babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Sasa acha hizo kuna doublecoaster hapo gerezani za mizigo, zinabeba abiria 10-20 zikiondoka sa 3 usiku sa 11 asb uko Mbeya fikiria hiyo gari imeendeshwa vipi.Zile gari zinakimbia sana kama huna haraka ya maana usipande kabisa maana unaweza kufa kwa mawazo tu ya speed
Na jioni jamaa anarudi Dar.