Tuliowahi kusomesha Wachumba na hatujawaoa. Tukutane hapa

Tuliowahi kusomesha Wachumba na hatujawaoa. Tukutane hapa

Uzuri km ni kuwai siti niko siti ya kwanza kabisa mi kashule nlikonako kanatosha ni mume tu ajapatikana😛😛😛😛😛 sjui nianze kuwasaka mwenyewe baby Nebuchadinezzer ashanipotezea, basi njoo Asprin au km umeoa niko tayari kuwa spea kwa Mshana Jr
Mimi nimeoa lakini niko available. Nakusubiri PM tufanye mchakato wa wizi wa mapenzi
 
Wa hivyo hakuna wanaooana. Mwanamke aliesomeshwa,lazima amuone aliyemsomesha boya,chuo anapata wa leval yake. Na hakuna demu mtamu kumgegeda kama anaesomeshwa na fala mmoja huko. Unapomgegeda unamuuliza nani anakusomesha. John. Nani?. John. Anaitwa nani?. Johniiiii. Unapomalizia unatamka kabisa ***amae
Wee jamaa wewe mungu anakuona [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nafanana na baba, ni mfupi nimekomaa komaa flani ivi, miguu ina kigimbi flan amazing, kishundu kipo kimebinuka afu kigumu sitembei pakatikisika kukuaibisha
[emoji3][emoji3]
 
Tatizo,mchumba hasomeshwi,Hilo ni jukumu la wazazi wake full stop
Labda
IMG-20191030-WA0028.jpeg
 
Back
Top Bottom