. Nissan SD23 diesel engine, kipindi Bilicanas inafunguliwa. Mwanamke gani mwenye akili timamu angenikataa?
Leo hapa nilipo Nina elfu tano ndio naipangia matunizi ya Leo na kesho.
Bahati nzuri Nina nyumba na watoto wote wamemaliza vyuo.
Ilitokea nn mzee wangu. Pia hongera umepambana.
 
Nilipo maliza chuo tu enzi zile UDSM ikiwa bado Ni UDSM. Mwezi wa tatu kazini nikanunua pikipiki, enzi zile pikipiki zilikua kumi na mbili hapa Dar, moja yangu, moja ya DC, moja ya mzungu wa NORAD na mbili zilikua za wafanya biashara wa Tandika. Nyingi za trafik. Lkn pia kulikua na zile sita za presidential escort.
Mwezi wa nane kazini nikanunua gari. Nissan SD23 diesel engine, kipindi Bilicanas inafunguliwa. Mwanamke gani mwenye akili timamu angenikataa?
Leo hapa nilipo Nina elfu tano ndio naipangia matunizi ya Leo na kesho.
Bahati nzuri Nina nyumba na watoto wote wamemaliza vyuo.
Kumbe ni mzee
 
Wamama wa mujini.
Kumbuka wamama wa mjini na pombe ndio mlango anaopitia shetani.
Kama unakazi au biashara yako achana na pombe na wamama wa mjini. Hata Kama mkeo sio fundi Sana jikoni na chumbani, ingia nae Google msome karma sutra. Utanishukuru siku zijazo.

Kongole mzee wangu vijana tumekusikiaa ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom