Tuliowahi kusomesha Wachumba na hatujawaoa. Tukutane hapa

Tuliowahi kusomesha Wachumba na hatujawaoa. Tukutane hapa

Nilimuambia atofautishe majukumu yangu na ya wazazi, walezi kama si ndugu zake....
Kwanza kilishuka kicheko matata, nikaambiwa wapo wakusema hivyo kama siitaki niache tuu... na ukawa mwisho wetu, ila kaja kumaliza chuo anavyonitafuta sasa.
Ndio nawaza hapa huyu maiti mtarajiwa hivi anajua huyo boya aliyempa kampani chuo anawaza nini muda huu.
 
Nilimuambia atofautishe majukumu yangu na ya wazazi, walezi kama si ndugu zake....
Kwanza kilishuka kicheko matata, nikaambiwa wapo wakusema hivyo kama siitaki niache tuu... na ukawa mwisho wetu, ila kaja kumaliza chuo anavyonitafuta sasa.
Ndio nawaza hapa huyu maiti mtarajiwa hivi anajua huyo boya aliyempa kampani chuo anawaza nini muda huu.
Wote maiti tarajiwa kigumu ni ile atujui siku yetu, unaeza ukawa wa kwanza wewe ukamuacha
 
Mkuu hapa sijamlaumu mtu.
Na kilichosumbua wakati ule ni yeye kuja kukataa kabisa kuwa tulimtelekeza na kwa uzuri, aliona aibu sana nilivyompostia risit zake za ada
Ila katika msaada wako huo wa kupeleka shule, kuna some particles za unyanyasaji zilikuwemo, amevumilia mnoo bila kupanda daraja bana, ata km ulisomesha bado alikuwa girlfriend na umri unaenda kwann asifanye yake?
 
Hapa watajifanya wagumu hawasomeshi ila ukweli ni kuwa wanasomesha sana tu.

Mtusomeshe tu jamani, mengine ni matokeo tu.
Wengi sana wako wamekalia misumari ila kulazimisha tabasamu usoni as if they are ok kumbe wanaugulia maumivu
 
Sikuchunguza zaidi, but kulikuwa na uwezekano huyo Baba mwenye hao watoto ndiye aliyemuuzia hiyo nyumba aliyonunua

Uwezekano ni mkubwa kuwa aliwekeza kwenye kilimo akapata hasara ila kuhusu nyumba alitumia kama sababu yenye mashiko kumwelewesha mama (mama yako), hiyo nyumba ilikuwa ni ya huyo mwenye watoto na ndo alikuwa anaishi naye na kumtafuna.... nimewaza tu hivyo ila yote kwa yote yalishapita na ulikubali kibingwa na unaendelea kuwajibika kwa mwanao mrembo.

Kisanga ni pale binti yako analelewa na mama yake (aliyekukana kuwa ulimtelekeza chuo) atakuzwa kwa kuaminishwa hivyo, hadi aje kujitambua na kukuelewa wewe utakuwa umetumia nguvu nyingi sana.... nakusihi uendelee kumlea binti yako asije naye ‘akasomeshwa’ chuo.
 
Kusomesha mchumba ni mfumo dume, unyanyasaji wa kijinsia na ni rushwa ya ngono, kama unataka mke msomi oa aliyesoma tayari mbona wapo tu.... halafu nyuzi kibao zipo humu kukandia kuoa wanawake wasomi.
 
Ushauri wa bure
 
Back
Top Bottom